Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Status
Not open for further replies.
[TABLE="align: left"]
[TR]
[TD] Mr. Peter Noni[/TD]
[TD] Managing Director[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Mr. Thomas M. F. Samkyi[/TD]
[TD] Director of Business Development & Appraisal
+255 22 2411111[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Mr. Bernard P. Mono[/TD]
[TD] Director of Treasury & Funding
+255 22 2411112[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Mr. Robert J. Ndaki[/TD]
[TD] Director of Information & Communication Technology
+255 22 2411099[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Mr. Eric Hamis[/TD]
[TD] Ag, Director of Portfolio Management
+255 22 2411110[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Mrs. Stella M. Nghambi[/TD]
[TD] Director of Human Resources & Administration
+255 22 2411096[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Ms. Martha J.J. Maeda[/TD]
[TD] Legal Counsel & Secretary to the Bank
+255 22 2411117[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Mr. Isaack E. Kiputa[/TD]
[TD] Chief Internal Auditor
+255 22 2411116[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


















Angalia Mfumo Kirsto unadhani haya yamefanyika kwa bahati mbaya.
 
Ahsante nimenufaika na hoja zako.

Ok Naomba sasa Naomba ujikite kiupana Zaidi ktk hili maana umenielewa vizuri! Na hili swala liko kiimani na Unabii Wa siku za mwisho na si kuishambulia Tz tu!

Maana mikatati ya MUASI iko Dunia nzima na njia anazotumia ni propaganda km Hizi sasa Ukisema mfumo kristo Au kuikosoa serikali ya Tz unakua umepwaya Mkuu!

Asante!
 
kasomeshe kwanza ndugu zako waliopoteza muda wao kusoma madrasa sasa ndo washtuka kumekucha wanalilia elimu mnatia huruma bora jk kawasaidia shule za kata atleast division 5 itawasaidia.

Teh teh teh .....
Kijana umeanza kuelewa kuwa vijana wa Madrsa wanatisha,
Ahsanta kwalo,

Sasa jiulize japo huna elimu ya kukusaidia, kama hawa wawili watatu tu wanakutisheni ninyi maelfu,
Vipi sasa kama vijana wa Madrsa wakivamia 10% katika 100% ya hawa waliopo hapa?

Kama hawa waliopo hapa ni 0.0001% ya vijana wa Madrasa walioamka tangu miaka ile mlowaita kwa kejeli eti hawajasoma vipi itakuwa kama watatia maguu humu 10%?
 
Mkuu Chamviga nimekupata kwelikweli! Sasa Mkuu unalalamika juu dhuluma yeyote Kwa Watz na wakati Kutwa. Ndugu Yangu unaeneza propaganda za Ccm!

Hili swala umelielezea vizuri Kua hili ni la Dunia nzima na ndugu zangu nimekua nawambia Kua hili swala la kimataifa wamekua hawanipi majibu na kubaki Kusema Tz tu na wakati hili swala liko wazi Kua asili Yake si hapa!

Umezungumza juu ya Unabii na umesema Kua Yale yaliyosemwa karne ya 7 sasa yanaanza kutimia! Kwa Hiyo hili swala ni swala la Imani dhidi ya MUASI na si serikali! Nandio maana hapo nyuma Mimi Nimesema mamlaka zote Duniani zinamafungamano na MUASI. Lakini ktk hoja hizo sioni Watu kujikita Zaidi. Naona Watu wanalaumu tu! Na wakati tatizo kubwa hapa ni Shetani!

Hili Jambo si la kujadili bila maandiko!

NTUZU.
Nikubaliane na wewe asilimia 100 kwamba suala la matatizo ya wanadamu hasa waislamu yanasababishwa kwa asilima zote na maasi wayatendayo wenyewe. Si Tanzania tu bali kwote duniani. Waislamu walivyoacha mafundisho yao sahihi na kufuata mifumo ya kutungiwa na wanadamu hasa ya kikafiri ndipo kila kitu kikaharibika.Hata Mungu ndani ya Quruani asema "HAUKUFIKENI MSIBA WOWOTE(DUNIANI NA MBINGUNI) ISPOKUWA INATOKANA NA CHUMO LA MIKONO YENU, LAKINI MUNGU ANASAMEHE MENGI". Utaona katika maandiko hayo Mungu awaeleza wanadamu kuwa matatizo watayokumbana nayo popote wasababishi watakuwa wao wenyewe. Lakini hili haliondoi ukweli kwamba dunia nzima kuna mbinu za wazi za kuhujumu waislamu. Ukweli unabakia kwamba kufikia hapo walipo waislamu kuna mkono mkubwa wa shetani ambaye mwanadamu ni mmoja katika hao mashetani. Mimi nimeeleza wazi kiini cha tatizo kwa mujibu wa vyanzo vya dini. Haya yatokeayo duniani ni matekelezo ya kile kilichosemwa katika maandiko matakatifu ya Mungu. Mfumo kristo ni Slogani ambayo inawakilisha maana kubwa sana. Kwanini Tanzania inasemwa ina Mfumo kristo? Fuatilia historia ya uhuru wa taifa hili na idadi ya watu kwa dini zote mbili kuu kabla ya uhuru na baada. Kwanini waislamu ambao kabla ya uhuru walikuwa na status nzuri na wenye kutambulika katika nyanja mbalimbali za serikali yao wakati wa kupigania uhuru leo hawaonekani? Ni wazi kwamba SHETANI mkuu akisaidiwa na Shetani mdogo(NYERERE) amefanya kazi kubwa sana kuwapoteza waislamu katika nyanja zote muhimu katika nchi yao. Ni uzalendo tu ndio uliowafanya waislamu waliokuwa mstari wa mbele kupigania uhuru kujua hili ni taifa la wote waislamu na wakristo. Hawakufikiria kuanzisha taifa/dola ya kiislamu ambapo hapo ndipo kosa lao kubwa lilipotokea. Wasingemruhusu Nyerere kuwaongoza huenda Tanzania ingekuwa ni nchi nyingine yenye waislamu wenye status nzuri. SWALA ni la kidunia nzima wala sina haja kukwepa ila kamwe haiondoi ukweli wa hujuma zilizofanywa/zinazofanywa ili kuwadidimiza waislamu hapa Tanzania. Haindoi ukweli kwamba wapo watawala wanaotaka kuendeleza uonevu na dhulma dhidi ya waislamu. Nitarudi kuweka vizuri hoja yangu.
 
Acha ujinga ww uislAm unapigwa vita kila kukicha we umesomea nini? apoulipo wakati waislamu wanafelishwa we hukuepo? Yani kusoma hujui hatapicha huoni we chizi kwel

Nimekupenda bure,hawa jamaa huwa wanajifanya vipofu sana kwenye mfumo wao,
Ngoja hapa lije jina limeteuliwa mwislam kashika wadhifa wowote wa juu povu za gongo huwa zinajaa hapa jukwaani,
Mkuu kama tunafahamiana vile hebu nikumbushe maana mwandiko wako sio mgeni
 
Ntuzu kuna maswali mengine mengi tu ukifanya utafiti mwenyewe kidogo tu UTAPATA MAJIBU!.
Huyu mzee wetu Mohamed Said anapowasilisha hoja yoyote hapa jukwaanj basi we soma halafu fanya research zako, majibu yako wazi kabisa.

Matatizo yetu sisi watanzania ni kuwa TUNARIDHIKA NA MAJIBU TU BILA KUFANYA UTAFITI WWT!!
Na hili ni la kusikitisha sana.

Leo serikali ikiamua kumuita mtu yyt "MUUNGWANA" Watanzania tunabeba tu na kukubali moja kwa moja kuwa Jamaa huyo ni "Muungwana" na mwingine akiiitwa "GAIDI" hali kadhalika tunakubali na tunakwenda kama bendera kufuata upepo!!

Soma mkuu hio dhana yote ya MFUMO KRISTO!
Fanya research zako tembelea wizara zilizotajwa humo! Jionee mwenyewe KWA MACHO YAKO.
Na imani ukilofanya hilo Utamuelewa Saana Mzee Mohamed Said.

Wabheja baba!


Bagheshi...!
Nafikiri mpaka hapa utakue umeanza kupata picha ya kile ninacho zungumzia iwapo unafatilia!
Na ni matumaini Yangu utakua utaongezea pale palipo pungua!

Adui yenu si serikali ya Tz Au mfumo kristo! Hapa ndipo penye shida!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu jibu langu Nafikiri ndugu Mohamed Said atakua kanielewa Zaidi!

Labda niseme tena Hakuna rejea yenye nguvu kuliko neno la Mungu! Na ndio muongozo wangu Wa yote duniani!

Kwahiyo hizo mirejeo sioni km itakua na nguvu Zaidi!
Na nikuambie na wewe ndugu Yangu Adui yetu mkubwa si serikali Au ni mfumo kristo Bali ni uasi Au shetani!

Asante!

Sasa uasi huo unafanywa ama unasababishwa na nani?

Kwa faida yako bhebhe Shija kinehe Ng'wana nkoyu au ulisatagha?

Serikali inaongozwa na binadamu ambao huenda wengi wao wamejawa na huyo Shetani na wamemfanya ndo kiongozi wao,

Au Shetani umjuaye wewe anaishi Taifa/Nchi/Kijiji/Kitongoji gani ilitukamteketeze asitusumbue tena?

Bhebhe Ng'wana Ngoshi hiiiii.....
Mammehayo madimu.
 
NTUZU.
Nikubaliane na wewe asilimia 100 kwamba suala la matatizo ya wanadamu hasa waislamu yanasababishwa kwa asilima zote na maasi wayatendayo wenyewe. Si Tanzania tu bali kwote duniani. Waislamu walivyoacha mafundisho yao sahihi na kufuata mifumo ya kutungiwa na wanadamu hasa ya kikafiri ndipo kila kitu kikaharibika.Hata Mungu ndani ya Quruani asema "HAUKUFIKENI MSIBA WOWOTE(DUNIANI NA MBINGUNI) ISPOKUWA INATOKANA NA CHUMO LA MIKONO YENU, LAKINI MUNGU ANASAMEHE MENGI". Utaona katika maandiko hayo Mungu awaeleza wanadamu kuwa matatizo watayokumbana nayo popote wasababishi watakuwa wao wenyewe. Lakini hili haliondoi ukweli kwamba dunia nzima kuna mbinu za wazi za kuhujumu waislamu. Ukweli unabakia kwamba kufikia hapo walipo waislamu kuna mkono mkubwa wa shetani ambaye mwanadamu ni mmoja katika hao mashetani. Mimi nimeeleza wazi kiini cha tatizo kwa mujibu wa vyanzo vya dini. Haya yatokeayo duniani ni matekelezo ya kile kilichosemwa katika maandiko matakatifu ya Mungu. Mfumo kristo ni Slogani ambayo inawakilisha maana kubwa sana. Kwanini Tanzania inasemwa ina Mfumo kristo? Fuatilia historia ya uhuru wa taifa hili na idadi ya watu kwa dini zote mbili kuu kabla ya uhuru na baada. Kwanini waislamu ambao kabla ya uhuru walikuwa na status nzuri na wenye kutambulika katika nyanja mbalimbali za serikali yao wakati wa kupigania uhuru leo hawaonekani? Ni wazi kwamba SHETANI mkuu akisaidiwa na Shetani mdogo(NYERERE) amefanya kazi kubwa sana kuwapoteza waislamu katika nyanja zote muhimu katika nchi yao. Ni uzalendo tu ndio uliowafanya waislamu waliokuwa mstari wa mbele kupigania uhuru kujua hili ni taifa la wote waislamu na wakristo. Hawakufikiria kuanzisha taifa/dola ya kiislamu ambapo hapo ndipo kosa lao kubwa lilipotokea. Wasingemruhusu Nyerere kuwaongoza huenda Tanzania ingekuwa ni nchi nyingine yenye waislamu wenye status nzuri. SWALA ni la kidunia nzima wala sina haja kukwepa ila kamwe haiondoi ukweli wa hujuma zilizofanywa/zinazofanywa ili kuwadidimiza waislamu hapa Tanzania. Haindoi ukweli kwamba wapo watawala wanaotaka kuendeleza uonevu na dhulma dhidi ya waislamu. Nitarudi kuweka vizuri hoja yangu.

Asante!
Umemtaja Marehemu Mwalimu! Je Huyu Mzee wetu alipata muongozo toka wapi? Au yalikua ni maamuzi yake tu?

Na Je huoni km tawala karibu zote duniani zina mafungamano na MUASI? Na ukikataa masharti yake wanakutoa madarakani Kwa njia yeyote ile! Na Je Huyu MUASI ni nani?

Naomba uwe muwazi Na ujibu haya Kwa uwazi
 
Sasa uasi huo unafanywa ama unasababishwa na nani?

Kwa faida yako bhebhe Shija kinehe Ng'wana nkoyu au ulisatagha?

