Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Status
Not open for further replies.
Miezi michache iliyopita vyombo vya habari vilisheheni taarifa ya magaidi waliokuwa katika vijiji vya Handeni.

Taarifa zilifika Tanga kuwa kulikuwa na magaidi wanaishi katika mahandaki na operesheni maalum ilikuwa ikifanyika kuwateketeza.

Propaganda ikaenezwa kuwa walikuwa hawaitambui serikali ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Habari zilivuja Tanga mjini na vitongiji vyake kuwa kuna vijiji vimeteketezwa.

Kwa hakika kuna watu waliletwa Hospitali ya Bombo wakiwa na majeraha ya risasi.

Kwa watu waliofika Hospitali ya Bombo kwa kweli waliwaona vijana waliokuwa wamefungwa pingu wakiwa katika vitanda vyao huku wakilindwa na askari.

Taarifa zikafika vilevile kuwa kuna watoto wadogo wamefikishwa Tanga baada ya kukutwa porini.

Watoto hawa walikuwa wamehifadhiwa katika moja ya shule za hapo mjini.

Katika hali kama hiyo vilevile zikafika taarifa tofauti kwa Waislam wa Tanga kuwa hao walioletwa Hosptali ya Bombo na watoto waliookotwa porini ni Waislam wa vijiji vya Madina, Dibungo na Lwande walioshambuliwa na askari pasi na sababu.

Juhudi za Umoja wa Taasisi za Kiislam Tanga (SHITA) chini ya Mayor Omari Guledi na Katibu wake Ahmed Mustafa kukutana na Mkuu wa Mkoa Chiku Galawa kupata ukweli zikagonga mwamba.

Hali ikawa tete baada ya Sheikh Rajab Ramadhani Chambuso mmoja katika masheikh vijana mjini Tanga kukamatwa na kuwekwa rumande kisha kuhamishwa Handeni ambako alifunguliwa kesi ya ''kushawishi mauaji.''

Ikavuma kuwa patakuwa na maandamano kushinikiza kuachiwa kwa Sheikh Chanmbuso.

Askari wa FFU walizingira misikiti kadhaa Ijumaa hiyo lakini hapakuwa na maadamano yoyote.

Alipopata dhamana na kuachiwa Sheikh Chambuso alikuja Tanga na habari za kutisha kuhusu dhulma iliyopita katika vijiji vya Madina, Dibungo na Lwande.

Habari hizi alielezwa na mahabusi wendake katika hivyo vijiji vilivyoshambuliwa.

Sheikh Chambuso katika hotba aliyotoa katika moja ya misikiti maarufu Tanga aliwafahamisha Waislam kuhusu misikiti iliyovujwa na kuchomwa moto, Qur'an zillizochoiwa moto na nyumba za Waislam zilizoteketezwa kwa kisingizo cha ugaidi.

Wananchi jioneeni wenyewe yote hayo katika hizi picha.

PS: Weka cursor kwenye picha click utapata na maelezo ya picha.
:lock1:

Waislamu wa Tz wana matatizo yao na wanaishi nayo huko huko wanakokutana na matatizo yao mengine. Matatizo yao ni siri kubwa mpaka wanapohisi wamejulikana au anayewajua anataka kuwaumbua. Ukikumbuka maandamano ya Waislamu wa Chamazi eti kuna mtoto wa Mkristo amekojolea Koran utaelewa nasema nini. Tukio kama hilo lilikuwa la kughushi ili kutishia umma usijue hofu yao halisi ya mtu mmoja wanayemwogopa maisha yao kwa miaka ishirini na zaidi sasa. Wakachoma makanisa ili tu kupoteza lengo na kuwavuruga wasiojua ili waendelee kudhani Waislamu wana hoja ya dini yao, kumbe ni maovu yao yamekithiri hawataki yakajulikana.

Siri zao ni nyingi mno mpaka huwezi kuwaelewa mpaka ujue mikakati yao wanayopanga usiku na mchana miongoni mwao. Ukitaka kujua siri zao soma matusi na majigambo wanayoandika kwenye vitako na nyuma ya magari yao ya kubebea mizigo na abiria. Wao hapo wana namna ya magazeti na radio za siri muhimu sana za kuwasiliana miongoni mwao ili walioko Tanga wakisoma wajue walioko Mkuranga na Lindi na Mtwara wamefikia hatua zipi katika malengo yao ya pamoja.

