Madabwada
JF-Expert Member
- May 8, 2009
- 541
- 320
Haa haaa,same houc?nani kasema?
Km nimeamua kuwa peke yangu means hata yeye simtaki pia,
Watoto watenda huko kusalimia baba yao ila si kuishi pamoja tena!
Kwangu haiwezekani.
sasa why taking all those troubles kama umeshasamehe?? kwanini awe mbali nawe wakati mnahitaji sasa kuunganisha nguvu na kulea watoto wenu vyema?? hakiwepo nyumba moja nawe kutakuwa na tatizo gani?? au me sielewi maana ya kusamehe hapa??