Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Status
Not open for further replies.
Wacha kuanika kama umekali kitu kigumu wewe!

We unaweza kuamua kumuita mwanao baba??
Mnfnsssssss!
Sasa vipi Mungu aamue kumuita kiumbe mwingine Mungu??
Au umevuta bangi nini wewe!
Huna adabu kabisa!

Ndio tukawaita magalatia!.akili ndogo domo kuuuuuubwa linalonuka!
Hebu kaoge kwanza halafu rudi hapa.

Wapi na wapi?? Bado unampimia Mungu kazi zake! Yeye kasema atamtuma Mwanae ili kwake yeye ulimwengu upate kuokoka, Kahtaan hataki! Basi nisije nikashiriki kufuru yako kwa Mungu, amini utakalo lakini ukweli unaujua.
 
Sikujua unashiriki kula nguruwe. Ndiyo maana unachanganya mambo! Hakuna msahafu unaomtaja Adamu kuwa Mwana wa Mungu. Vitabu vyote vinamtaja kuwa aliumbwa ili ailime na kuitunza bustani ya Eden pamoja na viumbe wengine waliokuwemo.

Kahtaan unashangaza kurukia mambo bila kuyatafakari. Soma maandiko halafu ndiyo ulinganishe, siyo unasema hata ambayo hayapo katika maandiko.Nani kasema Yesu hana Baba? Si wewe huyo unayemwita Mwana wa Mariam? Kama si ujinga ni nini kueneza kuwa Mwanamke alijitungisha mimba bila mume?

Misahafu inasema Mungu aliahidi kuleta Mkombozi. Hata hesabu zenyewe zinabainisha hivyo. Miaka ilihesabika KABLA YA KRISTO na baada ya yeye kuzaliwa na kupaa mbinguni hesabu ikawa BAADA YA KRISTO.

Mtu anayebishana na Hekima zote hizi si rahisi kumwelewesha. Unakubali hesabu ya Mtume wako (Mwanadamu) ya miaka ya AH. Ya kabla ya hapo unaijua ilikuwa inahesabika vipi? Au unadhani nyakati zimeanza Mtume wako alipoanza kuhesabu?

BADILIKA ili uwe mwenye Hekima ya kutoka kwa Muumba wako. Huwezi kuwa mjanja kuwazidi wote waliokutangulia ukashindana na matukio. Unatafuta LAANA.

Kwani Yesu ndie wakwanza kutokuwa nababa Yesu hana tofauti na Adam(a.s) hivi baba yake Adam ni yupi kijana kabla hujaandika tafakari kwanza usiwe kasuku kila unalosikia unalisema.
 
wakati wakristo wanapambana kusoma nyie mnang'ang'ania kuchinja! what do you expect?
CC: kahtaan, FaizaFoxy, Mohamed Said,wabara
MOSSAD II
Bahati mbaya upo nyuma ya ukuta wa jirani, hivyo ushahidi wako ni wa kusikia, si KUSIKIA NA KUONA,

Watu tuishasoma zamani na tunafanyia kazi, tatizo ni Mfumo uliopo na si mtu aliyepo,

Kwahivyo hata wewe unataka kujifanya hujui kuwa Waislaamu walishajitambua waliwekwa daraja la tatu pamoja na elimu zao,
Ila kwa sasa wanatisha kwa vifaa vichwani mwao na wanahitaji kuona haki zao na usawa unapatikana kwa watanzania wote bila kujali DINI?
 
kwanini wayahudi hawatumii agano jipya?.ukipata hilo jibu utajua kwanini wakristo hawatumii quran.

Wao walimkataa Yesu wakamsulubu na kumtundika Msalabani kama walivyokuwa wakiwafanyia wevi. Na laana yao ilidhihirika wakati wa vita vya dunia. Wao wenyewe wankubali kuwa ilikuwa kosa kuitwa Mwisrael. Walikufa kwa kufungiwa ndani ya mabehewa na kupigwa sumu. Walipasuliwa wakiwa wazima etc. Na Hitler mpaka leo hajulikani alitokomea wapi baada ya vita hivyo.

Kwa kuwa walimkataa ndipo akapeleka wokovu kwa mataifa yaliyokuwa hayana dini. Kabla ya kuja Kristo Wazungu wa Ulaya waliishi kama Wanyama. Baada ya Wokovu ndiyo wimbi la Ukristo likavuma kutokea Ulaya.

Kasome Historia Kahtaan.
 
sijaona nyumba iliyochomwa hapo, moto wote tunaujua makali yake tusidanganyane hapa hayo ni mahame
 
Madawa mmeyachanganya ninyi na sasa yanakuvurugeni na dawa halisi ni haya yanayowekwa wazi,

Mada
KWELI TUNAPIGA VITA UGAIDI AU NI VITA DHIDI YA UISLAMU?

Sasa twende ambapo pamekutatiza na si ulete porojo.

Inaonekana umekurupuka
Hujui hata nimeuliza nini

Hebu pitia huu uzi utaona maswali niliyouliza

Lakini hebu anza kunipa ushahidi wa madai ya mtoa mada!!
 
Eti anamtuma mwanae duh mawazo mgando hayo!

Wewe mbovu kweli akili imeganda. Hayo maneno ynasemwa katika mandiko, siyo yangu. Hata wayahudi walimwuliza Nabii wako Yahya: " Wewe ndiye anayekuja au tusubiri mwingine?". Ni -------- tu ndiyo anabishana kwa kutoa lugha chafu wakati anapewa maandiko ya kwenda kusoma.
 
Ntuzu
Post(s) zako nimepitia nawe nadhani zetu umepitia,
Hapa twashindanisha hoja na bahati mbaya watu wengine wa upande wa pili wanakuja kwa nyingi kejeli,

Swali kwako Ntuzu,
1: Hizo uitazo lawama zinamlenga nani tangu usome Bandiko za Mzee Ms na huyo alengwaye kesha react chochote juu baada ya mlengwa kufikiwa na ujumbe?

2: Kwanini maeneo yanayokaliwa na Waislaamu kila litokeapo tukio fulani wananasibishwa Waislaamu na mbaya zaidi wanapachikwa kuwa ni Magaidi wakati hawana hatatafiti?
Mfano ni katika uzi huu na maeneo tajwa mengine?

Mkuu mlengwa Wa yote hayo ktk bandiko la Ms ni serikali na ninaamini Taarifa watakua wapeta na watakuja kulishughulikia!

Hii Dhana ya ugaidi inatumiwa vibaya na Watawala! Tunaona ata wapinzani Wa kisiasa wanaitwa magaidi! Kwahiyo Hiyo Dhana haijakaa vizuri!
 
Nina Swali kwenu ndugu zangu ktk Ibrahim (waislam).

Ivi ktk history kuna vita mlipigana dhidi ya tawala moja iliyokua inatawala Dunia nzima na mkaishinda! Ni tawala gani Hiyo?

Naombeni majibu tafadhali Kwa hekima zenu!
 
Mpaka leo bado unautando na upogo wa kutoamini kwamba Serikali huwezitenganisha na Kanisa pamoja na mabandiko yote yaliyokwishapita hapa au Jf umejiunga jioni hii?

Hivi Serikali ni nini?

Rejea,
KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA BARA 1953-1985,
Ama nacho kimeandikwa na Padre wa Kiislaamu?

Nyie watu mna matatizo sana

Sijui kama unaelewa maana ya quote
Quote maana yake unakijibu kilicho kwenye hiyo quote
Lakini nyie hamfanyi hivyo
Una quote kitu kingine unajibu kitu kingine

Hicho ulichokiquote hujajibu hata moja
Sijui unajifanya huoni?

Pamoja na hayo wewe unadhani kila kitu kilicho kwenye maandishi ni kweli
Unasema kuwa pamoja na mabandiko mengi ya JF bado siamini kuwa huwezi kutenganisha serikali na kanisa
Uko wapi huo ushahidi wa ku back up haya madai yako?

Au utakuja kumwambia tena mwingine kuwa na hili bandiko lako ni ushahidi wa yeye kuamini kuwa huwezi kutenganisha kanisa na serikali?
Mbona mnakesha hapa JF kuitetea hii hii serikali?
Mna walakini kwenye mfumo wenu wa kufikiri nyie

Mimi sijui serikali ni kitu gani
Kwanini wewe ambae unasema huwezi kuitenganisha na kanisa ukaniambia ni kitu gani?

Hicho kitabu alichokiandika huyo padri kina ushahidi gani wa ku back up madai yake au ni porojo zile zile?
 
Hivi unataka ushahidi wa style ipi lakini sio makosa yako ni ukilema wa fikra zako ndio unakusukuma kuandika hayo unayofikiria akilini mwako.

Nataka ushahidi wa kuthibitisha haya madai
Unao?
Kama unao tafadhali nipe niuone
Kama huna wewe ndio utakuwa na ukilema wa fikra kwa kushangilia porojo zisizokuwa na ushahidi wowote!
 
Mkuu mlengwa Wa yote hayo ktk bandiko la Ms ni serikali na ninaamini Taarifa watakua wapeta na watakuja kulishughulikia!

Hii Dhana ya ugaidi inatumiwa vibaya na Watawala! Tunaona ata wapinzani Wa kisiasa wanaitwa magaidi! Kwahiyo Hiyo Dhana haijakaa vizuri!

Ntuzu
Baada ya kukiri kwako, nakufungua macho kidogo kwa nfumo huo huo wa swali:
Unadhani Waislaamu hawajawahi kuifikishia taarifa hiyo Serikali au hiyo Serikali haijui ikitendacho?

Kauli ya wata wata wata...., Waislaamu tuishachoka nayo, kinachoonekana ni kupuuzwa na Serikali katika hoja watoazo Waislaamu,

Tunaelekea wapi sasa baada ya mapuuzo na kupachikwa majina hayo?

Si kubaliani 100/100 na wewe kuwa eti Wapinzani wanaitwa Magaidi hapana si kweli,

Usikiapo Gaidi jua anakusudiwa Muislaamu kama mimi hasa hivi nilivyofuga ndevu zangu na kuvaa kanzu,
Si wewe mwenye Rozali shingoni, ili nikubaliane nawe naomba mifano ya nchi za Kikristo.
 
Wacha longalonga na kutumwagia povu hapa!

Jibu swali!

Kuna gaidi zaidi ya huyo mwenye kibalagashia km mpika vitumbua??
Uliberali kwake!
Madawa ya kukevya kwake!
Mafia wauwaji wote wanatoka huko.

Jibu swali hapa!

Kwanza hukuniuliza chochote kuhusiana na papa
Ila ulitoa shutuma kwake nikakuuliza hizo shutuma zinahusikaje hapa?
Hujajibu

Unakuja na madai kuwa ni gaidi
Masuala ya uliberali kama anafanya hayanihusu na anafanya na watu wazima waliokubali hilo
Hilo ni lao na halinihusu na sio ugaidi

Kama anahusika na madawa ya kulevya si uende kwenye mahakama za kimataifa ukamshtaki kama una ushahidi au huna?
Unaendelea kuleta porojo tu hapa

Masuala ya mafia una ushahidi nao?
Kama unao peleka kwenye mahakama za kimataifa ukamlipue na upate tuzo
Au huna ushahidi bali ni porojo?

Halafu utaniulizaje mimi mambo ya binadamu mwenza ngu ambae nae atahukumiwa kama mimi?
Nahusikaje na mambo yake binafsi?

Tena nakuuliza hapa kuna masuala ya ugaidi huko Tanga mambo ya papa yanahusikaje hapa?
Au yeye ndie aliyewapeleka huko waliofanya huo ugaidi?
 
Mfumo kristo ni nini? Mfumo wa damu umeitwa mfumo kwa sababu damu imeenea kote mwilini. Watu wa dini ya kikristo imehodhi asassi zote za nyeti za uongozi na mamlaka katika nchi hii, sehemu zote za nguvu/maamuzi ya dola zimeshikwa na wakristo tangu uongozi wa juu ikulu mpaka kiongozi wa mtaa uongozi wote umeshikwa na mfumo kristo. Na hao walioshika hizo nyadhifa wanazitumia kuuendeleza ukristo na kukandamiza uislamu.

Angalia hapa kazi ya mfumo Kristo tuanze na Benki ya Posta nimegusa kiduchu tu kwenye Management Wakirto watupu unadhani hili limefanyika kwa bahati mbaya.


MR. SABASABA KITEWITA MOSHINGI
Chief Executive Officer and Managing Director


MR SOSTENES NYENYEMBE
Director of Internal Audit
MS. BERNADETHE JOSEPH GOGADI
Director of Strategic Planning



MR. MOSES MANYATTA

MR. DEOGRATIUS KWIYUKWA

Director of Marketing and Business Development

MR. MICHAEL MWAKYANDILE

Director of Credit


MR. PETER MAPIGANO

Director of Human Resources

Mr. JEMA MSUYA

Director of Operation and Technology

Ms. REGINA SAMAKAFU
Ag. Director of FinanceMrs. Mystica Mapunda Ngong
Director Legal Services
Ms. NOVES MOSES
Chief Manager, Corporate Affairs

MR.BERNARD MWANDU

Chief Manager Procuremen


Takuja na Mashirika yote na taasisi zote za serikali pamoja na wizara si umetaka kujua mfumo Kirtsto ni nini.

