Haa haaa,same houc?nani kasema?
Km nimeamua kuwa peke yangu means hata yeye simtaki pia,
Watoto watenda huko kusalimia baba yao ila si kuishi pamoja tena!
Kwangu haiwezekani.
Canty, hujapenda ... upendo hauna kikomo, hauna masharti!!
Wengi tunachukuliana tu sababu ya kufanana hisia zetu na ndio maana situations kama hizi watu zinatusumbua kusolve sababu tunakuwa kiukweli hatuko katika upendo wa kweli. Wanaopendana kweli, na kiukweli kabisa, hili sio jambo kubwa kiivyo, ni suala la kujua tu mwenzako aliteleza (tambua ya kuwa binadamu wote tu dhaifu), na kwamba sasa amaerudi kundini, ni kumsamehe na kufungua ukurasa mpya wa maisha!
kumsamehe utamsamehe tu nakwambia labda hamkuoana lakini kuishi nae hilo uamuzi inategemea na mtu....upande mwingine wa shillingi hivi mwanamke katoka mbio miezi hata mitatu hujui yuko wapi akirudi anasamehewa na mumewe? Wapi? Tena utamkuta mwingne kashaolewa fasta! Hapo ndo huwa sielewi double standard imekaaje!
hata kama wako weak sidhani kwamba hilo linatupa justification ya kuwatenda na kuto-feel the pains that we are daily causing unto them. tuachane na sociaetal norms, wanawake nao pia wana feelings kama ilivyo kwa wanaume, kama wewe ukimfumania mkeo kwanini usimsamehe ilhali we mwenyewe wajua kama unafanya au ulishawahi fanya the same upuuzi?? yaani hapa huwa siwaelewi wanaume wenzangu, kwanini sisi tufanye wao watusamehe, na kwanini wao wakifanya sisi tusiwasamehe??
ahsante madabwada. Post yako imenifanya nismile. Kwa kuongezea huyo mume anaweza akawa mume mwema sana baada ya msamaha. Probability ya yeye kurudia madudu yake ni ndogo sana.
ahsante madabwada. Post yako imenifanya nismile. Kwa kuongezea huyo mume anaweza akawa mume mwema sana baada ya msamaha. Probability ya yeye kurudia madudu yake ni ndogo sana.
hapo tushaelewana wanaume wengi wana take advantage ya wanawake sana! Kisa their so compassionate kama wewe hutomsamehe ukimfumania. why shouldn't her do that on you? Na wanaume weng tuko hivyo! Maskini most of women walio too dependent ndo hukoma na unyanyasi huu..
Wala kutakuwa hakuna haja ya kukusanya nguvu,nilishazoea maisha yangu na kuiendesha familia peke yangu,sasa why taking all those troubles kama umeshasamehe?? kwanini awe mbali nawe wakati mnahitaji sasa kuunganisha nguvu na kulea watoto wenu vyema?? hakiwepo nyumba moja nawe kutakuwa na tatizo gani?? au me sielewi maana ya kusamehe hapa??
kufanya kosa (at first place) sio kosa, kosa kurudia kosa! ameshwasiliana na shetani, akamkana na ndio maana amerudi, wether amerudi na hela or hapana, kwanini usimsamehe??
Lakini inauma sana .Yaani mtu apate pesa akastaqrehe na wengine.Akiishiwa wewe ndio anakurudia,yahitaji kuwa na moyo wa plastiki.Hata nikikusamehe upendo hautakuwa kama ule wa mwanzo.kufanya kosa (at first place) sio kosa, kosa kurudia kosa! ameshwasiliana na shetani, akamkana na ndio maana amerudi, wether amerudi na hela or hapana, kwanini usimsamehe??
Husninyo, maneno yako machache lakini yamemaanisha jambo kubwa sana na la msingi ... kile ambacho kiukweli hatuna katika ndoa zetu hizi, tumejaa tu ubinafsi na kujipenda sisi wenyewe zaidi! Ubinafsi ni ufisadi ulioota mizizi katika taasisi ya ndoa zetu siku hizi!
leo uko kwenye mood eti maana ndugu yangu comments zako huwa very short.. sasa naona umeamua
okay, mimi na wewe tumeshalitambua hilo ... then tuwe chachu ya kuwashawishi na wanaume wenzetu wabadilike (BPM, TB, TF, ODM, EMT etc mtuunge mkono bana .... lol)
BPM iko janja sana iko kimbia swali angu aisee
Wala kutakuwa hakuna haja ya kukusanya nguvu,nilishazoea maisha yangu na kuiendesha familia peke yangu,
Nitakuwa wala sihitaji ukaribu naye wa aina yoyote,
Siwezi kuishi naye nyumba moja kwani aliamua kuondoka na kuniacha na shida na watoto,
Nitakuwa nimeshamsaehe na ila sio kurudiana tena kwan hata tukirudiana siwezi kumpenda tena km mwanzo ili nisiwe mnafiki ni bora kuwa wazi ajue na asipoteze mda wake kuwa na mm.
kifupi nitakuwa nilishasamehe toka alikokuwa, sijaona kwenye thread ya mwanzilishi kama mama alikata mbuga kwenda kumsaka huyo baba huko aliko.alimuacha aendelee na maisha yake naye mama akajipanga upya. Sasa kwa nini aje atuharibie utaratibu wetu wa maisha leo hii, surely tuliweza bila yeye na tutasonga mbele (haa haa..). Na wala sitakataza mwanangu akamsalimie huko atakakokuwa, ila kwa mimi kama mama, hapana kwa kweli, with or without money.
Lakini inauma sana .Yaani mtu apate pesa akastaqrehe na wengine.Akiishiwa wewe ndio anakurudia,yahitaji kuwa na moyo wa plastiki.Hata nikikusamehe upendo hautakuwa kama ule wa mwanzo.
Unajua kiukweli na kibinadam hebu angalien ingekuwa hayo kayafanya mwanamke ingekuwaje jaman?Canty, hujapenda ... upendo hauna kikomo, hauna masharti!!
Wengi tunachukuliana tu sababu ya kufanana hisia zetu na ndio maana situations kama hizi watu zinatusumbua kusolve sababu tunakuwa kiukweli hatuko katika upendo wa kweli. Wanaopendana kweli, na kiukweli kabisa, hili sio jambo kubwa kiivyo, ni suala la kujua tu mwenzako aliteleza (tambua ya kuwa binadamu wote tu dhaifu), na kwamba sasa amaerudi kundini, ni kumsamehe na kufungua ukurasa mpya wa maisha!
Unajua kiukweli na kibinadam hebu angalien ingekuwa hayo kayafanya mwanamke ingekuwaje jaman?
N huo udhaifu wa miaka saba ni wa aina gani huo?
Je angekufa huko ingekuwaje?au angenikuta mataizo aliyonisababishia yameniua je angerudi wapi?
Achen bwana,ninawacwac km ulishawahi kupenda tena kwa moyo wako wote alafu ukaumizwa na ukaujua uchungu wake wakati hapo hakuna ndoa,watoto wala mimba!
Alafu hapo mlishapitia magumu mengi labda ndio mmefanikiwa alafu ndio akakimbia!
Kwahilo kwangu ni ngumu sana na hapo tutadanganyana tu hata tukirudiana kamwe sitaweza kumpenda tena,
Labda tuishi kinafiki na binafsi huwa siwezi maisha ya maigizo ni bora niishi kwa shida peke yangu na si kuigiza!