Kwenu TISS, Napinga tukio alilofanya huyu askali wenu, wala siyo weledi na heshima

Kwenu TISS, Napinga tukio alilofanya huyu askali wenu, wala siyo weledi na heshima

Ndio Dunia ilivyo haina huruma na mtu.
Dogo aliyenyang'anywa Kikapu akija kuwa mwanasiasa akiwa Mwizi tutapiga yowe.
Kumbe ameoneshewa dharau toka day one mbele ya wakuu wa Meza.
 
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
Askari
 
Binafsi nilijiuliza maswali mengi sana baada ya kuona ile video, ikiwemo kwanini wasingeandaa mtu wao mapema akakusanya kutokea mwanzo (viongozi wote) kukwepa ule mkanganyiko?
Wakati mwingine tukisema huo ni ujinga mkubwa kwa ulinzi wa mheshimiwa hatutakosea.

Ni kujishushia hadhi tu kuonyesha mambo ya ajabu kama hilo.
 
Hata wewe ukiwa Rais, utajua kwanini wamefanya vile... Ni taratibu tu za kawaida
Rais hajui chochote pale na hata yeye atakuwa kashangazwa japo hatuwezi kupata taarifa.

Elewa andiko, walinzi wa rais wana ratiba ya tukio lolote so, wanakuwepo eneo la tukio siku kadhaa nyuma na hata ratiba huwa wanaisimamia wao.
 
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
Weka kideo!!!
 
Binafsi nilijiuliza maswali mengi sana baada ya kuona ile video, ikiwemo kwanini wasingeandaa mtu wao mapema akakusanya kutokea mwanzo (viongozi wote) kukwepa ule mkanganyiko?
Zile ni mbwe mbwe tu ujue na wao wapo baas!

Kapu ni lile lile aliyebadilika ni mtu tu
 
Us
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?
 
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.

Yawezekana yule binti ni dhehebu tofauti na hajui utaratibu wa ibada wa madhehebu mengine au hata kuuliza tu japo yawezekana alipewa taarifa kufanya tukio lile.

Kwenye uhalisia wa kawaida kabisa na ikifahamika Mh. Rais atakuwa eneo fulani, huwa ni lazima security channel inafika mapema week au siku kadhaa kabla ya tukio ili kuweka mambo sawa.

Hiyo ni pamoja na kupewa na kufaham ithibati ya eneo husika kujipanga na kutake off ratiba ya tukio.

Sasa siku hiyo sijui mlikurupuka kutoka wapi au hamkujua ratiba ya kutoa sadaka ingefanyika au viongozi wa kanisa walishtukiza?.
-Sina hakika sana na hilo ila bado nasimamia titled yangu, NAPINGA TUKIO ALILOFANYA ASKALI WENU.

Kwenye kurudia namuona waziri mkuu kapitishiwa kikapu na askali wake wakifuatilia je, waziri mkuu hana nguvu kwa mustakabali wa nchi, kwamba hakidhurika haina maana yoyote?.

Je, walinzi hawakupewa taarifa ya utoaji wa sadaka na kujua kikapu gani kitatumika ili wakikague na wale mbwa wao?.
Hilo tukio linaleta nadharia mbili.au tatu;-

1.Ibadani hasa kwenye hizi dini kubwa sio salama Kwa viongozi wakubwa was nchi!

2.Viongozi ni waovu Hadi wanahisi Kuna maadui Hadi nyumba ya ibada!mtu mwema hawezi kufikiri anaweza tegewa sumu ibadani!!!

3.Mheshimiwa Raise hayupo salama tena,yaani Hana usalama was kiimani Toka Kwa watu wanaomzunguka na watz Kwa ujumla,yaani Kuna uadui was chini chini Hadi anaishi Kwa hofu kuu!!

Nimekumbuka enzi zile aligoma kunywa juice akamnywesha mwenyeji wake!!
 
Back
Top Bottom