Kwenu mlio Nyumba Ndogo, zingatieni haya kwa uhusiano endelevu

nimeikumbuka thread ya lara 1 juu ya ndoa na unafiki uliomo

walimponda lakini alikua right

ankal Kaizer..ile jagamaisa inakusubiri

halafu chama cha nyumba ndogo,mpango wa kando sitaki kuwemo asilani

halafu HHHK umepita hapa kweli?

karibuni kwenye mkesha wa mwaka mpya..bwana awe nanyi!
 
Last edited by a moderator:

Ntaifata tu usijali mwallu
 
Last edited by a moderator:
kuna jambo nimelipata hapa ngoja nilichukue kuna watu humu hamu semi ukweli kama ume note down kitu,ukweli umuweka mtu huru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…