Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Wewe hujaaangalia video unajump into conclusion unazeeka vibaya sanaHivi kwanini Dar huwa mnazunguka tu kwenye hayo majengo matatu, yaani zaidi ya hapo Dar umeimaliza, mnafaa mjenge mji usambae maghorofa kote, sio eneo moja tu unapiga piga mapicha kwenye pembe/angle tofauti. Yaani hiyo Dar inafaa ishindane na eneo moja la Nairobi, kama vile Westlands ndiko kuna majengo machache marefu ambayo unaweza kucheza cheza na mapicha kama mnavyofanya Dar.
Majengo yanafaa yazagae hivi, hebu cheki Nairobi mjini kati, na hapa bado sijahusisha KICC na kwengine kati, ni vigumu kupiga picha moja ya Nairobi CBD kama mnavyofanya Dar.
Hadi nimecheka hapa kwa sauti, yaani hizo ghorofa tatu ndio umezizunguka kama nilivyosema, huwa mnazipiga picha kwenye angle tofauti tofauti, huko kwengine ni kiwango cha apartments ambazo kwetu hapa zipo nje ya mjini.
Ok CBD kwa CBD, Hebu fananisha ulichokituma na hii Dar,
Ni wazi Nairobi ni Nzee, Haivutiii majengo mafupi ya Mkoloni, toka amejenga mkoloni nyie mmefanikowa kuongeza uwezo wa kuiba . Nairobi haina Mvuto, Naijui vema Hiyo westlands unayosema iko sawa na Nusu ya Kariakoo, achana na Kijitonyama, Mlimani, Ilala au Upanga, unajitoa ufahamu japo unajua ukweli ni Kuwa Dar ni Sawa na Nairobi+ Mombasa+ Nakuru + Kisumu.
View attachment 1255282View attachment 1255284View attachment 1255290
Wewe unaijua westlands kwa mdomo tu kule vijiweni.Lakini kiukweli Westland ina ukubwa zaidi ya Posta,Upanga,Kariokoo na Ilala combined View attachment 1255355View attachment 1255356
Wewe hadi picha zenyewe zinakupa tabuu kuangaliaIbis Hotel twice in my trips to Nairobi, Nimekunywa bia pale kwenye bar (rooftop) na kupiga picha the whole of Westlands,
Tena Nikatembea kwa Mguu toka Hotelini mpaka shopping mall moja iko oposite na Oracle, Harufu tupu kule. I can assure you The whole Westlands is half of Kariakoo.
Wewe hadi picha zenyewe zinakupa tabuu kuangaliaView attachment 1255365View attachment 1255366
Hayo majengo hayakujengwa na mkoloni. Yalijengwa 1970s na 80s. KICC, Times Towers, Teleposter towers na mengine yalijengwa 1970s na 1980s. Halafu najua hujafika westlands mwaka huu. Kuja ujionee mambo.Ok CBD kwa CBD, Hebu fananisha ulichokituma na hii Dar,
Ni wazi Nairobi ni Nzee, Haivutiii majengo mafupi ya Mkoloni, toka amejenga mkoloni nyie mmefanikowa kuongeza uwezo wa kuiba . Nairobi haina Mvuto, Naijui vema Hiyo westlands unayosema iko sawa na Nusu ya Kariakoo, achana na Kijitonyama, Mlimani, Ilala au Upanga, unajitoa ufahamu japo unajua ukweli ni Kuwa Dar ni Sawa na Nairobi+ Mombasa+ Nakuru + Kisumu.
View attachment 1255282View attachment 1255284View attachment 1255290
Nimefikia Ibis Hotel twice in my trips to Nairobi, Nimekunywa bia pale kwenye bar (rooftop) na kupiga picha the whole of Westlands,
Tena Nikatembea kwa Mguu toka Hotelini mpaka shopping mall moja iko oposite na Oracle, Harufu tupu kule, Wakenya ni Wachafu sana, Ni aibu mno mji ulio juu ya usawa wa bahari, wenye baridi kali kuwa na harufu nzito na mafuriko..I can assure you The whole Westlands is half of Kariakoo.
Ila wewe ni Kiazi, sasa ni nini hiki umeshea?
Nimefikia Ibis Hotel twice in my trips to Nairobi, Nimekunywa bia pale kwenye bar (rooftop) na kupiga picha the whole of Westlands,
Tena Nikatembea kwa Mguu toka Hotelini mpaka shopping mall moja iko oposite na Oracle, Harufu tupu kule, Wakenya ni Wachafu sana, Ni aibu mno mji ulio juu ya usawa wa bahari, wenye baridi kali kuwa na harufu nzito na mafuriko..I can assure you The whole Westlands is half of Kariakoo.
Kama sio watalii ni nini? Kwani wakija huko hawatumii hela zao au mnawapa makau na vyakula?. You are so amusing.Kumbe hata hawa kwenu mnawahesabu kwamba ni watalii?, ndio sababu inaonyesha Kenya hupokea watalii wengi lakini kwa mapato Tanzania inapata Mara mbili zaidi ya Kenya. Tanzania hawa hawawekwi katika kundi la watalii, hawa tunaweka katika kundi la" hustlers", wanatafuta wanaume wa watanzania ili wapate uraia wa Bongo.
This is 10kms Away from City Center, Far better than That thing called WestlandsHiyo ni picha ya Westlands vs Posta,Kariokoo,Upanga,Ilala ndio ujue Westlands sio size yenu
Hivi haya majina ya tony bado wanapewa Watoto wa kiumeHayo majengo hayakujengwa na mkoloni. Yalijengwa 1970s na 80s. KICC, Times Towers, Teleposter towers na mengine yalijengwa 1970s na 1980s. Halafu najua hujafika westlands mwaka huu. Kuja ujionee mambo.
Huu utumbo hata kwa Mombasa road bado sanaThis is 10kms Away from City Center, Far better than That thing called Westlands
View attachment 1255382
Kwhyo hku watu hawatalii katika miji yetu..Ona vile wakenya wenzako wana talii tz mji unang'aa kama grass dogo toka Kwa slum uje uvute hewa safi ya fukwe za dar ujihisi unaishi duniani
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app