Ninaweza kusema Ritz ni mkurugenzi wa benki ya dunia
Je,itakuwa kweli wewe ni mkurugenzi wa benki ya dunia?

Ninaweza kusema kuwa juicy unayokunywa kila siku ni kinyesi cha watoto wa kizungu
Je,itakuwa ni kweli?

Naweza kusema kinyesi changu ni keki
Je, inaweza kuwa kweli?

Naweza kusema kuwa kahtaan kafumaniwa jana huko Liverpool na kupewa kichapo cha hatari na sasa yuko hoi hospital
He,itakuwa ni kweli?


Tatizo lenu hamjui hata ushahidi ni kitu gani
Mmebaki tu kuleta mabandiko yenuhapa bila kusema mmetoa wapi hayo madai yenu na ushahidi mkiambatanisha

Mna ugonjwa mbaya sana nyie!!
 
Last edited by a moderator:
Nyie watu mna matatizo sana

Sijui kama unaelewa maana ya quote
Quote maana yake unakijibu kilicho kwenye hiyo quote
Lakini nyie hamfanyi hivyo
Una quote kitu kingine unajibu kitu kingine

Hicho ulichokiquote hujajibu hata moja
Sijui unajifanya huoni?

Pamoja na hayo wewe unadhani kila kitu kilicho kwenye maandishi ni kweli
Unasema kuwa pamoja na mabandiko mengi ya JF bado siamini kuwa huwezi kutenganisha serikali na kanisa
Uko wapi huo ushahidi wa ku back up haya madai yako?

Au utakuja kumwambia tena mwingine kuwa na hili bandiko lako ni ushahidi wa yeye kuamini kuwa huwezi kutenganisha kanisa na serikali?
Mbona mnakesha hapa JF kuitetea hii hii serikali?
Mna walakini kwenye mfumo wenu wa kufikiri nyie

Mimi sijui serikali ni kitu gani
Kwanini wewe ambae unasema huwezi kuitenganisha na kanisa ukaniambia ni kitu gani?

Hicho kitabu alichokiandika huyo padri kina ushahidi gani wa ku back up madai yake au ni porojo zile zile?

Leo unapinga maandiko ya Padre ama naye kawa Gaidi,

Teh teh teh......!
 
Ntuzu
Baada ya kukiri kwako, nakufungua macho kidogo kwa nfumo huo huo wa swali:
Unadhani Waislaamu hawajawahi kuifikishia taarifa hiyo Serikali au hiyo Serikali haijui ikitendacho?

Kauli ya wata wata wata...., Waislaamu tuishachoka nayo, kinachoonekana ni kupuuzwa na Serikali katika hoja watoazo Waislaamu,

Tunaelekea wapi sasa baada ya mapuuzo na kupachikwa majina hayo?

Si kubaliani 100/100 na wewe kuwa eti Wapinzani wanaitwa Magaidi hapana si kweli,

Usikiapo Gaidi jua anakusudiwa Muislaamu kama mimi hasa hivi nilivyofuga ndevu zangu na kuvaa kanzu,
Si wewe mwenye Rozali shingoni, ili nikubaliane nawe naomba mifano ya nchi za Kikristo.


Mkuu km umenielewa Nimesema hii Dhana ya ugaidi inatumika vibaya! Sijui umenielewa?

Sasa kwanini serikali imekua nzito kutatua Kero zenu Au Ndo huo mfumo Kristo?
 
Leo unapinga maandiko ya Padre ama naye kawa Gaidi,

Teh teh teh......!

Kujadili jambo na nyie ni kazi sana

Nijasema nimepinga
Nimekuambia uniambie hicho kitabu kinasema nini na ushahidi wa madai yake unipe

Wewe unasema nimepinga
Nani kakuambia kuwa mtu akidai ushahidi ni kupinga jambo?

Au unataka nikubali tu kikondoo kuwa madai yake ni kweli?H
iyo kazi mnaiweza nyie

Inaonekana hujui tofauti kati ya anaedai ushahidi na anaepinga
Kama umeshindwa kujua tofauti ndogo kiasi hicho unachokitetea wewe ni chema na chenye mantiki kweli?

I doubt it!!
 
Nashindwa kuelewa sana,

Sijui tatizo ni nin,kwanin kila wasilam wanaposimama kuelezea madhila yanayofanywa na serikali watu wa iman zingine huja hapa kuwakashifu na kuuchagua upande na kuwapinga na kuwakejeli waislam??

Kwani nani kawaambia hii ni vita baina ya waislam na wale wasio kuwa waislam??tuacheni tunapoeleza yanayotuhusu tuyaelezeee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom