Mambo na watu
Member
- Jun 18, 2019
- 77
- 123
[emoji23][emoji23][emoji23] ulivyosema pesa umenikumbusha mimi siku ya kwanza kutumia ATM nilitumwa kutoa 20,000 kile kiwewe nikatoa 200,000
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiii ni mm kabisa sema ilinitokea kwa uncle wangu. Asbhi hata sielew nimekichana huyo ndo aunty akaja kunipa kalecture pale...ushamba huuMimi siku ya kwanza kutumia tea bags nilichana nikamimina majani[emoji85][emoji85] mbaya zaidi ilikuwa mazingira ya shule nilichekwa hadi namaliza form four. Kilichonisaidia walikuwa wananiogopa hakuna mtu aliewahi kunicheka live walikuwa wanacheka pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siku ya kwanza kutumia tea bags nilichana nikamimina majani[emoji85][emoji85] mbaya zaidi ilikuwa mazingira ya shule nilichekwa hadi namaliza form four. Kilichonisaidia walikuwa wananiogopa hakuna mtu aliewahi kunicheka live walikuwa wanacheka pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilienda bonge la party yenye hadhi kule O'bay vikaletwa vinywaji nikamute kwanza. Nikaona wanaomba kuwekewa ice nami nikaomba, wakaweka Amarula fulani ina radha ya maziwa nami nikachukua hiyo kumbe zinapendwa na wamama. Nilikuwa na kilaza mwenzangu yeye akaagiza Sprite nikamcheka yani watu wanakunywa juice za South Africa, whisky na vinywaji vya bei yeye kakalili chupa ya buku. Zikaletwa sambusa na vidude vingine sivijui. Watu wanagusagusa tu, sisi tukasema lazima tule mpaka kieleweke. Tukakaa kidogo wakachukua vyombo wakaleta matunda, hatukuyafagilia hata. Kumbe kuna msosi: wakaleta biliani, kuku, samaki watamu balaa na mazaga mengine. Haki siku ile kuku alizidiwa utamu mbali mno na kila kitu na ubaya tulishiba mapema na introduction. Sasa kuna vitambaa walitanguliza, step zote tulikuwa tunaangalizia lakini msosi ukahamisha akili tukachukua vitambaa tukaweka chini ya sahani. Kila mtu ashaanza kula ndo tunagundua wote vitambaa wamefunga shingoni kuzuia chakula kikidondoka kisichafue nguo.
Na hapo ndio utawa ulipokushinda kabisaaaa
Bora wewe ilikuwa ni nyumbani [emoji3][emoji3]Hiii ni mm kabisa sema ilinitokea kwa uncle wangu. Asbhi hata sielew nimekichana huyo ndo aunty akaja kunipa kalecture pale...ushamba huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok hongeraNilikuwa nishaelewa kutumia ..na mwanzoni sikuanza kuingia kwa kutumia app nilikuwa naingia kwa web:
Uliambatan na uvivu ndani yakeKwanini??
Njoo nidekèe na mimi mkùuWala hata labda madeko
[emoji4]
[emoji1][emoji1][emoji1] kweli ushamba mzigo,,, nimecheka Kama fala hapaMimi siku ya kwanza kutumia tea bags nilichana nikamimina majani[emoji85][emoji85] mbaya zaidi ilikuwa mazingira ya shule nilichekwa hadi namaliza form four. Kilichonisaidia walikuwa wananiogopa hakuna mtu aliewahi kunicheka live walikuwa wanacheka pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app