Kwanza kuna ndoa siku hizi nijibebeshe mivitu siku mbili kibuti mnaanza kugombania ya nini mimi nakwenda na begi langu kikinuka natimka timu kama nasafiri vile kumbe ndo nitoleee (Wasichana ambao hamjaolewa kazi kwenu)
Huyo ni binti au sugar mummy?
Hilo ndo tatizo la kuolewa aged. Hata ndoa za hivyo hazidumu...sitaki kutaja majina ntapewa za uso.
Raha ya ndoa either muanza hamna kitu (muanze pamoja) au mume awe nazo. Mwanamke ata kikimchanganyia iwe ndani ya ndoa si kabla.
wala hata sio aged mpenzi, ni kwamba baadhi yetu wanapata pesa mingi katika umri mdogo sana let say kamaliza chuo ana 24, kabahatisha kazi inamlipa 5m kwa mwezi atashindwa nini kumiliki vitu vizuri kama nyumba,magari, maduka nk eti mpka aolewe mmh hapana, sijui lakini labda malengo ya kuoana yanatofautiana mwingine anaolewa ili apate mtu wa kumuhudumia, na mwingine anaolewa ili apte kampani,
na kabahatisha kazi ya m
Mke mwenza leo umenichekesha mbaya sana acha tu sala na imani ndo mpango mzima (Mie huyo jini wangu kachoka mbaya mbovu kashindwa hata kulisha familia)
Lol, lol yaani wewe hapa ndio umenivunja mbavu baada ya kurudia lile jina linawafaa sana hawa tumbili. Jioni njema, ngoja nikamtengenezee mume wetu Mr Rocky ndizi mzuzu.
Helo my dears
kwanza nianze na story hii
juzi nilienda kwenye kitchen party ya rafiki .wakati wa zawadi mamayake kumbe alienda china kafungasha contena lina kila kitu cha ndani kilazagazaga
vitanda,magodoro ,sofa ,majiko ,friji ,radio ,matv, taulo yaaanikila kitu ambacho kinatakiwa kiwe ndani ya nyumba ya mtu hadi kijiko
kijana aliemuoa huyo dada ni mtu wa kawaida tu kwa kweli ,hata kujenga bado
sasa najiuliza hili limekaaje wadau
hivi ni sawa kwa mwanamke ukiolewa kwenda na kila kitu kwamume au ni vizuri kwenda na begi lako la nguo tu?
we Dena ww!!!..............umepotea sana mzima lakini.
:eek2:
:eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1: Yummy njoo hapo mlangoni utakutana na kifuko chako cha rambo na kila kitu kilichopo ni mali yako
Ukienda nilikokuambia usigeuke nyuma kabisa Dena Amsi nakutafuta wewe
Una kesi ya kujibu hapa
kama ni mimi naweza nisimuoe mwanae au nikimuoa namwambia asije na mizigo yake. Siku mama mkwe akiudhika hakawii kuja na fuso kumchukua mwanae na mizigo aliyo kuja nayo. huachiwi hata pasi. Aje tutafute wote ili tujue kutumia. miaahahaaa eti hii imekaaje mzee wa mia?
????????????:gossip::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1:
??????:A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::iamwithstupid::iamwithstupid::closed_2::closed_2::car::car::car::car::A S new::A S new::A S new::welcome::welcome:Lol, lol yaani wewe hapa ndio umenivunja mbavu baada ya kurudia lile jina linawafaa sana hawa tumbili. Jioni njema, ngoja nikamtengenezee mume wetu Mr Rocky ndizi mzuzu.
:eek2:
:eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::eek2::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1: Yummy njoo hapo mlangoni utakutana na kifuko chako cha rambo na kila kitu kilichopo ni mali yako
Ukienda nilikokuambia usigeuke nyuma kabisa Dena Amsi nakutafuta wewe
Una kesi ya kujibu hapa
Haya nimekuja Mume wangu nambie nini mbaya hapa tena dear aahhhhh
????????????:gossip::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1::A S-confused1: