Kweli ni ipi hapa kuhusu hekalu alilojenga Suleiman?

Yes
Actually Kuna vita Bado itakuja, inaitwa vita ya 'Almagedon'
Hapo ndo watakaposhuhudia muumba wa mbingu na nchi akitimiza aliyoyanena....
By the way mimi binafsi sina uelewa sana na Harmagedon.

Maana wapo wanaofasiri kwamba itakuwa ni vita kama vita (vita halisi ya silaha za moto) na wengine wakaenda mbali zaidi na kusema itakuwa vita vya nuclear (world war 3).

Lakini pia wapo wanao fasiri kuwa vita vya HARMAGEDON haitokuwa vita vya nuclear au silaha za moto kama tunavyo dhani.

Bali itakuwa ni vita kama ya Wema na Uovu (siyo vita halisi ya silaha za moto).

Sasa huwa nashindwa ni kina nani wana tafsiri sahihi ya ARMAGEDON WAR
 
NOTE; Mtume Mohamed ndo mwislam wa kwanza, kabla yake hakukuwa na mwislam na alizaliwa miaka 570 baada ya Yesu
Ni dini ya kiujanjaujanja
 
Wenye dini yao hukataa na kusema kuwa Mohammed hakuanzisha uislam.

Wanasema Uislam ndiyo dini ya asilia ya mwanadamu tangu Adam na Eva πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
wanajichanganya tu. vitabu vyao vinasema mtume ndo muislam wa kwanza akifuatiwa na demu wake na wanandugu wengine wa familia yake
 

ndo ujue dunia hii hakuna cha habari ya haki za binadamu wala nini utasaidiwa ikiwa watoa msaada wana uhakika watafaidikia kwa namna flani.. iwe kifedha, kirasilimali.. kidini yaani kivyovyote.. ukiwa huna pontential youyote tutabaki kukupigia kelele za kuwa unaonewa tukiwa mbali wenye nguvu ya kukusaidia wanataka wajue wanafaidikaje kwanza ndo wakusaidie
 
Unaumiza kichwa chako bure kwasababu story nyingi za kwenye bibilia na Quran ni za kusadikika. Hivyo kuzeelewa kwa kutumia vitu halisia ni kuumiza kichwa bure. Hivi unajuwa hao wanao itwa Jewish Leo ni wakimbizi tu walio tengenezewa nchi kwenye nchi ya watu wengine.
 
Ichukua muda kunielewa kwa sababu tayari ushatanguliza unadharia na kusadikika.

Upande wako nadhani hata uwepo wa Mungu utakuwa wa kusadikika tu.

Ni kweli ni vitabu vya kusadikika lakini ukiivishi naona havito kuacha salama
 
Kabisa aisee.

Kuna mwandishi mmoja alisema juzi kuwa "War is the USA bussiness project with high profit" na ukiangalia vina ukweli.

Usawa wa dunia utaweza ku-balance iwapo Marekani ata-drop
 
Amekosea mtoa mada soma hii hapa He dies at age 70 and chooses Solomon, his son with Bathsheba, as his successor instead of his eldest son Adonijah. David is honored as an ideal king and the forefather of the future Hebrew Messiah in Jewish prophetic literature and many psalms are attributed to him
 
wewe utakuwa umepotoka...hii hii dini inayoagiza watu kukatwa vichwa ndio dini ya amani?!!!...hiyo ni dini ya shetani kamili
 
Hivi kumbe mohammed aliuliwa na wayahudi πŸ€”

Lakini kinachonishangaza zaidi ni wanaposema kwamba "Quran ni kitabu kilicho shushwa direct na Mungu kutoka mbinguni kama kilivyo leo" kwamba hakikuandikwa na mwanadamu.
Indeed, Mohammed aliuwawa kwa kuwekewa sumu na wanawake wa Kiyahudu ambao alikuwa na kawaida ya kuvamia vijiji vya Wayahudi na kuua wanaume kisha kubaka wanawake zao (wajane). Wayahudi walipomchoka, wakamuwekea sumu kwenye chakula.
 
Indeed, Mohammed aliuwawa kwa kuwekewa sumu na wanawake wa Kiyahudu ambao alikuwa na kawaida ya kuvamia vijiji vya Wayahudi na kuua wanaume kisha kubaka wanawake zao (wajane). Wayahudi walipomchoka, wakamuwekea sumu kwenye chakula.
Sina hakika sana na madai yako maana sijui chochote kuhusu kifo cha Mohammed kilitokea mazingira gani, japo najua aliwahi kuoa mwanamke wa kiyahudi.

Lakini pia namna umempa sifa mbaya mtume kwamba alikuwa anabaka, una hakika na hili au umeazimia tu kumchafua mtume
 
Mliobobea katika historia, muwe mkiamua kuichambua, basi msiache mwanya wa wafia dini na mashabiki zao kubaki na hoja za kimihemuko.

Hapa nilidhani ulitakiwa uweke bayana historia ya wayahudi kama ulivyoiweka ya hao philistine(Palestina) kwa kina zaidi.

Baada ya hapo, uweke falme zote za nyuma za Kiyahudi hadi ufalme wa mwisho ulipokomea baada ya falme zao kuvamiwa na tawala tofauti za Assyrians, Babelonians, mamluki wa Misri, Roman empire na kisha Ottoman empire kwa nyakati tofauti mpaka kufikia hatua ya kupewa uhuru wao walio nao sasa.

Ninavyoona watu wengi huwadhania Israelis kuwa ni wavamizi tu wa kuja from no where katika eneo hilo walipo hivi sasa bila kuwa na mizizi ya kihistoria ya enzi na enzi!

Na hapo ndipo kiini cha mzizi wa mgogoro kilipo.

Ninawashangaa mataifa makubwa wanaosimama kati katika kusuluhisha mgogoro huu unaoleta umwagaji mkubwa wa damu, kujikita katika ushabiki ama katika maslahi huku raia wasio na hatia wakiendelea kuangamia!
 
Hakuna sheikh atakayekupinga endapo utamuuliza Mohammed alikufa na nini, yaani ni kitu kisichopingika. Alivamia eneo la Wayahudi na kuua waume zao kisha akalazimisha yeye na wafuasi wake (maharamia) kupikiwa chakula, ndipo akatokea mwanamke shujaa wa Kiyahudi aliyeshawishi wenzake kumuwekea Mohammed sumu kwenye chakula.
 
Yaani wanasema ili kiama kije (mwana wa adamu arudi) ni lazima israel ipigwe kwanza.
Majeshi yalisha zunguka miaka mingi iliyopita 70 A.D, moto ukateketeza hekalu na israel wengi wakafa.

Hekalu la tatu tayari lilisha jengwa miaka 2000 iliyopita.
Kuna mwamba alisema atalivunja na kulijenga kwa siku 3.

Kama hayo yote yalishafanyika, Je kiyama kimepita?
Ndiyo, kiyama(kurudi kwa Yesu) imepita siku nyingi, kilicho baki watu wengi bado hawana uelewa wa kiyama kilichonenwa kwenye Biblia. Siku watu wakiwa na uelewa hata hizo vita zitaisha provided that akili zao zitafunguka
 
Hahahaha wazee wa makobazi wanakuogopa sana mkuu unawapa sindano kali
 
Yesu alikuwa akiingia kwenye Sinagogi kusali. Sinagogi maana yake ni msikiti wa Kiyahudi.

Ukimsikiliza Mch Maghembe kwenye video hii hapa chini, kuna mahali anasema kuwa KISIASA, ISRAEL SIYO WENYE NCHI (yaani nchi hiyo wanayoipigania) NA KIBIBLIA, ISRAELI NDIYO WENYE NCHI

Msikilize mchungaji maghembe kwenye video hii, na pia naomba uweke hapa ile ambayo wewe ulimsikiliza. Tafadhali naomba usiache



View: https://www.youtube.com/watch?v=a4aboTbQZ5Y&pp=ygUgbWNodW5nYWppIG1vc3NlcyBtYWdoZW1iZSBpc2FyZWw%3D
 
Sio kweli.
 
Jitahid kujiimarisha zaidi kiroho.,,soma vizuri Mwanzo ,kuzaliwa Yesu na ufunuo chapter 19 verse 11 -16,utaona kwamba Yesu ni "Neno la Mungu" ,,kimwili ni mtu aliyejitambulisha kama mwana wa Mungu",sasa Kwa mkristu ni lazma uijue lugha ya Mungu Kwa kutafakari na kufundishwa na Roho mtakatifu ambaye anajukumu la kutufundisha kuhusu huyo Neno.
Unaposali Kwa kuomba Kwa kutumia maandiko na kutamka jina La Yesu Ile nguvu ni Yesu mwenyewe ambaye ni Hilo neno(power of God) ....thank you ubarikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…