Kwenda kumuangalia mtoto ukweni unatakiwa uende na nini?

Kapata hasara
 
Kuna binti kaanza kutambika kwwnye makaburi ya ujombani ili walau ampate wa kumuita mume na yeye😅😅 aisee huko mbeleni nauona mtifuano kati yake na mama yake maana ndo anamshauri pumba
 
Na akili ni nywele, ila siyo nywele za chini...
😂😂😂😂!
Weee huu usiku unawaza chini tu mfyuuuu 😁!

Mwambie mtoa mada aulizie kwa mkewe utaratibu kwakwenda kumuangalia Mtoto kwao ukoje ndio itakua rahisi zaidi kwani kila koo/Kabila/Familia zina taratibu zake!

Asisahau kuwa na walet ilonona
 
Nakuunga mkono
 
Miguu
Wakuu msaada aisee vp kwenda ukweni unatakiwa kwenda na nini? Au vizawadi gani? Wakuu naombeni msaada aisee na natakiwa nivaaje? Aisee

Nimejichanganya aiseee!!!

Gari
Baskeli
Pikpik
Boti
 
Wakuu msaada aisee vp kwenda ukweni unatakiwa kwenda na nini? Au vizawadi gani? Wakuu naombeni msaada aisee na natakiwa nivaaje? Aisee

Nimejichanganya aiseee!!!
vaa chupi kichwani tu hakuna namna kama umejichanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…