Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Kweli tunapiga vita ugaidi au ni vita dhidi ya uislam?

Status
Not open for further replies.
Kafiri ukitaka kumuelekeza.mpaka aelewe sharti moja muhimu ni.lazima akaoge kwanza!

Sasa mkuu hebu fanya hivyo mi nakisubiri.

La sivyo hapa tutakesha! Kunielewa huwezi.

Fanya fasta mara moja kabla uzi haujachafuka!

kama mnata
wadha vizur mbona huwa mnanuka mikojo? au mnjipaka kidogo!
 
Mkuu Ntuzu

Ole mholla bagesha!
Kujaribu kujibu maswali yako hapo juu,
Kwanza nakuomba tu tusiende mbali saana na kutoka kabisa ktk huu uzi.
Manake hio haitokuwa haki mwa muanzilishi wa huu uzi.
Kwanza kabisa HADITH ZA MTUME (saw) KAZI YAKE SIO KUTAFSIRI QURAAN.! Bali ni mafundisho ya mtume s.a.w.
Na hadith zimeongekea All aspects of life!
Quraan ni kitabu kilichokamilika na hakihitaji msaada wa kutunga maekezo toka kwa kiumbe yyt.

Pili suala la watu wa makkah walizikataa hadith SIO KWELI KABISA na it doesn't make any sense.! Kama nilivyokwambia HADITH NI MAFUNZO YA MTUME (s.a.w)
Sasa unaposema watu wa makka walikataa hadith.

Labda una maana WALIKATAA MAFUNDISHO YAKE! Kitu ambacho sio kweli kabisa!!

Tatu. Kama ndugu yangu Bilal bin Rabah alivyokwambia kuna aina mbili au tatu za HADITH.

Ziko hadith SAHIH (Hizi zinakuwa na perfect chain of narration. ) na zinakubalika kwa waislamu wote.

Hadith dhaif (hizi hadith zinakuwepo na doughty ndani yake kutokana na wake wapokezi wa hii hadith. Na hizi haziwezi kutumika kwenye rullings issues na sio waislamu wote wenye kuzikubali.

Hadith makrooh. Hizi ni hadith za UONGO ambazo maadui wa uislamu wamebuni maneno yao halafu wanamsingizia mtume Muhammad (s.a.w ) KUWA KASEMA wakati yeye hajatamka.

Na utakuta yale maneno machafu wanayotumia wale maadui wanuislam kule jukwaani NI KTK HADITH DHAIFU!

Sasa naomba turudi kwenye uzi/mada.

Asante2q

Wabeja bhageshi!

Nashukuru kwa fafanuzi yako Mkuu!

Km nikiziitaji hizi HADITHI ntazipata ndani ya Quran au? Naomba unisaidie kunielekeza Mimi napenda kujifunza Zaidi!
 
Last edited by a moderator:
I'm baffled kwanini madai haya yaletwe JF badala ya Magogoni? maana naskia kule Magogoni kuna msilamu rais Kikwete, he is the most powerful person in this crazy & semi-anarchy bongoland. Sasa sijui kama kweli mambo haya yameletwa kwa nia ya kweli ya kupatiwa utatuzi au kuna 'kafiri' anatafutwa uchawi? hakika choko mchokoe pweza...
 
I'm baffled kwanini madai haya yaletwe JF badala ya Magogoni? maana naskia kule Magogoni kuna msilamu rais Kikwete, he is the most powerful person in this crazy & semi-anarchy bongoland. Sasa sijui kama kweli mambo haya yameletwa kwa nia ya kweli ya kupatiwa utatuzi au kuna 'kafiri' anatafutwa uchawi? hakika choko mchokoe pweza...
kafiri gani tena anatafutwa yerico?..humu si kunajadiliwa kila kitu.
 
Nimependa sana maelezo yako.Waislamu wote wangekuwa kama wewe tungeungana kutambua changamoto zinazotukabili kama Taifa.

Kwani kusema yeye ni muislamu unadhani muislamu kweli nawe kichwa maji??wacha kushabikia ujinga hayo aloongea ni ujinga mtupu,ushaambiwa kisa ni mkulima kushindwa kulipa kodi sasa huyo kafiri kukwambia yy muislamu ndio uinue makalio juu na kusapoti ujinga??kaoge kwanza.
 