Hivyo ukikuta wanamlazimisha Chiku Ghalawa aseme nao ujue wanatafuta mahali pa kuficha visiri vyao ili mgongo wa Ofisi ndiyo ujulikane kuhusu wanalotaka kuficha. Chiku Ghalawa akikataa wanajitangaza wanaonewa na kutangaza jihadi. Wote mmeshuhudia kelele za Mahakama ya Kadhi. Wanaambiwa Serikali haina utaratibu wa kuingia misikitini kwenda kuanzisha taratibu na miongozo ya kidini, nendeni mkasome Koran yenu mfuate yanayoagizwa humo, kama na Mahakama ya Kadhi sawia haya, hakuna atakayekuja kuwakataza. Lakini bado mmeshuhudia makelele yalivyokwenda mpaka Waziri Mkuu (Mkristo masikini Mizengo PETER Pinda) akalazimishwa kukutana na Waislamu. Eti tu wajulikane wao wamekutana na Serikali kwa NGUVU.

Mhhhh! Nisiseme mengi mno mtaniona nawachukia hawa jamaa lakini matatizo yao huwa wanakuwa nayo huko huko, ukiwaona wanakuja hadharani ujue wanatafuta wenye shida tu ya kuyaona katika sura ya uongo wanaokuwa wamepanga huko huko.
 
Huu mi mfumo upo na mizizi hata akija rais pagani atanyamaza au atafanyiwa visa inatakiwa mapinduzi makubwa sio uchaguzi wa kura

Mkuu Kama huu mfumo upo, Je asili yake ni wapi?
Maana tukiijua asili tutaweza kupata ufumbuzi!

Nisaidie tafadhali kujua asili ya huo mfumo!

Na pia siungi mkono hoja yako ya mapinduzi ya namna yoyote ile Kwasababu Amani ni kitu muhimu sn Kwa mwandamu! Na Labda km Uko Dar nenda ukafanye kuwahoji wakazi Wa Gongolamboto wakupe habari za mabomu Yale yaliyolipuka kwenye kambi ya jeshi ni namna gani walivyo pata tabu! Vurugu Au vita Au mapinduzi sio vitu vya kuomba Mkuu! Tena nikumuomba Mungu aepushie mbali! Wengi wetu ata vita hatujavishuhudia Kwa macho ndio maana Tunaweza kuomba mabaya!
 
Hivi kinachoendelea Afrika ya kati ni ugaidi au ni CRUSADE?

Tungeweza kumaliza hoja ya Mohamed Said kwanza ndio Tujadili hayo mambo ya Africa ya Kati!

Labda nikikujibu Hilo ingawa sijafatilia Kwa undani sana, mgogoro Wa Africa ya Kati ni vita ya wao Kwa Wao na imeenda mpaka Imegeuka Na Kua wanauana wakristo na waislam na pia chanzo Cha Hiyo vita ni kupinduliwa Kwa serikali ya Africa ya Kati! Sijui nimejibu sahihi?

Hayo mambo binafsi nisingependa yatokee Duniani Au ktk taifa letu!
 
Mbunge mkristo hatowasaidia.na hili tayizo jengine la waislam bado tunaendelea kuwachagua hawa !! Lazima tubadilike iwe fundisho sehemu za waislam kuwa na mbunge mkristo hatawasaidia hata siku moja

Mnataka mchague mtu atakaye sapoti upuuzi wenu? Ikumbukwe siyo waislam wote wanaoukubali upuuzi huu, isipokuwa Wasuni.
 
Muziki wa Makafiri si mliuona?Shekh Ossama aligeuzwa chakula cha Samaki fasta.Chezea Dunia ya Wastaarabu weye.

acha ujinga ule uongo m2pu kwa wasio na akili kama ww waliamini. Subiri siku tutakapotangaza jihadi ndo mtajua boko haram inaafadhali. Istoshe maisha ya dunia kwenu ndio pepo
 
Mkuu Kama huu mfumo upo, Je asili yake ni wapi?
Maana tukiijua asili tutaweza kupata ufumbuzi!

Nisaidie tafadhali kujua asili ya huo mfumo!

Na pia siungi mkono hoja yako ya mapinduzi ya namna yoyote ile Kwasababu Amani ni kitu muhimu sn Kwa mwandamu! Na Labda km Uko Dar nenda ukafanye kuwahoji wakazi Wa Gongolamboto wakupe habari za mabomu Yale yaliyolipuka kwenye kambi ya jeshi ni namna gani walivyo pata tabu! Vurugu Au vita Au mapinduzi sio vitu vya kuomba Mkuu! Tena nikumuomba Mungu aepushie mbali! Wengi wetu ata vita hatujavishuhudia Kwa macho ndio maana Tunaweza kuomba mabaya!

Mapinduzi sio lazima kupigana .yanatakiwa mapinduzi ya fikra ya kuwafanya watu wawe na mawazo kuwa nchi hii ni ya watu wote .unapopewa madaraka upewe kwa uwezo wako na unapochagua wachini yako kigezo usiwe dini yako kila mtu ajione ni mtanzania kwanza
Dini iwe ni mambo ya binafsi isiwe na nafasi katika serikali nk nk
Hayo ndio mapinduzi na sio kupigana . Kupigana hakuleti mapinduzi zaidi ya vurugu
 
Mapinduzi sio lazima kupigana .yanatakiwa mapinduzi ya fikra ya kuwafanya watu wawe na mawazo kuwa nchi hii ni ya watu wote .unapopewa madaraka upewe kwa uwezo wako na unapochagua wachini yako kigezo usiwe dini yako kila mtu ajione ni mtanzania kwanza
Dini iwe ni mambo ya binafsi isiwe na nafasi katika serikali nk nk
Hayo ndio mapinduzi na sio kupigana . Kupigana hakuleti mapinduzi zaidi ya vurugu


Kuna hoja Yangu hujajibu Mkuu!
Ni nini asili ya mfumo ambao unauona wewe Kua Upo?
Jaribu kurudi kwenye post Yangu niliyokuuliza juu ya mfumo maana Nataka kujua asili ya mfumo ambao Naona Kwa namna moja huenda ukawa ni sababu ya matatizo!

Katiba ya nchi yetu iko wazi kabisa Kua serikali yetu haina dini na ata mfumo Wote uliopo chini Kutoka serikalini hauna dini na Watu Wote tunashirikiana vizuri tu ktk shughuli mbalimbali! Mazishi harusi ujirani etc!
 
acha ujinga ule uongo m2pu kwa wasio na akili kama ww waliamini. Subiri siku tutakapotangaza jihadi ndo mtajua boko haram inaafadhali. Istoshe maisha ya dunia kwenu ndio pepo

Sasa mnasubiri nini kuanza, hamuogopwi kama mnavyofikiria.
 
Kuna hoja Yangu hujajibu Mkuu!
Ni nini asili ya mfumo ambao unauona wewe Kua Upo?
Jaribu kurudi kwenye post Yangu niliyokuuliza juu ya mfumo maana Nataka kujua asili ya mfumo ambao Naona Kwa namna moja huenda ukawa ni sababu ya matatizo!

Katiba ya nchi yetu iko wazi kabisa Kua serikali yetu haina dini na ata mfumo Wote uliopo chini Kutoka serikalini hauna dini na Watu Wote tunashirikiana vizuri tu ktk shughuli mbalimbali! Mazishi harusi ujirani etc!

