Mkuu kweli umenichekesha aiseesiku nafundishwa gari, nilikuwa natowa kichwa nje ili nione tail inakanyaga wap[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kweli umenichekesha aiseesiku nafundishwa gari, nilikuwa natowa kichwa nje ili nione tail inakanyaga wap[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kidogo nimwage mbogaaa[emoji6]
Ushamba mzigo, miaka ya 2000 huko nilialikwa sherehe flani hivi, so kwenye sahani za misosi tukawekewa na tishu. Mi nilijua ni sehu ya msosi wacha nichanganye kuzila na msosi [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
I'm jokin!
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
cₐᵣₑₑₘ ᵀʰᵉ ᴸᵉᵍᵉⁿᴰ
Na JF uliijuaje sasa ?Simu yangu ya kwanza kutumia ya smart nilinunuliwa zawadi kwenye Siku yangu ya kuzaliwa. Sasa nilikuwa sijui baadhi ya apps huzikuti mpaka u-download mfano:whatsapp,insta n.k nikamtext mleta zawadi nikamwambia mbona haina hata whatsap mi siitaki [emoji38][emoji85]...akanambia download Fanya hivi na hivi hivyo ushamba ukanitoka..... sasa sikutegemea kama ningeonekana mshamba mapema vile maana mleta zawadi mwenyewe alivyonielekeza ni kama hakutegemeaa
Embu tukumbishie ni kitu gani ulichowahi kufanya bila kujua kama hakifanywi hivyo na badae ukajuaa kinatakiwa kufanywa hivii!! TWAMBIE USHAMBA WAKO ULOWAHI KUFANYAA.
Sent from my HUAWEI Y360-U82 using JamiiForums mobile app
usijali, teknolojia haijawai kumuacha mtu salama, hata mm mwenyewe nazidi kujifunza kila siku kulingana na utandawazi jinsi unavyoendeleaKawaida
[emoji23][emoji23]yako Kali rafikiNilibandika jagi la umeme la plastic kwenye jjiko la umeme,, nikawasha.
Nilivoskia jagi la umeme nikajua linapikiwa kwenye jjiko la umeme, daa nilishangaa linayeyuka halafu nilikua kwa anko wangu, hakuwepo. Mke wake alinisema sana, niliona aibu, nilikua nimemaliza form four, dah
Yani halafu sasa, kindergarten mpaka hapo Niko dar, sio km nilitoka kijjn, sema home halikuwepo😀😀😀😀[emoji23][emoji23]yako Kali rafiki
Tena ushamba wako ulitakiwa kutolewa kwa kukulamba makofi kama matatu hiviSimu yangu ya kwanza kutumia ya smart nilinunuliwa zawadi kwenye Siku yangu ya kuzaliwa. Sasa nilikuwa sijui baadhi ya apps huzikuti mpaka u-download mfano:whatsapp,insta n.k nikamtext mleta zawadi nikamwambia mbona haina hata whatsap mi siitaki [emoji38][emoji85]...akanambia download Fanya hivi na hivi hivyo ushamba ukanitoka..... sasa sikutegemea kama ningeonekana mshamba mapema vile maana mleta zawadi mwenyewe alivyonielekeza ni kama hakutegemeaa
Embu tukumbishie ni kitu gani ulichowahi kufanya bila kujua kama hakifanywi hivyo na badae ukajuaa kinatakiwa kufanywa hivii!! TWAMBIE USHAMBA WAKO ULOWAHI KUFANYAA.
Sent from my HUAWEI Y360-U82 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] ulivyosema pesa umenikumbusha mimi siku ya kwanza kutumia ATM nilitumwa kutoa 20,000 kile kiwewe nikatoa 200,000Aaaaah! Nipo A level na rafiki yangu wakati wa break tukawahi Moshi mjini posta kuchukua pesa tulitumiwa kwa EMS.
Baada ya hapo tukaingia mgahawa wa hadhi kidogo karibu na ile roundabout.
Chai ilivyoletwa kulikua na vipande vya limau, ile unakamulia kwa chai. Mie nilivyomaliza kugonga sambusa na chai baadae nikashushia na tule tulimau ila nilikua nalamba na kuvyonza kama chungwa. Nilijua ni tunda kupata mlo kamili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilibandika jagi la umeme la plastic kwenye jjiko la umeme,, nikawasha.
Nilivoskia jagi la umeme nikajua linapikiwa kwenye jjiko la umeme, daa nilishangaa linayeyuka halafu nilikua kwa anko wangu, hakuwepo. Mke wake alinisema sana, niliona aibu, nilikua nimemaliza form four, dah