BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 576
Unajua kiukweli na kibinadam hebu angalien ingekuwa hayo kayafanya mwanamke ingekuwaje jaman?
N huo udhaifu wa miaka saba ni wa aina gani huo?
Je angekufa huko ingekuwaje?au angenikuta mataizo aliyonisababishia yameniua je angerudi wapi?
Achen bwana,ninawacwac km ulishawahi kupenda tena kwa moyo wako wote alafu ukaumizwa na ukaujua uchungu wake wakati hapo hakuna ndoa,watoto wala mimba!
Alafu hapo mlishapitia magumu mengi labda ndio mmefanikiwa alafu ndio akakimbia!
Kwahilo kwangu ni ngumu sana na hapo tutadanganyana tu hata tukirudiana kamwe sitaweza kumpenda tena,
Labda tuishi kinafiki na binafsi huwa siwezi maisha ya maigizo ni bora niishi kwa shida peke yangu na si kuigiza!
hapa kinachokuja kuumiza zaidi ni majeraha ya tatizo ndo yatakayohukumu zaidi