ahahah me nikiona nyasi zinatikisika najua kuna joka laja hivo mapema natoka nduki sisubiri linikute hapo
mdomo wenyewe umekatika vipande, maziwa nitayanywaje mwenza?
Bado nawe likukute
Mchepuko sio dili wacheni usenge
Napita tu....nina ngeu usoni, mume wa mtu ni sumu.
senkyuuuu..... unaonaje ukiwa sehemu ya mchepuko wangu utakayefumaniwa na sinia endi eksipiriensdi mchepuko wangu??
Karibu saana....nipo kwa ajili yako mamaafacebook 😉
hapana nitamfundisha mwenyewe
cc mamaafacebook
asavali mana nimesumbuka kweli
Uko katikati ya peak....hahahah, utakuwa unawaza mbali sana.
Abiria nachunga mzigo wangu babu weeeee