Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Mi nazalisha nakuja kwenu na wewe kaka wa demu wangu nakukanda hapo hapovipi na wewe uzalishe dada wa watu halafu kaka zake wakubonde makofi🤣🤣
Alae huliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nazalisha nakuja kwenu na wewe kaka wa demu wangu nakukanda hapo hapovipi na wewe uzalishe dada wa watu halafu kaka zake wakubonde makofi🤣🤣
Alae huliwa
Kwetu utatupiwa tumbo la kuhara ni utaharisha mpaka shahawa😀😀Mi nazalisha nakuja kwenu na wewe kaka wa demu wangu nakukanda hapo hapo
Kapata hasaraMama yangu mdogo ana bintiye ambaye kwa sasa ni mtu mzima sana na hajawahi kuolewa hana mtoto hata mmoja. Miaka ya ujana wa huyo binti wa mama yangu mdogo ,aliwahi kupata wachumba 2 kwa nyakati tofauti tofauti. Wakati wa kuwatambulisha hao wachumba kwa mzazi (mama), huwezi amini alikuwa anachoma nyama ya nguruwe kwa makusudi kwasababu tu aliambiwa na binti kuwa mchumba nitakayekuja kumtambulisha ni muislam.
Baada ya hayo bintiye hakuwahi kupata mchumba tena hadi sasa umri imesogea sana......eti mama ndio anajifanya kujutia yale aliyoyafanya wakati ule kwakuwa anaamini kwamba alikosea sana na ndio sababu bintiye haolewi.
Hawapatani hata kidogo kati ya binti na mama. Dunia Duara, Dunia tunapita
Kuna binti kaanza kutambika kwwnye makaburi ya ujombani ili walau ampate wa kumuita mume na yeye😅😅 aisee huko mbeleni nauona mtifuano kati yake na mama yake maana ndo anamshauri pumbaMama yangu mdogo ana bintiye ambaye kwa sasa ni mtu mzima sana na hajawahi kuolewa hana mtoto hata mmoja. Miaka ya ujana wa huyo binti wa mama yangu mdogo ,aliwahi kupata wachumba 2 kwa nyakati tofauti tofauti. Wakati wa kuwatambulisha hao wachumba kwa mzazi (mama), huwezi amini alikuwa anachoma nyama ya nguruwe kwa makusudi kwasababu tu aliambiwa na binti kuwa mchumba nitakayekuja kumtambulisha ni muislam.
Baada ya hayo bintiye hakuwahi kupata mchumba tena hadi sasa umri imesogea sana......eti mama ndio anajifanya kujutia yale aliyoyafanya wakati ule kwakuwa anaamini kwamba alikosea sana na ndio sababu bintiye haolewi.
Hawapatani hata kidogo kati ya binti na mama. Dunia Duara, Dunia tunapita
Duuuuh! Ni hatariKuna binti kaanza kutambika kwwnye makaburi ya ujombani ili walau ampate wa kumuita mume na yeye😅😅 aisee huko mbeleni nauona mtifuano kati yake na mama yake maana ndo anamshauri pumba
Anajutia sana kufanya ubaguzi wa wazi wazi kwasababu ya tofauti za diniKapata hasara
Uende na miguu kama mbali nenda na gariWakuu msaada aisee vp kwenda ukweni unatakiwa kwenda na nini? Au vizawadi gani? Wakuu naombeni msaada aisee na natakiwa nivaaje? Aisee
Nimejichanganya aiseee!!!
Hatari sana na ubaya ubwela. Watu wakijua uliwachomolea watu hawamtaki bint yakoAnajutia sana kufanya ubaguzi wa wazi wazi kwasababu ya tofauti za dini
😁😁😁!
Na akili ni nywele, ila siyo nywele za chini...😁😁😁!
Afolo heart yake asisahau ku carry na brain ake 😂😂!
Mababa wa bahati mbaya ndio hao.Umekua baba kabla ya wakati wako.
😂😂😂😂!Na akili ni nywele, ila siyo nywele za chini...
Sawa lea mwenyewendio maana nimesema kuwa mimi nakufukuza na mtoto humuoni
Nakuunga mkonoUkutane na mtu kama mimi nakuachia mtoto wako hapo mimi huyooo.
Yaani kuna nini kipya hasa hadi nianze kuletewa tantalila ukweni?
Halafu ukute huyo binti wako nimemkuta na bwawa hakujitunza hapo nyinyi ndio mnatakiwa mnishukuru kujitwisha mzigo wa watu wengi.
Sijui kwanini watu wanapaona ukweni kama sehemu so special yaani. Ni ku complicate tu mambo.
Wakuu msaada aisee vp kwenda ukweni unatakiwa kwenda na nini? Au vizawadi gani? Wakuu naombeni msaada aisee na natakiwa nivaaje? Aisee
Nimejichanganya aiseee!!!
vaa chupi kichwani tu hakuna namna kama umejichanganyaWakuu msaada aisee vp kwenda ukweni unatakiwa kwenda na nini? Au vizawadi gani? Wakuu naombeni msaada aisee na natakiwa nivaaje? Aisee
Nimejichanganya aiseee!!!