Mkuu Ntuzu

Ole mholla bagesha!
Kujaribu kujibu maswali yako hapo juu,
Kwanza nakuomba tu tusiende mbali saana na kutoka kabisa ktk huu uzi.
Manake hio haitokuwa haki mwa muanzilishi wa huu uzi.
Kwanza kabisa HADITH ZA MTUME (saw) KAZI YAKE SIO KUTAFSIRI QURAAN.! Bali ni mafundisho ya mtume s.a.w.
Na hadith zimeongekea All aspects of life!
Quraan ni kitabu kilichokamilika na hakihitaji msaada wa kutunga maekezo toka kwa kiumbe yyt.

Pili suala la watu wa makkah walizikataa hadith SIO KWELI KABISA na it doesn't make any sense.! Kama nilivyokwambia HADITH NI MAFUNZO YA MTUME (s.a.w)
Sasa unaposema watu wa makka walikataa hadith.

Labda una maana WALIKATAA MAFUNDISHO YAKE! Kitu ambacho sio kweli kabisa!!

Tatu. Kama ndugu yangu Bilal bin Rabah alivyokwambia kuna aina mbili au tatu za HADITH.

Ziko hadith SAHIH (Hizi zinakuwa na perfect chain of narration. ) na zinakubalika kwa waislamu wote.

Hadith dhaif (hizi hadith zinakuwepo na doughty ndani yake kutokana na wake wapokezi wa hii hadith. Na hizi haziwezi kutumika kwenye rullings issues na sio waislamu wote wenye kuzikubali.

Hadith makrooh. Hizi ni hadith za UONGO ambazo maadui wa uislamu wamebuni maneno yao halafu wanamsingizia mtume Muhammad (s.a.w ) KUWA KASEMA wakati yeye hajatamka.

Na utakuta yale maneno machafu wanayotumia wale maadui wanuislam kule jukwaani NI KTK HADITH DHAIFU!

Sasa naomba turudi kwenye uzi/mada.

Asante2q

Safi kabisa mkuu,ni kweli uliyoyasema na sasa wacha turudi kwenye uzi.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ni miaka 400 na si 1000. Na ni kweli hamkushindwa ila Adui mliekua mnapigana nae alikosa nguvu na mkarudi kutulia na sasa ameanza kupata tena nguvu na atakua Na nguvu sn hapo baadae!

Nikuombe Mkuu turudi kwenye mada Kwasababu kuna mambo Tunataka kujua ndani ya Quraan!

asichokijua elungata ni kwamba hao warumi hawakuwa na adui mmoja tu(uislam),bali walikuwa wakikandamiza watu wengi huko ulaya na hata kumobilize watu kujiunga na crusade kwa kisingizio cha ukristo,watu walipostukia kwamba ni upuuzi,wakaacha kujiunga na kuanzisha mapambano ya kuokoa nchi zao toka mikononi mwa Rumi na ndio hapo Rumi ilipoanza kuyumba na kukosa nguvu ya kuendeleza crusade.Elungata sijui kama anafahamu kuwa U.S kama modern state ilianzishwa na maelfu ya wakristo waliokimbia "mkono wa chuma" wa papa ulaya?sijui kama anakumbuka wafaransa walivyomkamata papa na kumfunga gerezani hadi kufa?sijui kama anaelewa kitu kinaitwa jewish revolts?sijui kama anaelewa kulikuwa na nini kati ya Muhammad na Rome ambacho Caliphate Omar hakukifuata hadi kupelekea vita ya Jihad(offensive war) au crusade(defensive war)?labda angeenda Iran na kumuuliza mzee Khamenei amuambie chanzo cha ukweli cha kuanzishwa lineage ya ma-ayatollah tofauti na face lift waliyoiwekea.
 
Mkuu, nisaidie maana ya FYI.
Sijawahi kuhisi kama CIA inaweza kuwa mbadala wa BIBLIA, BIBLIA ilikuwepo kabla ya Marekani na CIA, sijui ulichomaanisha kwa kusema kuwa ni mbadala wa BIBLIA.
Kama CIA wanalisha masikini basi ni mfano wa kuigwa, Lakini sijaamini kwa sababu hizo, nimeamini kwa sababu mambo yaliyoelezwa nayashuhudia kwa macho kila leo, wewe unadhani ni nini ambacho ni cha uongo hapo?
Mpendwa LwamboEee, FYI, umeiamini CIA kwa kuwa CIA ni mbadala ya BIBILIA?!! UmeiAmini CIA kwakuwa inaboronga UN na kuaminisha agenda zao!! Umeamini CIA kwa kuwa wanajitolea kulisha masikini na watu duni wasio na uwezo ilimradi waonyesha utu wao!! nk,nk... Mkuu FYI sasa hao CIA ni genge la Mjangili na makatili wasio na mfano hapa DUNIANI !! Lakini wamejivisha vazi la MOTHER THREZA na kuvaa mabawa ya WHITE ANGELs. Usisahau haohao CIA walihalalisha vita vya IRAQ ambayo hadi sasa miaka 12 damu inatiririka barabarani..haohao CIA hubambikiza wamtakae na humpakizia wamtakae !! Ohh my God ..Poor people....be fair
 
Sio zinatengenezwa,zilishatengenezwa zamani sana wakati wewe hujui,muulizeni kingunge ndie anaeelewa haya,alivutana na nyerere kwa kipi unajua?? Hatuyaki kusema mengi tu yatamwaika mengi sana.
Na usidanganye watu eti umo kwenye system,kufanyakazi ktk halmashauri na manispaa ndio kuwemo kwenye hiyo system??au ndio utajua siri za serikali??ht km ukiwa usalama wa taifa bado huwezi kuelewa kitu wacha uzandiki wako wewe,unatoa povu kwa mambo usiyoyajua,nani asiejua kuwa nchi inaendeshwa kwa mfumo kristo???au kwakuwa rais muislam unaona nchi ya kiislam sio??rais anaongozwa na usitake yasemwe mengi.
Umeanza ujinga wako hapa, Rais Kikwete anaongozwa na nani?, MTAJE HAPA HAPA,
muongo na mpotoshaji mkubwa wewe. TANGU lini kanisa limeandaa sera ya elimu, uwekezaji,afya, UKIMWI, uchukuzi, madini gesi n.k za nchi? na ilikuwa mwaka gani? eti ziliandaliwa zamani huoni hata aibu!!!

Hizo sumu mnazo kaanga mtakula wenyewe na vizazi vyenu. Hizo sumu mnazopika zitakuangamiza wewe na kizazi chako sio Watanzania wema.
 
Wabeja bhageshi!

Nashukuru kwa fafanuzi yako Mkuu!

Km nikiziitaji hizi HADITHI ntazipata ndani ya Quran au? Naomba unisaidie kunielekeza Mimi napenda kujifunza Zaidi!

Mkuu ntuzu ukitaka mafundisho ya mtume s.a.w yaani (hadith) utapata kwenye vitabu TOFAUTI NA QURAAN!
Vitabu hivyo vinaitwa VITABU VYA HADITH ZA MTUME S.A.W
Na mimi nakushauri ukienda kwenye duka la vitabu vya kiisalmu ulizia vitabu viwili Maarufu sana vya HADITH za MTUME s.a.w navyo ni SAHIH BUKHARI
na SAHIH MUSLIM.
Mkuu nakuomba usome MWENYEWE HIVYO VITABU UONE HAYO MAFUNDISHO YA HUYO MTUME WA MUNGU. Utapata faida kubwa sana.
Wabheja baba.
 
I'm baffled kwanini madai haya yaletwe JF badala ya Magogoni? maana naskia kule Magogoni kuna msilamu rais Kikwete, he is the most powerful person in this crazy & semi-anarchy bongoland. Sasa sijui kama kweli mambo haya yameletwa kwa nia ya kweli ya kupatiwa utatuzi au kuna 'kafiri' anatafutwa uchawi? hakika choko mchokoe pweza...

Mkuu out of topic hivi hiyo avatar yako ni wewe huyo aliyechini anakula MIPINI au?
 
