Kweli nasema Simba leo akishinda nipigwe

Kweli nasema Simba leo akishinda nipigwe

Pigaaaaaaa ban hili topolo
Anadai eti ni banio 🥲
1738511193652.jpg
 
Sioni....kila nikitizama naona leo Mkia lazima achapwe. Tabora United wamemaliza mchezo na sasa wanaenda tu kukamilisha ratiba mzee saidi mitangano hongera sana.

Hujawahi kutuangusha kamwe.ushauri wako umefanyiwa kazi na mkia wamejaa kwenye mfumo. Leo rasmi yanga tunajikita kileleni na hatushuki mpaka mtu apate mimba. Hakuna kulala...

Simba wakishinda leo nipigwe banio.kwa mila zetu mwanaume hutakiwi kupigwa kwa mwiko wala banio la sufuria. Ni dharau. Ila kwa leo nipo tayari kabisa. Sioni mkia wakishinda. Sioni kabisa.
Huo mwiko huko nyuma haukutoshi unahitaji banio tena?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kwa: Moderator wote wa Jf
Kutoka: Mashabiki wa Simba SC
Tarehe: 02|02|2025
Mada: Ombi la Kuzuiwa kwa mleta mada Kuingia Kwenye huu Mtandao


Ndugu Mmiliki na Viongozi Wote


Natumai barua hii itawafikia salama. Ninawaandikia kwa niaba ya Mashabiki wa Simba SC kuwa ambaye ameeleza kwa hiari yake kwamba anataka kuzuiwa kuingia kwenye mtandao wenu wa kijamii.


Kwa mujibu wa maombi yake, anaomba akaunti yake izimwe kabisa au apate vizuizi vya kudumu ili asiweze kufikia mtandao huu tena. Tunaamini kuwa kwa kufanya hivyo, mtamsaidia kufanikisha nia yake na kuheshimu uamuzi wake wa kujitenga na matumizi ya mtandao huu.


Tafadhali fanyeni utaratibu unaohitajika na uthibitishe utekelezaji wa ombi hili. Ikiwa kuna hatua zozote zinazohitajika kutoka kwake, tafadhali tujulishe mapema ili kuhakikisha zoezi hili linafanyika kwa utaratibu unaofaa.


Natumai ombi hili litashughulikiwa kwa haraka. Asante kwa ushirikiano wenu.


Wako kwa heshima,
Donnie charlie
Goma
DRC
 
Sioni....kila nikitizama naona leo Mkia lazima achapwe. Tabora United wamemaliza mchezo na sasa wanaenda tu kukamilisha ratiba mzee saidi mitangano hongera sana.

Hujawahi kutuangusha kamwe.ushauri wako umefanyiwa kazi na mkia wamejaa kwenye mfumo. Leo rasmi yanga tunajikita kileleni na hatushuki mpaka mtu apate mimba. Hakuna kulala...

Simba wakishinda leo nipigwe banio.kwa mila zetu mwanaume hutakiwi kupigwa kwa mwiko wala banio la sufuria. Ni dharau. Ila kwa leo nipo tayari kabisa. Sioni mkia wakishinda. Sioni kabisa.
Banned
 
Ila mashabiki wa Utopolo hata sio Wana sports kabisa. Sasa mtu anaomba apigwe kibanio (😆) sijui ndio nini. Mashabiki wa Yanga mna shida gani kwenye Bongo zenu???

Kila mkililia mnapata mnachokitaka.
Active
celix
Moderator

Huyu Utopolo anataka apigwe kibanio mpigeni basi 🤣🤣🤣
Kuna mwingine anayeitwa Shetani wa Yanga alidai Simba akishinda dhidi ya Tabora United basi mama yake mzazi ashenyentwe.
Hao wavimba macho wamekithiri sana kwa ubaradhuli wao. Yupo sasa anaombewa radhi mitandaoni.
 
Sioni....kila nikitizama naona leo Mkia lazima achapwe. Tabora United wamemaliza mchezo na sasa wanaenda tu kukamilisha ratiba mzee saidi mitangano hongera sana.

Hujawahi kutuangusha kamwe.ushauri wako umefanyiwa kazi na mkia wamejaa kwenye mfumo. Leo rasmi yanga tunajikita kileleni na hatushuki mpaka mtu apate mimba. Hakuna kulala...

Simba wakishinda leo nipigwe banio.kwa mila zetu mwanaume hutakiwi kupigwa kwa mwiko wala banio la sufuria. Ni dharau. Ila kwa leo nipo tayari kabisa. Sioni mkia wakishinda. Sioni kabisa.
Mishabiki ya yanga ni mijinga sana.
 
Kwa: Moderator wote wa Jf
Kutoka: Mashabiki wa Simba SC
Tarehe: 02|02|2025
Mada: Ombi la Kuzuiwa kwa mleta mada Kuingia Kwenye huu Mtandao


Ndugu Mmiliki na Viongozi Wote


Natumai barua hii itawafikia salama. Ninawaandikia kwa niaba ya Mashabiki wa Simba SC kuwa ambaye ameeleza kwa hiari yake kwamba anataka kuzuiwa kuingia kwenye mtandao wenu wa kijamii.


Kwa mujibu wa maombi yake, anaomba akaunti yake izimwe kabisa au apate vizuizi vya kudumu ili asiweze kufikia mtandao huu tena. Tunaamini kuwa kwa kufanya hivyo, mtamsaidia kufanikisha nia yake na kuheshimu uamuzi wake wa kujitenga na matumizi ya mtandao huu.


Tafadhali fanyeni utaratibu unaohitajika na uthibitishe utekelezaji wa ombi hili. Ikiwa kuna hatua zozote zinazohitajika kutoka kwake, tafadhali tujulishe mapema ili kuhakikisha zoezi hili linafanyika kwa utaratibu unaofaa.


Natumai ombi hili litashughulikiwa kwa haraka. Asante kwa ushirikiano wenu.


Wako kwa heshima,
Donnie charlie
Goma
DRC
Una Elimu gani?una umri gani? Hebu onesha sehemu ambayo mleta mada amesema apigwe ban humu JF.
 
Back
Top Bottom