Sio soon mkuu, yaani Tanga ni nzuri na kubwa kuliko Mombasa, Tanga ipo Well planned kuliko mji wowote wa KenyaTanga yazidi kung'aa soon itakuwa tanga vs Mombasa
Video mbalimbali za vloggers wa Kenya wakiwa Tanzania
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Wewe mgeni hapa EA forum !!huwa tunaandika hivyo kuwavuta kwenye Uzi wakija ndaniyake wanayakuta na hayo uliyo yasema
Wadada wenzako wa kikenya wanakuja dar kula raha ya dunia siyo wewe unashinda Kenya kunuka mavii ya slumsHayo malori ya mafuta yakiingia Kenya Haimaanishi yanauza mafuta Yao Kenya, mafuta yote ambayo yanauzwa Kenya yanasambazwa na Kenya pipeline ukitaka kujua ukweli Nenda mpaka wetu na Uganda utajua hayo magari yote yanaelekea Rwanda na DRC Congo yanapita Kenya cause ruti ni ya karibu kuliko kutumia ruti ya ndani ya Tanzania kama huamini Nenda mpakani busia au malaba utaona magari ya mafuta mengi yenye usajili wa Tanzania yakiingia Uganda kwelekea zao Congo democratic republic na Rwanda.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Kula like belindaNchi yetu ni kivutio tosha na tunaifeel mno.
Duh!!si kenya inakuumiza sana..pole sana jombaaaaCheki wadada wenzako wakikenya wanazidi kuja kushangaa dar na kuvuta hewa safi ya bahari , siyo wewe unaendelea kuvuta hewa chafu ya mavii Kwa slums huko kenya
True kuna huyu MK254 alitelekeza mke na Watoto kenya Kwa miaka 10 kajificha dar huku kajitangazia kuwa amefariki huko kwao Kenya ,hadi magu alipo chukua nchi ikuwa mbinde kumuondoa TanzaniaWakenya wa JF wa post toka turkana ,korogocho,kibera,mathare
Wakenya wa JF hamna kitu kabisa
Real Kenyan wakija bongo hawataki kurudi kwao Kenya
Ugua pole pole jomba...Wadada wa Kikuyu wanatumia vizuri huu msemo
K= kula
E= ela za
Nya= nyani
En am proud[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bwaaaaaahhhh slum boy
The new york of east Africa dar es salaamHivi kwanini Dar huwa mnazunguka tu kwenye hayo majengo matatu, yaani zaidi ya hapo Dar umeimaliza, mnafaa mjenge mji usambae maghorofa kote, sio eneo moja tu unapiga piga mapicha kwenye pembe/angle tofauti. Yaani hiyo Dar inafaa ishindane na eneo moja la Nairobi, kama vile Westlands ndiko kuna majengo machache marefu ambayo unaweza kucheza cheza na mapicha kama mnavyofanya Dar.
Majengo yanafaa yazagae hivi, hebu cheki Nairobi mjini kati, na hapa bado sijahusisha KICC na kwengine kati, ni vigumu kupiga picha moja ya Nairobi CBD kama mnavyofanya Dar.
Mi binafsi namfahamy mkenya mmoja niliwahi kaa nae mtaa mmoja dar anaitwa Sam enzi hizo alikuwa anafanya kazi voda na gari alipewa Nissan hardbody ya vodaTrue kuna huyu MK254 alitelekeza mke na Watoto kenya Kwa miaka 10 kajificha dar huku kajitangazia kuwa amefariki huko kwao Kenya ,hadi magu alipo chukua nchi ikuwa mbinde kumuondoa Tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23] mbona unasound kama vile tukiwa watoto tulikua tunashangilia wazungu wakija kutaliiCheki wadada wenzako wakikenya wanazidi kuja kushangaa dar na kuvuta hewa safi ya bahari , siyo wewe unaendelea kuvuta hewa chafu ya mavii Kwa slums huko kenya