Kwani kusema yeye ni muislamu unadhani muislamu kweli nawe kichwa maji??wacha kushabikia ujinga hayo aloongea ni ujinga mtupu,ushaambiwa kisa ni mkulima kushindwa kulipa kodi sasa huyo kafiri kukwambia yy muislamu ndio uinue makalio juu na kusapoti ujinga??kaoge kwanza.
Mimi namwamini kwamba yeye ni Mwislamu.Kwani hata Polisi walioenda kuwapiga hao Magaidi walitumwa na Mwislamu IGP Mwema ambaye naye alitumwa na Mwislamu Kikwete.Chondechonde,Magaidi yapigwe vita bila kujali Dini zao.Kitendo cha baadhi ya Waislamu kuwatetea Magaidi ndio kinatia shaka kuhusu Mafundisho ya hii Dini ya Mnyeeeeezi Mungu.
 
asichokijua elungata ni kwamba hao warumi hawakuwa na adui mmoja tu(uislam),bali walikuwa wakikandamiza watu wengi huko ulaya na hata kumobilize watu kujiunga na crusade kwa kisingizio cha ukristo,watu walipostukia kwamba ni upuuzi,wakaacha kujiunga na kuanzisha mapambano ya kuokoa nchi zao toka mikononi mwa Rumi na ndio hapo Rumi ilipoanza kuyumba na kukosa nguvu ya kuendeleza crusade.Elungata sijui kama anafahamu kuwa U.S kama modern state ilianzishwa na maelfu ya wakristo waliokimbia "mkono wa chuma" wa papa ulaya?sijui kama anakumbuka wafaransa walivyomkamata papa na kumfunga gerezani hadi kufa?sijui kama anaelewa kitu kinaitwa jewish revolts?sijui kama anaelewa kulikuwa na nini kati ya Muhammad na Rome ambacho Caliphate Omar hakukifuata hadi kupelekea vita ya Jihad(offensive war) au crusade(defensive war)?labda angeenda Iran na kumuuliza mzee Khamenei amuambie chanzo cha ukweli cha kuanzishwa lineage ya ma-ayatollah tofauti na face lift waliyoiwekea.

Unajua Mkuu Mimi mara nyingi hutumia simu kutoa hoja na inanifanya nisiweze kutoa maelezo mengi! Lkn Nina mambo mengi ambayo ningeweza kueleza!

Nikushukuru sn Mkuu kwa kujazia hapo! Unajua kuna nudugu mmoja alipinga USA kutawala Dunia kwa sababu za ushoga na kutokuzaliana etc! Na hakutoa andiko ata moja! Nafikiri alikua ndugu Crabat Km sikosei au Elungata ndio alietoa hayo maelezo!

Nataka nimwambie kua USA itatawala Dunia na itageuka na kuungana na Roma na kuwatesa watu Wa Mungu Km ilivyokua zamani kwa roma ya kipagani! Kwa mujibu Wa bible!

Umetoa history ambayo iko sawa na hicho kisa cha wafaransa kumteka Papa Piusi na akafia jera hiyo iko sawa!

Labda Km ataweza Huyo ndugu atupatie andiko toka ndani Quraan ambayo inasema kua USA haitotawala Dunia tuone inakuaje na huko!

Asante sn Mkuu!
 
Mkuu ntuzu ukitaka mafundisho ya mtume s.a.w yaani (hadith) utapata kwenye vitabu TOFAUTI NA QURAAN!
Vitabu hivyo vinaitwa VITABU VYA HADITH ZA MTUME S.A.W
Na mimi nakushauri ukienda kwenye duka la vitabu vya kiisalmu ulizia vitabu viwili Maarufu sana vya HADITH za MTUME s.a.w navyo ni SAHIH BUKHARI
na SAHIH MUSLIM.
Mkuu nakuomba usome MWENYEWE HIVYO VITABU UONE HAYO MAFUNDISHO YA HUYO MTUME WA MUNGU. Utapata faida kubwa sana.
Wabheja baba.

Wabeja bhageshi!
Ntafanyia kz!
 
Mkuu ntuzu ukitaka mafundisho ya mtume s.a.w yaani (hadith) utapata kwenye vitabu TOFAUTI NA QURAAN!
Vitabu hivyo vinaitwa VITABU VYA HADITH ZA MTUME S.A.W
Na mimi nakushauri ukienda kwenye duka la vitabu vya kiisalmu ulizia vitabu viwili Maarufu sana vya HADITH za MTUME s.a.w navyo ni SAHIH BUKHARI
na SAHIH MUSLIM.
Mkuu nakuomba usome MWENYEWE HIVYO VITABU UONE HAYO MAFUNDISHO YA HUYO MTUME WA MUNGU. Utapata faida kubwa sana.
Wabheja baba.

Mkuu ntuzu ukitaka mafundisho ya mtume s.a.w yaani (hadith) utapata kwenye vitabu TOFAUTI NA QURAAN!
Vitabu hivyo vinaitwa VITABU VYA HADITH ZA MTUME S.A.W
Na mimi nakushauri ukienda kwenye duka la vitabu vya kiisalmu ulizia vitabu viwili Maarufu sana vya HADITH za MTUME s.a.w navyo ni SAHIH BUKHARI
na SAHIH MUSLIM.
Mkuu nakuomba usome MWENYEWE HIVYO VITABU UONE HAYO MAFUNDISHO YA HUYO MTUME WA MUNGU. Utapata faida kubwa sana.
Wabheja baba.

kahtaan shukurani sana mkuu ila muwe mnajibu maswali basi sio hadi tuwachokoze ndio mje mtuwekee reliable sources hapa.na yale maswali yetu vipi mkuu?we huwezi kuyajibu kidogo?kuna mtu kanipa source yenye hadith ya Abu Afak,vipi hii hadithi?huyo Ibn Ishaq ni reliable muhaddithin au mzushi kwa mujibu wa mustala al hadith na rijal al hadith?lengo ni kujua kama tunaweza kuitumia hadith hiyo kuhalalisha Jihad au la ndio maana naulizia authenticity ya hiyo kitu.
 
Mkuu out of topic hivi hiyo avatar yako ni wewe huyo aliyechini anakula MIPINI au?
Of coz my post was a bait, and its about time one same-loving homo would take a bait, and it is u..followed by faging queer Kahtani bin Shehetani
 
kafiri gani tena anatafutwa yerico?..humu si kunajadiliwa kila kitu.
Yeriko na Dullah 1 wapi na wapi? acha kuweweseka mkuu. btw, soma katikati ya mistari utaupata ujumbe wangu bila chenga.
 
kahtaan shukurani sana mkuu ila muwe mnajibu maswali basi sio hadi tuwachokoze ndio mje mtuwekee reliable sources hapa.na yale maswali yetu vipi mkuu?we huwezi kuyajibu kidogo?kuna mtu kanipa source yenye hadith ya Abu Afak,vipi hii hadithi?huyo Ibn Ishaq ni reliable muhaddithin au mzushi kwa mujibu wa mustala al hadith na rijal al hadith?lengo ni kujua kama tunaweza kuitumia hadith hiyo kuhalalisha Jihad au la ndio maana naulizia authenticity ya hiyo kitu.

cc kahtaan
 
Last edited by a moderator:
kahtaan shukurani sana mkuu ila muwe mnajibu maswali basi sio hadi tuwachokoze ndio mje mtuwekee reliable sources hapa.na yale maswali yetu vipi mkuu?we huwezi kuyajibu kidogo?kuna mtu kanipa source yenye hadith ya Abu Afak,vipi hii hadithi?huyo Ibn Ishaq ni reliable muhaddithin au mzushi kwa mujibu wa mustala al hadith na rijal al hadith?lengo ni kujua kama tunaweza kuitumia hadith hiyo kuhalalisha Jihad au la ndio maana naulizia authenticity ya hiyo kitu.

Kabla hujakimbilia kwenye hitimisho. Kwanza lazima UJUE MAANA YA NENO "JIHAD" ktk UISLAMU.
Bila kufahamu MAANA HALISI HUWEZI KUELEWA MAJIBU YOYOTE NTAKAYOKUPA!
 
Of coz my post was a bait, and its about time one same-loving homo would take a bait, and it is u..followed by faging queer Kahtani bin Shehetani

Teh teh teh teh!
I'm right here booty shaker!!
Sweetheart dont give me a new name!
I've got one already.
I told you before I am a married man. And I hate bumbum business.
Try Nyenyere I'm sure he will have yours with Pleasure!

If you have a sister may be she can be my number 4th wife. Cause I gat a lot of energy for dat tings man!

Me looooov galatians ladys to take them 4 aride! (But you know! in halal way)!

Until they call out loud" yesu wangu eeee"
But.that 0713 of yours stinks man!
Me dont wan dat at all.

And if ya aks me again me call da cop's!

You sik bumer!

Teh teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom