Mkuu
Ntuzu
Ole mholla bagesha!
Kujaribu kujibu maswali yako hapo juu,
Kwanza nakuomba tu tusiende mbali saana na kutoka kabisa ktk huu uzi.
Manake hio haitokuwa haki mwa muanzilishi wa huu uzi.
Kwanza kabisa HADITH ZA MTUME (saw) KAZI YAKE SIO KUTAFSIRI QURAAN.! Bali ni mafundisho ya mtume s.a.w.
Na hadith zimeongekea All aspects of life!
Quraan ni kitabu kilichokamilika na hakihitaji msaada wa kutunga maekezo toka kwa kiumbe yyt.
Pili suala la watu wa makkah walizikataa hadith SIO KWELI KABISA na it doesn't make any sense.! Kama nilivyokwambia HADITH NI MAFUNZO YA MTUME (s.a.w)
Sasa unaposema watu wa makka walikataa hadith.
Labda una maana WALIKATAA MAFUNDISHO YAKE! Kitu ambacho sio kweli kabisa!!
Tatu. Kama ndugu yangu
Bilal bin Rabah alivyokwambia kuna aina mbili au tatu za HADITH.
Ziko hadith SAHIH (Hizi zinakuwa na perfect chain of narration. ) na zinakubalika kwa waislamu wote.
Hadith dhaif (hizi hadith zinakuwepo na doughty ndani yake kutokana na wake wapokezi wa hii hadith. Na hizi haziwezi kutumika kwenye rullings issues na sio waislamu wote wenye kuzikubali.
Hadith makrooh. Hizi ni hadith za UONGO ambazo maadui wa uislamu wamebuni maneno yao halafu wanamsingizia mtume Muhammad (s.a.w ) KUWA KASEMA wakati yeye hajatamka.
Na utakuta yale maneno machafu wanayotumia wale maadui wanuislam kule jukwaani NI KTK HADITH DHAIFU!
Sasa naomba turudi kwenye uzi/mada.
Asante2q