Mfumo gani weka wazi?
Km usipoweka wazi basi huna uhakika na kile unachokisema!
Umesema kweli mkuu.
Kinachosumbua waislam ni INFERIORITY Complex, baasi. It is pathetic kwamba mtu anayejiita msomi Mohamed Said naye amejoin- hiyo bandwagon. Maandiko yote ya Said ni KULALAMIKA tu, kuwaona waislam ni wanyonge, dhaifu, etc. Tujiulize: lengo la kufanya hivi ni nini? Lengo ni kutaka waislam sasa wapewe upendeleo fulani au favours maalum na serikali (outside of merit!!). Pamoja na 'usomi' wake Said hajui kuwa suala la waislam kupewa upendeleo maalum haliwezekani na halijawahi kufanyika popote duniani.
Hawa wanaolalamika yaliyotokea Tanga, hawausemi ukweli kuwa hawa waislamu waligomea kulipa ushuru, wakampiga mpaka kumuua mgambo aliyekuwa akisimamia sheria, tena muislam mwenzao. Sasa wanasakwa na kukamatwa, wanadai ni kwa sababu ya uislam wao; this is stupidity of the highest order...Ndio maana hata RC Chiku hakutaka hata kusikiliza upuuzi wao.
The moment waislam wataachana na INFERIORITY COMPLEX ya akina Mohamed Said na kujikita katika solution based actions (kusomesha watoto wao, kufanya personal enterprise, etc) is the moment we will see them rising up.
Hebu angalia, wapo waislam wengi wasio na mentality ya M.Said
, wanajiamini, wanajua wao wenyewe ndio wako Responsible na maisha yao, hawamlaumu mtu au historia, etc mbona maisha yao ni mazuri kabisa? Ina maana hao MFUMO KRISTO haukuwaona?
Kwa mentality na approach hii waislamu wataishia kupata virungu na kuozea magerezani; like Ponda & co) bila kufanikisha ajenga yoyote au lolote wanalodai. Halafu bado wanasem ".. inshallah uislam utatawala dunia..!!"..labda Venus..
Hivi huo ugaidi walikuwa wanamfanyia nani huko vijijini? wewe?
Umesema kweli mkuu.
Kinachosumbua waislam ni INFERIORITY Complex, baasi. It is pathetic kwamba mtu anayejiita msomi Mohamed Said naye amejoin- hiyo bandwagon. Maandiko yote ya Said ni KULALAMIKA tu, kuwaona waislam ni wanyonge, dhaifu, etc. Tujiulize: lengo la kufanya hivi ni nini? Lengo ni kutaka waislam sasa wapewe upendeleo fulani au favours maalum na serikali (outside of merit!!). Pamoja na 'usomi' wake Said hajui kuwa suala la waislam kupewa upendeleo maalum haliwezekani na halijawahi kufanyika popote duniani.
Hawa wanaolalamika yaliyotokea Tanga, hawausemi ukweli kuwa hawa waislamu waligomea kulipa ushuru, wakampiga mpaka kumuua mgambo aliyekuwa akisimamia sheria, tena muislam mwenzao. Sasa wanasakwa na kukamatwa, wanadai ni kwa sababu ya uislam wao; this is stupidity of the highest order...Ndio maana hata RC Chiku hakutaka hata kusikiliza upuuzi wao.
The moment waislam wataachana na INFERIORITY COMPLEX ya akina Mohamed Said na kujikita katika solution based actions (kusomesha watoto wao, kufanya personal enterprise, etc) is the moment we will see them rising up.
Hebu angalia, wapo waislam wengi wasio na mentality ya M.Said
, wanajiamini, wanajua wao wenyewe ndio wako Responsible na maisha yao, hawamlaumu mtu au historia, etc mbona maisha yao ni mazuri kabisa? Ina maana hao MFUMO KRISTO haukuwaona?
Kwa mentality na approach hii waislamu wataishia kupata virungu na kuozea magerezani; like Ponda & co) bila kufanikisha ajenga yoyote au lolote wanalodai. Halafu bado wanasem ".. inshallah uislam utatawala dunia..!!"..labda Venus..
Mkuu ntuzu.
Olemhola mwanawane,
Huu mfumo mkuu muanzilishi hassa ni mkoloni, na alipoondoka akamkabidhi nyerere kuuendeleza. Yule bwana akauimarisha vizuri sana kwa imani yake ya kikatoliki!
Historia yake ndefu mno.
Na kama ndugu yangu crabat alivyokuonjesha hapo juu umeona mwenyewe.
Huu mfumo KRISTO mkuu ndio unaotugawa hapa TZ.
Unatubagua , na HUU NDIO UTAKUWA SABABU KUBWA YA AMANI YETU KUPOROMOKA.
Soma kwa kituo halafu leta maoni yako.
Wabeja nkoi.
Hii ni vita dhidi ya uislamu na sio ugaidi.
We mbulula aliyekwambia WAISLAMU NI WANYONGE NI NANI!
Paka shume wanapenda sana kula uchafu.
Na ule uchafu wa mfumo kristo ndio ulio ktk matumbo yenu. Mnajamba uvundo kila mkiandika hapa.
Mojamed said halalamiki BALI ANAELIMISHA JAMII ambayo imejaa Mambulula kama wewe!
Watu wazima mpaka leo HII 21st century BADO MNAABUDU PICHA YA MZUNGU NA SANAMU YAKE!! Na kwa akili za namna hii ni vigumu sana kwa WASOMI kama Mohamed said kuwaelimisha. Lkn kwa sababu juu ya kuwa wanafunzi wengi akili mbovu mwalimu huwa hachoki kufundisha!
Na hicho ndicho anachokifanya
Muheshimiwa Mohamed Said.
Na kwa upungufu wa fikra zako unadhani hizo hujuma wanazofanyiwa waislamu zitakufanya wewe na wale makafiri wengine kuishi maisha ya amaani kabisa!
Time will tell donkeys!
And when the right time comes! People like urself will pee in their pants.!!
Ni vigumu kutofautisha kati ya muislam na gaidi,maana ugaidi na uislam ni pande mbili za shiling moja,kwa hyo kupambana na ugaidi ni lazma kupambana na uislam.
Nale mwala bhageshi!
Unajua Mkuu Nilitaka kujua undani Wa huu mfumo Na kuna maswali nimemuuliza Crabat baada ya kutoa hayo maelezo yake! Na vile vile ningependa kukuuliza ata wewe! Ivi huu mfumo Uko Tz tu Au hu mfumo chanzo chake ni Kanisa la Roman Tz tu? Na Kama si Tz tu kwanini kuilaumu serikali ktk huu mfumo Wa kidunia? Ebu Nikuombe na niwaombe muutolee maelezo Kwa ndani Zaidi huu mfumo Kwasababu Nahisi kuna vitu Bado vinapwaya Au Nahisi Kua serikali yetu haipaswi kulaumiwa!
Naitaji maelezo Zaidi!
Obeja wang'wiswe
Kwenye mambo ya dini mm sitiii neno!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Miezi michache iliyopita vyombo vya habari vilisheheni taarifa ya magaidi waliokuwa katika vijiji vya Handeni.
Taarifa zilifika Tanga kuwa kulikuwa na magaidi wanaishi katika mahandaki na operesheni maalum ilikuwa ikifanyika kuwateketeza.
Propaganda ikaenezwa kuwa walikuwa hawaitambui serikali ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Habari zilivuja Tanga mjini na vitongiji vyake kuwa kuna vijiji vimeteketezwa.
Kwa hakika kuna watu waliletwa Hospitali ya Bombo wakiwa na majeraha ya risasi.
Kwa watu waliofika Hospitali ya Bombo kwa kweli waliwaona vijana waliokuwa wamefungwa pingu wakiwa katika vitanda vyao huku wakilindwa na askari.
Taarifa zikafika vilevile kuwa kuna watoto wadogo wamefikishwa Tanga baada ya kukutwa porini.
Watoto hawa walikuwa wamehifadhiwa katika moja ya shule za hapo mjini.
Katika hali kama hiyo vilevile zikafika taarifa tofauti kwa Waislam wa Tanga kuwa hao walioletwa Hosptali ya Bombo na watoto waliookotwa porini ni Waislam wa vijiji vya Madina, Dibungo na Lwande walioshambuliwa na askari pasi na sababu.
Juhudi za Umoja wa Taasisi za Kiislam Tanga (SHITA) chini ya Mayor Omari Guledi na Katibu wake Ahmed Mustafa kukutana na Mkuu wa Mkoa Chiku Galawa kupata ukweli zikagonga mwamba.
Hali ikawa tete baada ya Sheikh Rajab Ramadhani Chambuso mmoja katika masheikh vijana mjini Tanga kukamatwa na kuwekwa rumande kisha kuhamishwa Handeni ambako alifunguliwa kesi ya ''kushawishi mauaji.''
Ikavuma kuwa patakuwa na maandamano kushinikiza kuachiwa kwa Sheikh Chanmbuso.
Askari wa FFU walizingira misikiti kadhaa Ijumaa hiyo lakini hapakuwa na maadamano yoyote.
Alipopata dhamana na kuachiwa Sheikh Chambuso alikuja Tanga na habari za kutisha kuhusu dhulma iliyopita katika vijiji vya Madina, Dibungo na Lwande.
Habari hizi alielezwa na mahabusi wendake katika hivyo vijiji vilivyoshambuliwa.
Sheikh Chambuso katika hotba aliyotoa katika moja ya misikiti maarufu Tanga aliwafahamisha Waislam kuhusu misikiti iliyovujwa na kuchomwa moto, Qur'an zillizochoiwa moto na nyumba za Waislam zilizoteketezwa kwa kisingizo cha ugaidi.
Wananchi jioneeni wenyewe yote hayo katika hizi picha.
PS: Weka cursor kwenye picha click utapata na maelezo ya picha.
du du du huo ni mdomo wako unaotoa maneno machafu kama CHOO CHA SHIMO?
We unaujua mdomo mchafu??
Mdomo mchafu ni ule unaosema kuwa MUNGU AMEZAA. NA MUNGU NI miungu mitatu kwa mmoja! Na Mungu ni dhaifu kuliko Viumbe wake!
Na Mungu ALIUWAWA NA VIUMBE WAKE.!
Hio ndio MDOMO UNAONUKA KULIKO CHOO CHAKO CHA SHIMO!
Myahudi mweusi!
je rais kikwete ameruhusu vita dhidi ya uislamu?
Umesema kweli mkuu.
Kinachosumbua waislam ni INFERIORITY Complex, baasi. It is pathetic kwamba mtu anayejiita msomi Mohamed Said naye amejoin- hiyo bandwagon. Maandiko yote ya Said ni KULALAMIKA tu, kuwaona waislam ni wanyonge, dhaifu, etc. Tujiulize: lengo la kufanya hivi ni nini? Lengo ni kutaka waislam sasa wapewe upendeleo fulani au favours maalum na serikali (outside of merit!!). Pamoja na 'usomi' wake Said hajui kuwa suala la waislam kupewa upendeleo maalum haliwezekani na halijawahi kufanyika popote duniani.
Hawa wanaolalamika yaliyotokea Tanga, hawausemi ukweli kuwa hawa waislamu waligomea kulipa ushuru, wakampiga mpaka kumuua mgambo aliyekuwa akisimamia sheria, tena muislam mwenzao. Sasa wanasakwa na kukamatwa, wanadai ni kwa sababu ya uislam wao; this is stupidity of the highest order...Ndio maana hata RC Chiku hakutaka hata kusikiliza upuuzi wao.
The moment waislam wataachana na INFERIORITY COMPLEX ya akina Mohamed Said na kujikita katika solution based actions (kusomesha watoto wao, kufanya personal enterprise, etc) is the moment we will see them rising up.
Hebu angalia, wapo waislam wengi wasio na mentality ya M.Said
, wanajiamini, wanajua wao wenyewe ndio wako Responsible na maisha yao, hawamlaumu mtu au historia, etc mbona maisha yao ni mazuri kabisa? Ina maana hao MFUMO KRISTO haukuwaona?
Kwa mentality na approach hii waislamu wataishia kupata virungu na kuozea magerezani; like Ponda & co) bila kufanikisha ajenga yoyote au lolote wanalodai. Halafu bado wanasem ".. inshallah uislam utatawala dunia..!!"..labda Venus..
Hapo kwenye blue, kama hiyo ni sababu ya kumpa heshima OSAMA, basi wewe si Muislamu. Ila kama muislamu wa kweli anatakiwa awe kama wewe, basi uislamu ni tatizo.Haitwi ossama. Bali ni SHEIKH OSAMA MWANA WA LADEN!
Ametingisha mataifa zaidi ya 50 ya makafiri!
Kawarudisha makafiri kwenye body bags kwa maalfu!
Ni one man army! Wamepiga kila kona ya afghanistan na Pakistan kwa zaidi ya miaka zaidi ya 10 na ziada lkn wapi!
Kwa hio unapotaka jina lake MPE HESHIMA yake!
We mbulula aliyekwambia
WAISLAMU NI WANYONGE NI NANI!
Paka shume wanapenda sana kula uchafu.
Na ule uchafu wa mfumo kristo ndio ulio ktk matumbo yenu. Mnajamba
uvundo kila mkiandika hapa.
Mojamed said halalamiki BALI ANAELIMISHA JAMII
ambayo imejaa Mambulula kama wewe!
Watu wazima mpaka leo HII 21st century BADO MNAABUDU PICHA YA MZUNGU NA
SANAMU YAKE!! Na kwa akili za namna hii ni vigumu sana kwa WASOMI kama
Mohamed said kuwaelimisha. Lkn kwa sababu juu ya kuwa wanafunzi wengi
akili mbovu mwalimu huwa hachoki kufundisha!
Na hicho ndicho anachokifanya
Muheshimiwa Mohamed Said.
Na kwa upungufu wa fikra zako unadhani hizo hujuma wanazofanyiwa
waislamu zitakufanya wewe na wale makafiri wengine kuishi maisha ya
amaani kabisa!
Time will tell donkeys!
And when the right time comes! People like urself will pee in their
pants.!!
Kwelitupu,
Unanisoma kinyumenyume hata siku moja sijapata kuwaeleza Waislam
kuwa ni wanyoge.
Wala historia ya Waislam Tanzania kuanzia Vita vya Maji Majihadi kuja
kupigania uhuru nimewaeleza Waislam katika historia yao ya mapambano.
Vitabu vyangu na papers zangu zipo kote zitafute usome.
Historia kama hii ''inferiority complex'' itaingia wapi?
We unaniona nimeingia hapa uwanjani kwa jina langu kamili bila ya kujificha.
Hii ni dalili ya unyonge au uoga?
Mimi silalamiki.
Kulalamika neno hilo linatokana na ulalamishi.
Mimi silalamiki mimi nasomesha historia ya wazee wangu iliyofichwa kwa
zaidi ya nusu karne ikapachikwa na kuwapa watu heshima zisizozao.
Mimi silalamiki mimi naweka bayana dhulma na uchafu mwingine
wanaotendewa Waislam wa Tanzania.
Mimi najiamini sana na nimesimama kwingi duniani katika majukwa
ya kigeni nikiwa peke yangu na nikazungumza yote niliyotaka na
kujibu maswali yao.
Hii si dalili ya mtu asiyejiamini.
Una shaka kuhusu utukufu wa Uislam?
Angalia mfano wa harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika.
Nani waliongoza mapambano yale?
Nani waliasisi TANU nani walitoa fedha za kupambana na Muingereza?
Isome historia hii utapata jibu.
Angalia hii picha hapa chini.
Chiku Galawa hakutaka kusikiliza upuuzi...
Hakutaka kusikiza upuuzu upi?
Unajua kuwa tatizo la ushuru lilitokea Kilindi alipouliwa mgambo?
Je unajua kuwa hao watoza ushuru walikwenda kudai ushuru nyumbani
kwa mtu na si sokoni?
Je unajua kuwa Madina hawakuhusika na yaliyotokea Kilindi?
Je unajua kuwa Sheikh Hamisi Msuri kauliwa mbele ya msikiti Madina
na hakuwa na habari yoyote kuhusu ushuru wa hiliki?
Je unajua kuwa Lwande nako msikiti ulivunjwa na matofali yake yakapelekwa
kujenga zahanati ya serikali?
Je unajua kuwa vibarua walikataa kuchukua kazi ya kuhamisha matofali ya
msikiti kwenda kwenye kiwanja cha serikali kujenga zahanati?
Unajua kuwa propaganda iliyokuwa inavumishwa ni kuwa ati Waislam wa
huko walikuwa wanaishi katika mahandaki?
Nani mpuuzi?
Msemakweli kipi kimekufanya utumie neno hili ''upuuzi?''
Sisi wapuuzi?
Anevamia na kuchoma na misikiti na kuvunja nyumba au yule anetaka haki
isimame?
Mbona kama kulikuwa na magaidi kazi ilikuwa ni ndogo tu ya kuwakamata?
Nani mpuuzi?
Yule anaepeleka askari kuua na kuchoma misikiti na nyumba na kuiba mali zao?
Angalia picha ya msikiti mabao haupo msingi umechimbwa.
Msikiti na ushuru wa hiliki kuna uhusiano upi?
Nani mpuuzi?
Nani mpuuzi?
Nani mpuuzi kuiko yule aneamini ati Lwande kulikuwa na mahandaki ya Al Shabab?
Hii inaitwa cock and bull story.
Chiku Galawa...
Msemakweli ahsante kwa kuniletea jina hili.
Kajiingiza vizuuuri katika historia.
Believe this and you will believe everything.
Nani mpuuzi?
Yule anetoa amri kuwa yeyete aliyevaa kanzu na kuonyesha athari za
Uislam ashushwe kwenye basi na airuhusiwe kuingia Handeni...
Unajua kuwa hizi ni mbinu wakitumia Manazi wa Hitler dhidi ya Wayahudi
wakati wa Vita Kuu ya Pili?
Haya leo wanafanyiwa Waislam tena wa vijijini...
Kisha unawaita wapuuzi.
Chiku Galawa...
Ziko picha nyingi In Sha Allah tutaziweka hapa.
Msemakweli huenda ulikuwa hujui.
Kanzu za Waislam ndizo zilizopigania uhuru wa Tangnayika na ushahidi ni
hiyo picha.
Wangefufuka hawa wazee wetu wakaiona nchi walioikomboa kuwa
inachukia kanzu wangesema, ''Au tumefufuka nchi nyingine?''
Muhimu kweti sisi watanzania ni kile kinachotokea hapa kwetu!
Na tukiongelea MFUMO KRISTO basi tunaongelea uliopo HAPA TZ!
Yale yalioko nje ya Tz hayatuhusu sisi. Na km wewe mkuu ntuzu unapenda kuufahamu zaidi tena kwa undani huu mfumo kristo. Basi tafuta kitabu kimoja hapo Dar.au mwanza . Na arusha. Kilichotengenezwa na wasomi KINACHOONGELEA MFUMO KRISTO.
Watu wanapiga kelele bila hata kusoma na kufahamu waislamu wanasema nini kuhusu MFUMO KRISTO.
Tukwibhona ntondo!
Mkuu kuna haja ya kuuchambua kimataifa Kwasababu km mfumo huu chanzo chake ni ukatoriki huu sio msimamo Wa Hilo Kanisa Kwa Tz ni Dunia nzima! Au km ni Tz tu tujue! Ndio maana nikasema Nahisi kuna vitu vingi ambavyo Kwa namna moja Au ingine hamvisemi wazi wazi!
Hakuna sehemu nimesema CHANZO CHAKE NI UKATOLIKI!
Kumbuka mtawala aliyetuletea sisi UKRISTO alikuwa ni muingereza!
Na WAINGEREZA SIO CATHOLICS! Bali ni CHURCH OF ENGLAND.
LKN aliyeuendeleza kwa NGUVU ZOTE NI MKATOLIKI NYERERE.
Sasa ya nini sisi tuingilie MAMBO YA KIMATAIFA WAKATI YETU BADO YANATUSHINDA??
Tunacho takiwa sisi Watz tulione hilo kwa pamoja na tusaidiane KUONDOA HUU MFUMO KRISTO KTK NCHI YETU!
LA si hivyo. Balaa kubwa inakuja mbele!
Asante