Kwenu TISS, Napinga tukio alilofanya huyu askali wenu, wala siyo weledi na heshima

Kwenu TISS, Napinga tukio alilofanya huyu askali wenu, wala siyo weledi na heshima

Hilo tukio linaleta nadharia mbili.au tatu;-

1.Ibadani hasa kwenye hizi dini kubwa sio salama Kwa viongozi wakubwa was nchi!

2.Viongozi ni waovu Hadi wanahisi Kuna maadui Hadi nyumba ya ibada!mtu mwema hawezi kufikiri anaweza tegewa sumu ibadani!!!

3.Mheshimiwa Raise hayupo salama tena,yaani Hana usalama was kiimani Toka Kwa watu wanaomzunguka na watz Kwa ujumla,yaani Kuna uadui was chini chini Hadi anaishi Kwa hofu kuu!!

Nimekumbuka enzi zile aligoma kunywa juice akamnywesha mwenyeji wake!!
mbona mie sioni tataizo lolote kabisa hapo, imani haba na negativity ni kitu mbaya sana aise :4weirdW:
 
Hakuna shida yoyote hapo,Jukwaa lilikuwakutanisha wanaisasa na Viongozi wa dini katika Kumbukizi ya Mwanasiasa.
Ni sahihi kwani sadaka ni sehemu shukrani na wala sio kama sehemu ya ukuu baina ya mamlaka hizo mbili.
Mbona hamshangazwi na tukio la mojawapo ya Viongozi wa dini kupokelewa na Mwanasiasa na mwingine kufumfuata Mwanasiasa Ofisini???
 
Binafsi nilijiuliza maswali mengi sana baada ya kuona ile video, ikiwemo kwanini wasingeandaa mtu wao mapema akakusanya kutokea mwanzo (viongozi wote) kukwepa ule mkanganyiko?
hawakujiandaa, na ni mbaya sana. mtu wa protokali hakujua kama anatakiwa kufanya hivyo, walitakiwa kuandaa mtu wao kuanzia mwimba kwaya, hadi mshika kikapu cha sadaka, ili wasilete picha mbaya. mimi ningekuwa mchungaji mtu akaja kwangu akanitawala vile ningeona bora asingekuja kabisa, kwanza sio lazima aje, aende hukohuko na mapolisi wake. hata hivyo, naamini wamejifunza na yule aliyepora kapu la sadaka ameshapewa hongera kwa mba alikuwa makini na ni mlinzi bora. ndicho alichokuwa anatafuta. ila watz wamebaki na clip yake.
 
Mbona jiwe kuna wakati alichukua kikapu akawa anakusanya sadaka mwenyewe kabisa??
 
Na nyie mumezidi kikapu cha sadaka mnapeleka hadi kwa raisi utafutaji hela gani huo?
 
Mbona jiwe kuna wakati alichukua kikapu akawa anakusanya sadaka mwenyewe kabisa??
Hayo maamuzi yake .Lakini kupeleka kapu pale sio sawa lavda mwenyewe artiste au wasaidixi wake
 
Not an issue je baada kikapu kupokwa dogo alirudihswa nyuma au alikisubiri au aliondolewa pale nafikiri ilitakiwa usharp
 
Nimerudia mara kadhaa kuangalia kwa umakini tukio lilitokea kwa yule binti ambaye ni afisa usalama kwenye convoy ya Mh. Rais akimpoka kikapu shemasi wa zamu pale kanisani.
Hapo bold kwa mujibu wa kanisa katoliki wanaitwa wasimamizi wa misa/ibada na sio shemasi.
 
Back
Top Bottom