Kweli mwanamke sio mtu wa kumlia yamini, ME tuchunge sana

Inawekezwa mali si mwanamke.

Zile sehem zetu ni one way traffic wakati mwanamke ni two way traffic. Hao watu si wa mchezo
 
Pole sana,
Ila usimwamini mwanamke hata kama unamtania. Pia lazima uumizwe ili ukomae.
Kila mmoja amesha au ataumizwa siku moja in his/her lifetime
 
Mmh sijui na age yenu pia inachangia. Msichana wa kuwa worried naye coz kajiunga fb mmmh, bado hajajitambua vizuri I think.
Anayelalamikia mapenzi ya chuo huwa namshangaa yeye kuliko huyo mlalamikiwa, wengi huwa ndio kwanzaaa wanayaanza mahusiano,wengine kama walishaanza ila bado wako kwenye umri wa kujaribu, wachache huwa wanajitambua.

Kwahiyo kuwekeana yamini hapo kwakweli ni kutafutana lawama tu.
 
Ha ha eti kuwekeana yamini
 
Ha ha eti kuwekeana yamini
My dear kuna wanaowekeana yamini(sijui ndio hiyo).
Na kula viapo,wengine hadi vya damu. Na walaa hawakumbuki kuvivunja vikibuma.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] nacheka kama mazuri.

Kuna dogo waliwekeana kiapo cha damu, mwisho bibie akasaliti na akaachana na jamaa, binti akaolewa. Sasa bwanamdogo anasubiri anasema bibie atarudi tu hata uzeeni maana ndio mkewe. Haya mambo jamani khaaaaah!!!
 
Mie na haya mapengo yangu, sijafanya huo udwanzi
 
..Uko vizuri brother,..kwani unasoma course gani hapo?
 
Najua unaumia Ila pole sana,,,lakin pia shukuru mungu maana inaweza kua hakua chaguo sahihi LA moyo wako,labda nikuambie kitu kipya masikion mwako..... Mwanamke anahitaji mambo matatu makuu

(1) umuhakikishie kula vizuri
(2) umuhakikishie kuvaa vzri
(3) na kubwa kulko yote UMKUNE vzuri... nyongeza awe huru usiovuka mipaka na umkazanie hofu ya mungu,,hyo umesema kwa upande wake je upande wako ambao yy hakuwepo ulijizuia kiasi gan na michepuko,,au sababu yy hana utaalam wa kudukua mawasiliano yako??? Maandiko ya kisaikologia na kifalsafa yanasema hivi nanukuu:: Jinsi unavyomwona mwenzako siyo jinsi yeye alivyo Bali ni wewe ulivyo.... Inawezekana imotional entelegance yako ipo low....
 
Mimi pia yamenkuta ..alibadili namba lakn ktk kuntext siku moja akajikuta anatumia hyo namba kujakucheki akanambia ya shangaz ake lakn nilivyo ingia dp akawa kamuweka mchzi ake wakiwa wamebusuana na zngne wamekumbatiana na status yake ilikuwa amazingly... Mwili moyo uliwaka ckula cku tatu maana tulikuwa ktk mahusiano yapata miez 16. Wazaz wake wanajua ..baada ya cku tatu za maumivu makali nikampiga chini ..nnaaman kwasasa na mwamaume aliye namademu kbao kama mswati yupo hawez umia hata cku moja dawa nkuwanyisha nakuwadump no way. Ushauri mamen ucwe na dem mmoja kama taa ya Pikipiki ambayo ikipasuka baac unabaki na maumivu.
 
Mm naomb nisaidie hio bug ya kutrace log za mtu basss
 
Mwanamke wa kumwamini ni mama yako tu full stop.
Wa kumuamini ni M/Mungu pekee. Mama yako haaminiki pia. Yawezekana hata hiyo mimba aliyokuzalia ,alidhamiria kuitoa lakini ikaokolewa na madaktari, baada ya zoezi la kuitoa kumletea madhara na kupoteza fahamu.Alipopelekwa hospitali na ilivyogunduliwa dhamira yake, akawekwa chini ya uangalizi,ndiyo ponapona yako hadi ukazaliwa.
 
Story yako inanikumbusha Makovu niliyonayo mkuu wanawake syo wa kuwapa dhamana hata kdogo.
 
Vijana mna nadharia nzuri sana, naamini mtapata nafasi ya kujaribu na kuona udhaifu wa imani zenu. Gracias
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…