Kweli ushamba mzigo

Kweli ushamba mzigo

Mimi siku ya kwanza kutumia tea bags nilichana nikamimina majani[emoji85][emoji85] mbaya zaidi ilikuwa mazingira ya shule nilichekwa hadi namaliza form four. Kilichonisaidia walikuwa wananiogopa hakuna mtu aliewahi kunicheka live walikuwa wanacheka pembeni

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiii ni mm kabisa sema ilinitokea kwa uncle wangu. Asbhi hata sielew nimekichana huyo ndo aunty akaja kunipa kalecture pale...ushamba huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji38][emoji38][emoji38]umenikumbusha mbalii
Mimi siku ya kwanza kutumia tea bags nilichana nikamimina majani[emoji85][emoji85] mbaya zaidi ilikuwa mazingira ya shule nilichekwa hadi namaliza form four. Kilichonisaidia walikuwa wananiogopa hakuna mtu aliewahi kunicheka live walikuwa wanacheka pembeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi nilienda bonge la party yenye hadhi kule O'bay vikaletwa vinywaji nikamute kwanza. Nikaona wanaomba kuwekewa ice nami nikaomba, wakaweka Amarula fulani ina radha ya maziwa nami nikachukua hiyo kumbe zinapendwa na wamama. Nilikuwa na kilaza mwenzangu yeye akaagiza Sprite nikamcheka yani watu wanakunywa juice za South Africa, whisky na vinywaji vya bei yeye kakalili chupa ya buku. Zikaletwa sambusa na vidude vingine sivijui. Watu wanagusagusa tu, sisi tukasema lazima tule mpaka kieleweke. Tukakaa kidogo wakachukua vyombo wakaleta matunda, hatukuyafagilia hata. Kumbe kuna msosi: wakaleta biliani, kuku, samaki watamu balaa na mazaga mengine. Haki siku ile kuku alizidiwa utamu mbali mno na kila kitu na ubaya tulishiba mapema na introduction. Sasa kuna vitambaa walitanguliza, step zote tulikuwa tunaangalizia lakini msosi ukahamisha akili tukachukua vitambaa tukaweka chini ya sahani. Kila mtu ashaanza kula ndo tunagundua wote vitambaa wamefunga shingoni kuzuia chakula kikidondoka kisichafue nguo.
 
Nikiwa O-level nilikuwa na kademu kangu sema kajanja kajanja..siku ya tarehe 24 december akanipa zawadi imefungwa kwenye box..sasa mimi kwa papara nikaenda kuifungua siku hiyohiyo na nikampa feedback kuwa zawadi nzuri nimeipenda,alicheka sana akaniambia ilibidi niifungue tarehe 26 yaani boxing day..nilijiona kilaza kinoma
 
kipindi hicho nilikuw nimeshazoea kunywa soft drinks... first time kupiga tungi nilikuwa kwenye party flani na wana siku hiyo nilikutana na mzigo wa trump(konyagi kubwa), sasa ile naingiza mdomoni tuh nilikutana na ukakasi wa hatari yaani almanusula nitemee kwenye meza 😂😂😂 sema nikajitutumua kumeza ila yenyew ikawa inataka kurudi nje, ila ile siku siisahau asee ila kama kitu hukijui bora uulize tuh
 
Mimi siku ya kwanza kutumia tea bags nilichana nikamimina majani[emoji85][emoji85] mbaya zaidi ilikuwa mazingira ya shule nilichekwa hadi namaliza form four. Kilichonisaidia walikuwa wananiogopa hakuna mtu aliewahi kunicheka live walikuwa wanacheka pembeni

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1] kweli ushamba mzigo,,, nimecheka Kama fala hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom