Kweli ni ipi hapa kuhusu hekalu alilojenga Suleiman?

Hao waliotafsiri hivyo pia hawaelewi Yesu alichomaanisha!

Yesu hakumaanisha Israel itapigwa!
Mana yake ndo haya unayoyaona ss,vita hivyoo.....

Lkn kuhusu hekalu litarudishwa,msikiti utaondoshwa....
Ili hekalu litarudi hapo km likivyokua awali hata walinde vipi ....
 
Kumbuka pia dini ya Kiislam imekopi vitu vingi toka Ukristu, yaani ni dini ya kimkakati.
 
Umejieleza vema sana, shida kubwahujaigusa" imeandikwa adui wakwanza ni wana wa Israel waueni hata kama wamejificha chini ya mawe" kila kukicha linafundishwa na linasisitizwa lazima litekelezwe, ni amri ya mnyaaziMungu.
 
H. kuna kitu kama hicyo. Ni hadithi za kutunga ambazo zimekuwa zikilindwa kwa uongo na vitisho
 
Umejieleza vema sana, shida kubwahujaigusa" imeandikwa adui wakwanza ni wana wa Israel waueni hata kama wamejificha chini ya mawe" kila kukicha linafundishwa na linasisitizwa lazima litekelezwe, ni amri ya mnyaaziMungu.

kaka huko sasa utazidi kuchochea.. nimekwambia tuweke iman pembeni ndo suluhu itapatikana.. tukianza kufukua makaburi kwa kufata vitabu hivi vilivyoandikwa na ancestors basi hautakwisha
 
Umejieleza vema sana, shida kubwahujaigusa" imeandikwa adui wakwanza ni wana wa Israel waueni hata kama wamejificha chini ya mawe" kila kukicha linafundishwa na linasisitizwa lazima litekelezwe, ni amri ya mnyaaziMungu.
Linafundishwa wapi, msikitini au kanisani
 
kaka huko sasa utazidi kuchochea.. nimekwambia tuweke iman pembeni ndo suluhu itapatikana.. tukianza kufukua makaburi kwa kufata vitabu hivi vilivyoandikwa na ancestors basi hautakwisha
Kuna muda huwa nakaa na kufikiri kwamba "kwanini Mungu anaitwa wa Upendo hufanya watu wauane" huwa sipati majibu kwa kweli.

Wapalestina wanat teseka sana kwa kweli.

Sasahivi GAZA ni kama jehanum.

Lakini ninacho shangaa waziri mkuu wa zamani wa israel (RAPHAEL BANNETI) anasema kwamba "suala la wapalestina kuteseka huko GAZA wao haliwahusu na wala si suala lao, kama ulimwengu una wahurumia basi uka wasaidie" .

Na kauli moja ya hovyo sana jamaa ametoa na viongozi wa dunia wanapiga kelele tu kuwa tunasimama na Israeli πŸ₯²
 

Duuuh...mambo ni mazito haya.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Haya mambo ya imani ni magumu sana.

Wao (waislam) wanasema Quruan ni correction ya Biblia kwa sababu kwenye Biblia ukweli ulipotoshwa na warumi
Na kwenye Qur'an kuna haya za Shetani alizopewa Mohammed ziitwazo Satanic Verses zimefutwa makusudi tu ili kupotosha watu....sema tu watu haswa Waislam si watu wapendao kusoma na kutaka kujuwa ukweli wakiamini kuwa Qur'an ni kitabu cha Mungu na hakina makosa wakati si ukweli hata kidogo, Na hii ndiyo athari ya kutokusoma. Waislam wengi wanaamini kuwa Mohammed alikuwa mtu mwema wakati si ukweli hata kidogo, wanashindwa kujiuliza kwanini Wayahudi walimuua na Waarab wenzake walikuwa wanamuwinda kumfanyia umafia pia.
 
Hivi kumbe mohammed aliuliwa na wayahudi πŸ€”

Lakini kinachonishangaza zaidi ni wanaposema kwamba "Quran ni kitabu kilicho shushwa direct na Mungu kutoka mbinguni kama kilivyo leo" kwamba hakikuandikwa na mwanadamu.
 
Limekujengaje kiimani mkuu. We una nuru nzuri kiroho ila haupo serious. Nisaidie nami nijue limekujengaje?
 
Hata mimi najua ramani ya namna jengo la hekalu litakavyokuwa wanayo.

Ila kipengele ni kuibomoa Al-Aqsa ili ujenge hekalu, hapo ndipo itakuwa vita
Hilo mbona lipo wazi japo watasema tunawakashfu. Dini ya kiislama.ni dini ya Mpinga Kristo. Ni dini iliyojengwa juu ya Uyahudi na ukristo na imejengwa katika mwili. Wana mafundisho mazuri ya kustaarabisha na kumfanya mwanadamu amjue Mungu. Ni kweli imejengwa kwenye mafundisho ya kutenda matendo mema na utoaji. Hilo ni kitu kizuri ila wamekosa kitu kimoja. Kumkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wa Maisha yao. Wamekosa kumkiri na kumjua kuwa Yesu ni Mwana wa Mungu. Wao wanamchukulia na kumdharau kuwa si kitu.

Biblia inasema wazi kuwa Roho ya Mpinga Kristo ni ile Roho inayopinga kuwa "Yesu hajaja kwa Jinsi ya mwili I.e kupinga uungu wa Yesu". Mpinga Kristo au "Masih Dajali" wanavyosema wao atakapodhihirika katika mwili atakuja kusuruhisha na kupatanisha kati ya mataifa baada ya kuvunjwa kwa huo Msikiti. Tukio hilo litatokea baada ya Unyakuo wa Kanisa. Biblia ipo wazi kuwa atafanya Amani na Patanisho kwa miaka 3.5 na kisha baada ya hapo atawageuka Wayahudi na wakristo walioachwa kwenye Unyakuo na ndio kutakuwa na dhiki kuu kwao kwa miaka 3.5

Baada ya hapo, Kristo atakuja mawinguni akiwa na watakatifu wake naye atafanya vita dhidi ya Islam waliojikusanya kupambana na wayahudi ili kulifuta taifa la Israel katika uso wa duniani. Jeshi la watu zaidi ya 20M waliotoka pande zote za nchi watakusanyika kwenye bonde la Megido kwa ajili ya siku ya Bwana. Naye Kristo atawakatilia mbali hao watu na Mpinga Kristo na Nabii wa uongo watakamatwa na kisha kutupwa kwenye ziwa la Moto.

Kwa mtini jifunzeni na muyaonapo hayo jua bwana yu karibu kurudi. Yajayo hayafurahishi hata kidogo.
 
Hata mimi najua ramani ya namna jengo la hekalu litakavyokuwa wanayo.

Ila kipengele ni kuibomoa Al-Aqsa ili ujenge hekalu, hapo ndipo itakuwa vita
Yes
Actually Kuna vita Bado itakuja, inaitwa vita ya 'Almagedon'
Hapo ndo watakaposhuhudia muumba wa mbingu na nchi akitimiza aliyoyanena....
 
Naamini kapata mwanga
 
MImi bhan kwenye suala la dini huwa nipo neutral sana.

Sina maana ya kwamba siamini uwepo wa Mungu, hapana.

Neutrality yangu ipo kwenye "Dini ipi ni sahihi kwa Mungu (perfect religion)" hapo ndipo U-neutrality wangu ulipo.

By the way nakubaliana zaidi na hizi dini tatu (Uyahudi,Ukristo na uislam) kwa maana ndizo naona huamini katika Mungu mmoja (Yehova/Allah), lakini ukinambia ni dini zipi kati hizi tatu ni sahihi zaidi, huwa nabaki neutral sana ani.

Hii ni kwa sababu tofauti ya hizi dini tatu huwa ni ndogo sana.

Ukristo umejengwa mizizi yake ya imani kutoka dini ya kiyahudi isipokuwa tu wametofatiana kwenye Yesu/Messiah.

Kwa dini ya kiyahudi Yesu/messiah hajaja bado wanamsubiri mpaka leo, ila kwa wakristo Yesu alishakuja na akakataliwa na wayahudi.

Hiyo ndiyo tofauti yao kuu kati ya uyahudi na ukristo, ni kuhusu Yesu/Messiah tu.

Lakini pia Ukristo na Uyahudi una tofautiana sehemu moja tu kwamba "Uyahudi na Ukristo hazimtambui au kumzungumzia Mohammed kuwa ni mtume wa Mungu, nikiwa na maana hajaandikwa kabisa kwenye vitabu vya dini hizi mbili (Biblia ya kikristo au kiyahudi hazijamzungumzia mtume Mohammed).

Na muda huo huo waislam wanaamini Mohammed ndiyo mtume wa mwisho wa Mungu.

Lakini ukitoka Mohammed, mitume ambao wako kwenye dini zote ni wale wale, sijui kina Ibrahim, Musa n.k.

Ila tatizo kubwa sasa liko hapa "mitume na manabii hao waliopo kwenye hizi dini wamezungumziwa katika matendo tofauti sana"

Mfano : Ukristo unasema Yesu alizaliwa kwenye hori/zizi la ng'ombe, Uslam unasema Maryam alimzaa Yesu jangwani chini ya mtende tena akiwa peke yake bila msaada wowote, then kukatokea miujiza ujiza pale.

Ukristo unasema Yesu alisubuliwa akafa alafu akafufuka na kupa mbinguni, Uislam unasema Yesu aliondoshwa na Mungu ki-miujiza akapaishwa mbinguni then watu waka-msulubu Yuda wakijua ndiyo Yesu πŸ˜…

Ukristo unasema aliyetaka kutolewa na Ibrahimu kuwa Sadaka alikuwa ni Isaka na eneo ilikuwa ni Yerusalem lilipo jengwa HEKALU la Suleiman, Uislam unasema aliyetaka kutolewa na Ibrahim kuwa sadaka alikuwa ni Ishmael (ismail) na eneo ilikuwa ni Mecca ilipojengwa Al-kaaba leo hii πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Utofauti wa stori ni nyingi nikisema niandike hapa nitajaza page, nimeamua tu niseme baadhi.

Lakini nilichotaka kusema ni kwamba "Utofauti wa hizo hadithi za matukio bado hazitoshi kumfanya mwanadamu asiamini uwepo wa Mungu".

NB : Mimi ni Mkristo na namwini Yesu kama mwana wa Mungu ila simwamini Yesu kama Mungu, maana Yesu ndiye aliyesema yeye ni mwana Mungu na hakusema yeye ni Mungu.

Japokuwa waliokuja kuandika kuhusu Yesu badae ndiyo waliokuja kuonesha kana kwamba Yesu alikuwa ni Mungu, japo mimi siamini katika hilo kwa sababu moja keamba "hakuna mahali kwenye Biblia Yesu amesema yeye ni Mungu, bali amesema tu Yeye ni mwana wa Mungu aliyegumwa na Baba (Mungu) kuyatenda mapenzi ya Mungu.

Na hata alipopaa alisema "naenda kwa Baba kuwaandalia makao ili nilipo mimi nanyi muwepo, maana nyumbani mwa Baba yangu mna makao Mengi".

Sasa huwezi kulazimisha kusema Yesu ni Mungu wakati yeye mwenye alikataa kuwa siyo Mungu.

Japo waliokuja badae kuandika kuhusu yeye kama kina TITO walikuja kuonesha Yesu alikuwa ni Mungu.

Lakini pia mimi siamini kama Uislam unamdharau Yesu, ni kwamba tu wana mwamini kama nabii na alikuwa na nguvu kuliko hata Mohammed.

Na hata wanasema Quran imetaja jina la Yesu mara nyingi kuliko la Mohammed, so mimi sidhani kama anadharauliwa na uislam au waislam.

Ni vile tu wame-base kwa Mohammed kwa sababu ndiye mtume wa Mwisho wa Mungu kwa mujibu wa imani yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…