Kwenu TISS, Napinga tukio alilofanya huyu askali wenu, wala siyo weledi na heshima

Kwenu TISS, Napinga tukio alilofanya huyu askali wenu, wala siyo weledi na heshima

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
 
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
Utaambiwa kwamba "Unajifanya unajua sana wewe"
 
Kikapu kilipaswa kukaguliwa mapema na yule mtoto angepekuliwa na kuandaliwa kabla ya shughuli, au yule dada alipaswa kupokea kikapu na kukusanya sadaka kuanzia mwanzo wa ukusanyaji.

Kilichofanyika pale ni ku rescue situation baada ya kuwa wamefanya makosa hayo. Haijaleta picha nzuri.
 
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
We laumu ujinga wako
 
Siyo taratibu mkuu. Kubali tu kuwa walikosea au walivurunda simple as that. Tumewsona Marais wote 5 waliopita wakiingia Kanisani na kutoa sadaka bila kuona tendo alilolifanya huyo askari.
Kilichokosewa ni kutokuandaa mtu wa kupokea sadaka kutoka ofisini, pengine ilikuwa ni hafla ya ghafla kwake, haikuwa kwenye ratiba
 
Back
Top Bottom