Serikali inaongozwa na binadamu ambao huenda wengi wao wamejawa na huyo Shetani na wamemfanya ndo kiongozi wao,

Au Shetani umjuaye wewe anaishi Taifa/Nchi/Kijiji/Kitongoji gani ilitukamteketeze asitusumbue tena?

Bhebhe Ng'wana Ngoshi hiiiii.....
Mammehayo madimu.


Wabara taratibu bhana! Hicho kisuma ni Kabila kubwa sn Tz Lakini sio maarufu km wamasai! Chezea kanda ya Kaskazini wewe! Teh Teh Teh Teh! Au Ndo mfumo KRISTO Teh Teh Teh

Turudi kwenye mada Mkuu! Mi Nafikiri ukipitia post zangu utapata picha kidogo ya kile ningependa kuona ndugu zangu mnaongea na si kulaumu serikali Au mfumo kristo!

Wabheja sn!
Mamihayo madimu nkoi! Kah!
 
Mtoto wa mzazi mmoja tena muuza gongo! Akianza kuandika utamjua tu!

Haya ndio makapi ya wakimbizi. Unazaliwa ovyo ukikuwa unaanza.kiburi!

Watu wanajenga hoja kwa kuleta maneno ya mshiko!
Mtoto wa zinaa anatuletea rusha roho!

Jaribu kuwashauri hao wenzenu wa jinsia za kike kutokukubali kuhungama madhambi kwenye hizo parokia zenu!
Matokeo yake ktk lile zoezi la kutolewa madhambi mnapatikana watoto kama nyie!
Ni hasara sana!

kwa nini haya maneno yako yenye mashiko usiende kumweleza muislamu mwenzio kikwete?
 
Mfumo kristo ni nini? Mfumo wa damu umeitwa mfumo kwa sababu damu imeenea kote mwilini. Watu wa dini ya kikristo imehodhi asassi zote za nyeti za uongozi na mamlaka katika nchi hii, sehemu zote za nguvu/maamuzi ya dola zimeshikwa na wakristo tangu uongozi wa juu ikulu mpaka kiongozi wa mtaa uongozi wote umeshikwa na mfumo kristo. Na hao walioshika hizo nyadhifa wanazitumia kuuendeleza ukristo na kukandamiza uislamu.

Angalia hapa kazi ya mfumo Kristo tuanze na Benki ya Posta nimegusa kiduchu tu kwenye Management Wakirto watupu unadhani hili limefanyika kwa bahati mbaya.


MR. SABASABA KITEWITA MOSHINGI
Chief Executive Officer and Managing Director


MR SOSTENES NYENYEMBE
Director of Internal Audit
MS. BERNADETHE JOSEPH GOGADI
Director of Strategic Planning



MR. MOSES MANYATTA

MR. DEOGRATIUS KWIYUKWA

Director of Marketing and Business Development

MR. MICHAEL MWAKYANDILE

Director of Credit


MR. PETER MAPIGANO

Director of Human Resources

Mr. JEMA MSUYA

Director of Operation and Technology

Ms. REGINA SAMAKAFU
Ag. Director of FinanceMrs. Mystica Mapunda Ngong
Director Legal Services
Ms. NOVES MOSES
Chief Manager, Corporate Affairs

MR.BERNARD MWANDU

Chief Manager Procuremen


Takuja na Mashirika yote na taasisi zote za serikali pamoja na wizara si umetaka kujua mfumo Kirtsto ni nini.

wakati wakristo wanapambana kusoma nyie mnang'ang'ania kuchinja! what do you expect?
CC: kahtaan, FaizaFoxy, Mohamed Said,wabara
 
Mtoto wa mzazi mmoja tena muuza gongo! Akianza kuandika utamjua tu!

Haya ndio makapi ya wakimbizi. Unazaliwa ovyo ukikuwa unaanza.kiburi!

Watu wanajenga hoja kwa kuleta maneno ya mshiko!
Mtoto wa zinaa anatuletea rusha roho!

Jaribu kuwashauri hao wenzenu wa jinsia za kike kutokukubali kuhungama madhambi kwenye hizo parokia zenu!
Matokeo yake ktk lile zoezi la kutolewa madhambi mnapatikana watoto kama nyie!
Ni hasara sana!

inafurahisha kuona unajua jinsi ulivyopatikana! ha ha ha ha ha!
 
wakati wakristo wanapambana kusoma nyie mnang'ang'ania kuchinja! what do you expect?
CC: kahtaan, FaizaFoxy, Mohamed Said,wabara

Da sasa hii yaitwa Fursa sawa kwa wote huu sasa ni usawa sio uwezo wa kufanya jambo.
 
Wabara taratibu bhana! Hicho kisuma ni Kabila kubwa sn Tz Lakini sio maarufu km wamasai! Chezea kanda ya Kaskazini wewe! Teh Teh Teh Teh! Au Ndo mfumo KRISTO Teh Teh Teh

Turudi kwenye mada Mkuu! Mi Nafikiri ukipitia post zangu utapata picha kidogo ya kile ningependa kuona ndugu zangu mnaongea na si kulaumu serikali Au mfumo kristo!

Wabheja sn!
Mamihayo madimu nkoi! Kah!

Ntuzu
Post(s) zako nimepitia nawe nadhani zetu umepitia,
Hapa twashindanisha hoja na bahati mbaya watu wengine wa upande wa pili wanakuja kwa nyingi kejeli,

Swali kwako Ntuzu,
1: Hizo uitazo lawama zinamlenga nani tangu usome Bandiko za Mzee Ms na huyo alengwaye kesha react chochote juu baada ya mlengwa kufikiwa na ujumbe?

2: Kwanini maeneo yanayokaliwa na Waislaamu kila litokeapo tukio fulani wananasibishwa Waislaamu na mbaya zaidi wanapachikwa kuwa ni Magaidi wakati hawana hatatafiti?
Mfano ni katika uzi huu na maeneo tajwa mengine?
 
Adam hana baba wala mama. Mbona hamumuiti MUNGU!
Basi kuropoka tu!

Ohhh mwana wa bikira ohhh hana baba!

Nguruwe inaharibu akili. Wacheni.

Sikujua unashiriki kula nguruwe. Ndiyo maana unachanganya mambo! Hakuna msahafu unaomtaja Adamu kuwa Mwana wa Mungu. Vitabu vyote vinamtaja kuwa aliumbwa ili ailime na kuitunza bustani ya Eden pamoja na viumbe wengine waliokuwemo.

Kahtaan unashangaza kurukia mambo bila kuyatafakari. Soma maandiko halafu ndiyo ulinganishe, siyo unasema hata ambayo hayapo katika maandiko.Nani kasema Yesu hana Baba? Si wewe huyo unayemwita Mwana wa Mariam? Kama si ujinga ni nini kueneza kuwa Mwanamke alijitungisha mimba bila mume?

Misahafu inasema Mungu aliahidi kuleta Mkombozi. Hata hesabu zenyewe zinabainisha hivyo. Miaka ilihesabika KABLA YA KRISTO na baada ya yeye kuzaliwa na kupaa mbinguni hesabu ikawa BAADA YA KRISTO.

Mtu anayebishana na Hekima zote hizi si rahisi kumwelewesha. Unakubali hesabu ya Mtume wako (Mwanadamu) ya miaka ya AH. Ya kabla ya hapo unaijua ilikuwa inahesabika vipi? Au unadhani nyakati zimeanza Mtume wako alipoanza kuhesabu?

BADILIKA ili uwe mwenye Hekima ya kutoka kwa Muumba wako. Huwezi kuwa mjanja kuwazidi wote waliokutangulia ukashindana na matukio. Unatafuta LAANA.
 
we msukuma naona umebanwa mavi!
Hebu nenda kakeme kwanza halafu urudi hapa.
Mihogo iliyochacha na midahalo kama hii haviendani!
Eti "tuke tu sili twetu!

We unafikiri hapa tuko kwenye "chagulaga mayo".
Ole gonda makalio mwanawane?..!

Kudadeki!

haya sasa! Kumbe mwenzetu ulishaungana na wasukuma. ​mkomage, mkushila tembe.
 
wakati wakristo wanapambana kusoma nyie mnang'ang'ania kuchinja! what do you expect?
CC: kahtaan, FaizaFoxy, Mohamed Said,wabara

Wewe Umeona hao wasomi ndio wamaana sana eti ili uonekane msomi uingie chooni na toilet paper ngoja jua likuchome utafikiri mtu akipita utafikiri beberu la mbuzi.

Swala la kuchinja niimani za watu sio eti kwasababu ni msomi ndio mambo ya mungu yasiende yanavyo takiwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom