THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Reference yakitabu nimekuwekea katika Post yangu hapo nyuma,
Sasa tambua lengo langu si kukulazimisha wewe kuukubali ukweli,
Ila ni kwa faida ya wasomaji tu wenye kutaka kupata mwanga na uhalisia wa mambo,
Hicho kitabu wale wapendwa katika bwana Bookshops nyingi kama si zote za makanisa Katoliki chapatikana,
Eiyer
Siku ukifunguka akili na upofu wa kupotosha haki ukakutoka, utani-tg tuendelee na mida itayo kuwa inakupa uzito wa kuelewa.
There is thin line between terrorism and islam.
Ninaweza kusema Ritz ni mkurugenzi wa benki ya dunia
Je,itakuwa kweli wewe ni mkurugenzi wa benki ya dunia?
Ninaweza kusema kuwa juicy unayokunywa kila siku ni kinyesi cha watoto wa kizungu
Je,itakuwa ni kweli?
Naweza kusema kinyesi changu ni keki
Je, inaweza kuwa kweli?
Naweza kusema kuwa kahtaan kafumaniwa jana huko Liverpool na kupewa kichapo cha hatari na sasa yuko hoi hospital
He,itakuwa ni kweli?
Tatizo lenu hamjui hata ushahidi ni kitu gani
Mmebaki tu kuleta mabandiko yenuhapa bila kusema mmetoa wapi hayo madai yenu na ushahidi mkiambatanisha
Mna ugonjwa mbaya sana nyie!!
Wewe huna elimu ndio sababu ukaandika uliyo andika!
Ohh mimi mkiristo kabisa!
Kwanza hapo tu! Ni nani aliyekuambia wewe "uwe mkiristo"? Hio si mmebuni tu nyie!
Cha pili ulitegemea huo MFUMO KRISTO UWE NA OFISI HAPO DAR NDIO UUJUE KUWA UPO?
Unajisifu kuwa umesoma halafu unaongea utumbo namna hii!
Eti.mi SIDHANI...bla..bla...bla..!
We kwa akili yako watu wanaishi KWA KUDHANI??
Nyie ndio maana yule MNAFIKI PAULO hakupata tabu kuwa Convince kuwa japo yeye aliuwa mamilioni ya WAKRISTO WA KWELI eti alioteshwa kuwa yeye ni Nabii!
Na nyie mambulula wooote mkamkubali
We kaa na elimu yako ya kata!
Watanzania wengine wenye busara na elimu watafahamh nini kinaongelewa hapa.
Wewe umekubali kuwa ni mkiristo ambae HUNA FAIDA NA HUO UKRISTO WAKO!
Na hilo wala halinishangazi hata kidogo!
Wanaofaidika na huo Ukristo ni wale wachungwaji na makatikista na mapadri!
Wanakusanya mahela yenu wanaongeza manyumba tu!
Na zile ruzuku zinazotoka vatican wewe mtu wa chini huwezi kuziona!
Vumilia tu na bado adhabu ya Mungu inawangoja!
Unashauri na kulialia kuwa "wewe hupendi watu watoa kashfa" na hilo umeliona kwangu tu!!
Hebu msome huyu mtumishi wa kanisa aitwae Eiyer ambae ana tabia ya kuchungulia wanawake wenye vinguo vifupi anavyoandika.!
Alivyokosa malezi kutoka kwa wazee wake. Anamjibu hivyo mtu mzima sawa na baba yake!
Mimi watu kama hawa nawafananisha na mizoga ya nyamafu!
Faida hawana. Zaidi ya kujaza vyoo tu!
Na wewe usiwe mnafiki! Km unapenda haki basi na hao makafiri wanaotoa kashfa wafahamishe kuwa Yesu hapendi. Na hio ni tabia ya KAFIRI PAULO!
Now back to the thread.
Thank you.
TERRORISM AND ISLAM ARE TWO SIDES OF THE SAME COIN,ISLAM=TERRORISM and the vs is true
Wapi na wapi?? Bado unampimia Mungu kazi zake! Yeye kasema atamtuma Mwanae ili kwake yeye ulimwengu upate kuokoka, Kahtaan hataki! Basi nisije nikashiriki kufuru yako kwa Mungu, amini utakalo lakini ukweli unaujua.
naeza pia kupinga kuwa hitler hajaua wayahudi kwa kiwango unachotaka tuamini.Wao walimkataa Yesu wakamsulubu na kumtundika Msalabani kama walivyokuwa wakiwafanyia wevi. Na laana yao ilidhihirika wakati wa vita vya dunia. Wao wenyewe wankubali kuwa ilikuwa kosa kuitwa Mwisrael. Walikufa kwa kufungiwa ndani ya mabehewa na kupigwa sumu. Walipasuliwa wakiwa wazima etc. Na Hitler mpaka leo hajulikani alitokomea wapi baada ya vita hivyo.
Kwa kuwa walimkataa ndipo akapeleka wokovu kwa mataifa yaliyokuwa hayana dini. Kabla ya kuja Kristo Wazungu wa Ulaya waliishi kama Wanyama. Baada ya Wokovu ndiyo wimbi la Ukristo likavuma kutokea Ulaya.
Kasome Historia Kahtaan.
MFUMO KRISTO ndio unaotawala Dunia.Ukisikia Adhabu ya Kifo iondolewe ujue ni Kampeni za Kuendeleza Mfumo Kristo,Ukisikia Serikali inatambua Ndoa ya Mke Mmoja kwa ajili ya huduma kwa Mfanyakazi ujue ndio Mfumo wenyewe.Hii kitu haikwepeki labda uhamie Sayari ya Mars ambayo wakristo ndio Pekee waliokwishafika huko.
Maelezo yako matamu sana ila ebu fafanua kidogo yafuatayo
1. Hiyo 60% ya waislam umeipataje?
2. Waliouketa uislam waliwasaidia vipi waislam ktk elimu isiyokuwa ya dini?
3. Je! Matatizo ya waislam yameanza na utawala wa nyerere au yalianza tangu enzi za ukoloni
4. Vipi kama nikisema uislam sio ugaidi ila magaidi wengi ni waislam nitakuwa nimekosea
5. Je unaamini kabisa viongozi waislam waliofuata hawajafanya upendeleo kwa waislam na kuhujumu ukristo?
Nyerere km binadamu kuna makosa ya kisera na kimikakati aliyofanya ila bado hatujawahi pata kiongozi mzalendo na mpenda nchi kama nyerere
Mkuu nashukuru Kwa maelezo yako mazuri!
Niseme kitu kimoja CHAMVIGA, km ulivyosema Kua Mimi nasimamia hoja, ningependa ktk mijadala km hii kutowajumulisha wakristo Wote na Kua Kundi moja! Kuna wengine karibu mnaweza kushabiriana ila tofauti inakuja Kua ni ukristo na uislam!
Mimi Naelewa Unabii unasema nini ktk Dunia Hii tangu mwanzo mpaka sasa na hapo baadae!
Umesema Kua huu mfumo unafanya Kz karibu Dunia nzima! Na pia umegusia Vatican na tunaelewa Vaticani ni Watu Wa Imani gani! Kwa Hiyo Imani ya Uvatican ndio sababu ya huu mfumo duniani? Na Je Vaticani Ndo inaweza ikawa ndio mwakilishi Wa uasi duniani? Au ni Marekani Au Vaticani iko nyuma ya Marekani? Au Marekani anaisadia Vaticani kudhoofisha mifumo thabiti Na kuingiza mifumo ya kipagani na kuitawala Dunia na kupitisha sheria za kuabudu siku moja?
Mkuu naitaji majibu yako ktk haya vizuri!
Mkuu Nimekuuliza haya si Kwa faida Yangu tu, Bali Kwa mtu yeyote atakaetaka kujua ukweli!
ukweli upi?? we unaejiita mfuasi wa yesu ELIMU YA ANDIKO LAKO HUNA!!
Wapi ANDIKO LAKO LINAKWAMBIA WEWE MKIRISTO KUWA UTAPATA UZIMA WA MILELE!!??
Mbona nyie ni wepesi kufuata maneno ya wazungu kirahisi hivi??
Onyesha hapa kuwa WAKRISTO WATAPATA UZIMA WA MILELE, GUARANTEED!! wapi??
Nyie kuropoka tu ni mahodari sana.
Yesu sio MUNGU Wala hajawahi kusema yeye ni Mungu wala MWANA WA MUNGU"! Hio mmezua nyie na yule muongo PAULO.
nawasilisha kwa data:
Rais (mwislamu), Aijipii mwema (mwislamu),Mayor Omari Guledi (mwislamu), Katibu wake Ahmed Mustafa (mwislamu) Mkuu wa Mkoa Chiku Galawa(mwislamu)
mwenyekiti wa kijiji (mwislamu) tukio limefanywa kwenye vijiji vya waislamu akachoma misikiti akidai anapambana na ugaidi.
, sasa hapa sina koment zaidi.
naeza pia kupinga kuwa hitler hajaua wayahudi kwa kiwango unachotaka tuamini.
Hebu jiulize tu,kwanini wakristo wamejumuisha agano la kale katika maandiko?
Nani aliokudanganya kuwa vijiji vya Madina, Dibungo na Lwande vimejitenga na jamii? vijiji vipo huko miaka na miaka, leo useme vimejitenga na jamii? Mbona tunaona makanisa yako maporini hakuna hata kijiji lakini hatusikii kuwa limechomwa moto kwa kujitenga na jamii? Misikiti kwanini ichomwe moto?
ukweli upi?? we unaejiita mfuasi wa yesu ELIMU YA ANDIKO LAKO HUNA!!
Wapi ANDIKO LAKO LINAKWAMBIA WEWE MKIRISTO KUWA UTAPATA UZIMA WA MILELE!!??
Mbona nyie ni wepesi kufuata maneno ya wazungu kirahisi hivi??
Onyesha hapa kuwa WAKRISTO WATAPATA UZIMA WA MILELE, GUARANTEED!! wapi??
Nyie kuropoka tu ni mahodari sana.
Yesu sio MUNGU Wala hajawahi kusema yeye ni Mungu wala MWANA WA MUNGU"! Hio mmezua nyie na yule muongo PAULO.