Asili ya mfumo ni ukoloni walitawala kwa kuweka matabaka na tulipopata uhuru hatukutaka kubadili hali hii tuliona ni sawa.
Katiba haisemi lakini kunakua na utekelezaji wa chuni kwa chini
Jiulize kwa nini wale waislam kule kilindi wapewe collective punishment?
Kwanini mtwara wapelewe jeshi kubamizwa?
Kwanini jeshi liletwe msimbazi kuja kushughulikia maandamano tu ya amani pale kariakoo?
Kwanini kule pemba nao walipata collective adhabu ?
Jiulize kwa nini vyimbo vya habari hawatangazi habari hizi kwa ukweli bali ushabiki wa kidini?
Jiulize kwa nini bunge na bunge wanakataa kuchunguza uonevu huu katika maeneo ya waislam ?
Jiulize wanapodai mfano necta kuna upendeleo na mifano inatolewa lakini wote wanaziba masikio.
Sasa katiba iko sawa haina matatizo lakini kwa nini tuwe tunawanyanyapaa waislam wanao hoji mambo ya msingi kabisa ? Kuna tatizo. Jee swali lako asili ya mfumo ni nini? Urithi wa kutawaliwa na kwa vile katiba ya nchi hairuhusu upendeleo au kubaguana kwa misingi ya dini basi watu wanapokea maelekezo kutoka ama kwa viingozi wao wa dini au wanakua vibaraka wa nje.
Hii mada ni kubwa sana na kuzijadili hapa ni njia moja ya wanaojali usawa kupata mwanga kuwa zipo hisia hizi miongoni mwa jamii yetu na watu tubadilike kwa manufaa ya tanzania ijayo ya vitukuu vyetu
 
acha ujinga ule uongo m2pu kwa wasio na akili kama ww waliamini. Subiri siku tutakapotangaza jihadi ndo mtajua boko haram inaafadhali. Istoshe maisha ya dunia kwenu ndio pepo

Walimkamua kinyesi baharini na kumtosa!
 
Asili ya mfumo ni ukoloni walitawala kwa kuweka matabaka na tulipopata uhuru hatukutaka kubadili hali hii tuliona ni sawa.
Katiba haisemi lakini kunakua na utekelezaji wa chuni kwa chini
Jiulize kwa nini wale waislam kule kilindi wapewe collective punishment?
Kwanini mtwara wapelewe jeshi kubamizwa?
Kwanini jeshi liletwe msimbazi kuja kushughulikia maandamano tu ya amani pale kariakoo?
Kwanini kule pemba nao walipata collective adhabu ?
Jiulize kwa nini vyimbo vya habari hawatangazi habari hizi kwa ukweli bali ushabiki wa kidini?
Jiulize kwa nini bunge na bunge wanakataa kuchunguza uonevu huu katika maeneo ya waislam ?
Jiulize wanapodai mfano necta kuna upendeleo na mifano inatolewa lakini wote wanaziba masikio.
Sasa katiba iko sawa haina matatizo lakini kwa nini tuwe tunawanyanyapaa waislam wanao hoji mambo ya msingi kabisa ? Kuna tatizo. Jee swali lako asili ya mfumo ni nini? Urithi wa kutawaliwa na kwa vile katiba ya nchi hairuhusu upendeleo au kubaguana kwa misingi ya dini basi watu wanapokea maelekezo kutoka ama kwa viingozi wao wa dini au wanakua vibaraka wa nje.
Hii mada ni kubwa sana na kuzijadili hapa ni njia moja ya wanaojali usawa kupata mwanga kuwa zipo hisia hizi miongoni mwa jamii yetu na watu tubadilike kwa manufaa ya tanzania ijayo ya vitukuu vyetu


Mkuu Umetoa maelezo mazuri kabisa na kuorozesha matukio mengi tu ya matumizi ya dola! Sasa Kutokana na hayo unayosema inaonesha wazi Kua ukristo hauusiki. Unaweza Vipi kuwalaumu wakristo ktk haya mpaka ipelekee useme Kua Kwa maeneo ya waislam wasiwachague wakristo Kua viongozi wao?

Na Ukumbuke Kua wakoloni wetu walikua ni waarabu kwanza then wakaja wazungu!
 
Kuna mambo kama haya hayana maaana kabisa
sisi tunasaka pesa na kusoma sana hatuko bize kuangalia dini wakati dini zimeletwa na watu kwa hiyo sina muda wa kujadili vitu hivyo
nikianza kujadili watu wanapiga hatua mara uanze kulaumu ooo fulani kasoma sana na amepewa cheo kikubwa sasa upewe cheo wakati hujafika vigezo vya kupewa
ndio maana mazungu yanatuzidi majitu yanapiga hatua huku watu wakijadili udini
well said........
 
Asili ya mfumo ni ukoloni walitawala kwa kuweka matabaka na tulipopata uhuru hatukutaka kubadili hali hii tuliona ni sawa.
Wakoloni gani?
Katiba haisemi lakini kunakua na utekelezaji wa chuni kwa chini
Huo utekelezaji wewe umeuona wapi?
Uko wapi ushahidi?
Jiulize kwa nini wale waislam kule kilindi wapewe collective punishment?
Kwanini unawataja kama waislam na sio watanzania?
Kwanini mtwara wapelewe jeshi kubamizwa?
Kwanini wasipewe?
Kwanini jeshi liletwe msimbazi kuja kushughulikia maandamano tu ya amani pale kariakoo?
Kwanini hutaji yale maandamano ya kule Arusha?
Na kwanini jeshi lisiende hapo msimbazi?
Kwanini kule pemba nao walipata collective adhabu ?
Kwanini wasipewe?
Jiulize kwa nini vyimbo vya habari hawatangazi habari hizi kwa ukweli bali ushabiki wa kidini?
Ukweli ni upi?
Kwa kipimo gani vyombo vya habari vimetangaza kwa ushabiki wa kidini?
Kwa ushahidi gani?
Jiulize kwa nini bunge na bunge wanakataa kuchunguza uonevu huu katika maeneo ya waislam ?
Bunge lilikataa kwa ushahidi gani?
Kwanini unayataja hayo maeneo kuwa ni ya waislam na siyo watanzania?
Ni ya waislam kivipi?Yalinunuliwa na msikiti?
Hakuna watu wa imani nyingine wanaoishi hayo maeneo?
Hakuna watu wasiokuwa na dini wanaoishi maeneo hayo?
Jiulize wanapodai mfano necta kuna upendeleo na mifano inatolewa lakini wote wanaziba masikio.
Upendeleo upi?
Kwa ushahidi gani?
Sasa katiba iko sawa haina matatizo lakini kwa nini tuwe tunawanyanyapaa waislam wanao hoji mambo ya msingi kabisa ?
Unazungumzia katiba gani?
Nijuavyo mimi katiba iliyopo ni ile ya zamani ambayo tuko kwenye mchakato wa kuifanyia marekebisho,kama unasema haina matatizo utakuwa wewe ni kiumbe mpya kabisa chini ya jua na nchi hii kwa sababu Watanzania wenzako wanaiona haifai ndio maana iko kwenye mchakato wa kufanyiwa marekebisho wewe unasema haina matatizo

Kama unaizungumzia rasimu utakuwa umejichanganya vibaya sana kwani bado haijawa katiba bali ni rasimu
Kuna tatizo.
Liko wapi?
Umetumia kipimo gani kuligundua hilo tatizo?
Jee swali lako asili ya mfumo ni nini? Urithi wa kutawaliwa na kwa vile katiba ya nchi hairuhusu upendeleo au kubaguana kwa misingi ya dini basi watu wanapokea maelekezo kutoka ama kwa viingozi wao wa dini au wanakua vibaraka wa nje.
Hao kama wapo watakuwa wanafanya kosa kisheria na wanatakiwa kushtakiwa
Kama una ushahidi wa madai yako ulete hapa
Kama huna hapa sio mahali pa kuzungumzia ndoto na mtazamo wako binafsi
Hii mada ni kubwa sana na kuzijadili hapa ni njia moja ya wanaojali usawa kupata mwanga kuwa zipo hisia hizi miongoni mwa jamii yetu na watu tubadilike kwa manufaa ya tanzania ijayo ya vitukuu vyetu
Mada ni kubwa kivipi?
Ni kwanini unadhani watu wanaojadili haya wanakuwa wanataka usawa na sio kinyume chake?
Uko wapi ushahidi wa haya madai yako?
Kama kuna hisia hilo ni tatizo la wenye hisia

Mtu anaweza kuhisi amebadilika jinsia,je ni halali tuchukulie hisia zake serious?
Mbona unaleta vituko?

Kama mtu amevuta bangi zake huko na akaja na kukuambia kuwa anaona ndani mwako kuna sisimizi wakubwa kama ng'ombe wanatembea ukutani mwako utamuona kuwa anasema kweli na atakuwa sahihi?

Tangu lini tukajadili hisia zisizokuwa na ushahidi hapa?

Ni mara ngapi watu wameandamana na kupigwa na polisi?
Mbona hujataja hayo maandamano mengine?
Au sio ya waislam?

Kuna watu walifukiwa huko Kahama kwenye utawala wa Mkapa mbona huwasemi hao?
Au kwasababu sio waislam?

Kuna usawa gani hapo unaouongelea wewe?
 
acha ujinga ule uongo m2pu kwa wasio na akili kama ww waliamini. Subiri siku tutakapotangaza jihadi ndo mtajua boko haram inaafadhali. Istoshe maisha ya dunia kwenu ndio pepo

Hivi ndivyo mnavyofundishwa huko mnakoabudu?

Kama ni kweli hiyo imani yenu inatakiwa ifutwe na haiitajiki kwa binadamu anaefikiri sawasawa!!
 
hivi ni kweli Osama alitamani ardhi ipasuke ? who are amekua loser katika hii vita dhidi ya Uislam na waislam ? tuangalie facts..
Osama alikuwa anafanya aliyofanya kwa mujibu wa Uislam?
Kama sio ni kwanini operetion ya kumsaka unaihusisha na Uislam kupigwa vita?

  1. majeshi ya Nato na washirika wao yapo Afhganistan miaka 10 na ushee hakuna walichopata zaidi ya kuwa ndani ya msongo wa akili na tope zito ambalo halina njia ya kutokea
  2. Walienda huko kutafuta nini?
  3. wacha hayo nani alishinda vita hii ?
  4. Unajua vita wewe?
mashambulizi yake ndio yalio sababisha kuanguka kwa uchumi wa marekani leo...mpaka leo bado hali ni mbaya sana na bado wataendelea ku suffer..soma hasara walopata kutokana na mashambulizi ya sept 11 na ukosefu wao wao wa busara wa kuazisha vita na waislam duniani badala ya kupambana na ugaidi na magaidi.kwao ikawa kila muislam ni gaidi .ili upone lazima uwe nao ...msemo maarufu wa Bush 'either you be with us or Terrorist' na 'this is crusade'
leo tatizo lile la kigaidi lingetumika kama njia nzuri ya kupiga vita ugaidi kwa nchi kushirikiana lakini badala yake ikatumiwa opportunity ile kama sababu ya kuupiga uislam..kwao wakifanya hivi haitoleta tabu..waislam wachache....lakini kwa nchi kama yetu kukubali kumeza ndoana hii sio sahihi...italeta matatizo.
Kumsaka Osama ni kuushambulia Uislam?
 
Kunaushahidi wa wazi kabisa kuwa vita vya ugaidi vinalenga kudhoofisha uislam, kukwapua rasilimali zetu, kutugawa ili watutawale na kasha kutufanya tegemezi... Wanajua kuwa Uislam ni complete ways of life, uislam unamafundisho yote muhimu anayopaswa kuwa nayo mwanaadamu...Wengi wetu huwa hatujiulizi maswali magumu yamuhimu, ilikuwaje ubalozi wa marekani Dar na Nairobi zilipolipuliwa hakuna mzungu ama afisa wa marekani aliedhurika? kwanini Al Qaeda inafanya mauaji kwa waislam na nchi za kiislam pekee? ilikuwaje WTC ilipoporomoka hakuna kiongozi ama ndugu wa kiongozi yeyote wa marekani aliuawa? ilikuwaje zile penthouse zisiwe na ma-senators, ilikuwaje Osama aliondoa hisa zake a week before? Kwanini Air force one ilitumika kusafirisha familia ya Osama kwenda Saudia, Kwanini waliharakisha kumzika the so called Osama? Kwanini walimzika Baharini wakati Ghadafi na Sadam waliwaua hadharani tena mbele ya waandishi wa habari? kwanin kwenye website ya soccernet wana advert vijana wakitanzania eti wanapewa mafunzo na Al Shababu...? ... Income ya Alshababu, Al Qaeda, Lord Resistance Army, Bokoharam zinatoka wapi? nani anafadhili na kuwapa silaha hao vikundi? Syrian Rebels wanafadhiliwa na nani? kwanini waliua rai kwa kutumia silaha za sumu? ...kwanini makanisa yalitumika katika mauaji ya wahutu kule Rwanda? kwanini UN haikuingilia?....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom