Pre GE2025 Kwenu wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA kwa uchaguzi ndani ya chama , ole wenu

Pre GE2025 Kwenu wajumbe wa Mkutano Mkuu CHADEMA kwa uchaguzi ndani ya chama , ole wenu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Wakuu JF amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yenu ,popote mlipo ,niwatakie kheli ya mwaka mpya popote mlipo.

Husika na mada tajwa hapo juu.

Kuleni pesa ikitokea mtu kajipendekeza kwenu na vijisenti vyake ila kumbuka mmetumwa na wanachama ambao wamewapa dhamana kubwa ya kiuongozi maana sio kweli kila mwanachama atakua kiongozi ndani ya Chadema.

Sasa kama sie ndo tuliowachagua , ole wenu msilete hitaji la Umma na mbadala wake bakini huko , iwe ni Dodoma au Dar ,ni lazima sikiliza sie wenye chama nini tunataka maana sie ndo maboss wenu kama wananchi na wanachama wenzenu.

Kama mjumbe ukiona ipo pesa inajichanganya tafuna iyo maana ni kodi yako ila jua cha kufanya kwenye sanduku la kura ,hushikiwi mtutu wa bunduki kwa hilo wakuu.

Ni matumaini yangu kama mlichaguliwa na watu makini basi pia nanyi ni watu makini.

Hii chama ipo na gharama nyingi za watu msilete mchezo ,mkileta mchezo mtatafunwa na laana hii vizazi na vizazi vyenu .

Hichi chama kwa sasa ni cha umma, sio cha Mbowe ,lissu, Mnyika, MMM, Boni yai, Yeriko ,Nyerere n.k ,bali ni cha umma ,so anae dhani bado yupo na fikra potofu juu ya chama hichi nani mmiliki ,akae pembeni , tutabanana humu humu.

Mungu awatangulie wajumbe ,na ilishakua
 
Kama Bado Mnataka kuendelea kuwa Pazia la Majani Basi Mbakisheni MR ZERO
Nawaeleza kweli
Majani Furaha yao Ni MR DJ kuendelea kuwepo Hapo.
Lakini mkimchagua Cha Ufipi (Mbilikimo)
Mtawapa Majani Jasho kubwa
 
Kama Bado Mnataka kuendelea kuwa Pazia la Majani Basi Mbakisheni MR ZERO
Nawaeleza kweli
Majani Furaha yao Ni MR DJ kuendelea kuwepo Hapo.
Lakini mkimchagua Cha Ufipi (Mbilikimo)
Mtawapa Majani Jasho kubwa
Omolo anatosha
 
Wakuu JF amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yenu ,popote mlipo ,niwatakie kheli ya mwaka mpya popote mlipo.

Husika na mada tajwa hapo juu.

Kuleni pesa ikitokea mtu kajipendekeza kwenu na vijisenti vyake ila kumbuka mmetumwa na wanachama ambao wamewapa dhamana kubwa ya kiuongozi maana sio kweli kila mwanachama atakua kiongozi ndani ya Chadema.

Sasa kama sie ndo tuliowachagua , ole wenu msilete hitaji la Umma na mbadala wake bakini huko , iwe ni Dodoma au Dar ,ni lazima sikiliza sie wenye chama nini tunataka maana sie ndo maboss wenu kama wananchi na wanachama wenzenu.

Kama mjumbe ukiona ipo pesa inajichanganya tafuna iyo maana ni kodi yako ila jua cha kufanya kwenye sanduku la kura ,hushikiwi mtutu wa bunduki kwa hilo wakuu.

Ni matumaini yangu kama mlichaguliwa na watu makini basi pia nanyi ni watu makini.

Hii chama ipo na gharama nyingi za watu msilete mchezo ,mkileta mchezo mtatafunwa na laana hii vizazi na vizazi vyenu .

Hichi chama kwa sasa ni cha umma, sio cha Mbowe ,lissu, Mnyika, MMM, Boni yai, Yeriko ,Nyerere n.k ,bali ni cha umma ,so anae dhani bado yupo na fikra potofu juu ya chama hichi nani mmiliki ,akae pembeni , tutabanana humu humu.

Mungu awatangulie wajumbe ,na ilishakua
kwa niaba ya umma wa wanachadema nchi nzima,

wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, ni muhimu sana mkamkataa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi kwa uwazi mchana kweupe, ili iwe fundisho kwa wenye tabia za kutuletea ukoloni mamboleao Tanzania kwa maslahi yao binafsi na familia zao :pulpTRAVOLTA:
 
Wajumbe wana wajibu wa kuhitimisha umwinyi na utawala wa kifalme kwenye chama.
Wajumbe ole wao wajichanganye , ikumbukwe hata leo kila mjumbe angepewa V8 ,bado ni takataka mbele ya utu wa mjumbe mwenye , cha kufanya analichukua na kesho yake analipiga mnada ,na kama ni ngum unalikata screpa ,binadam au utu wa mtu haulinganishwe na chochote kile ,wajumbe fulaisheni umma ,mtapokewa kama wafalme
 
Wakuu JF amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yenu ,popote mlipo ,niwatakie kheli ya mwaka mpya popote mlipo.

Husika na mada tajwa hapo juu.

Kuleni pesa ikitokea mtu kajipendekeza kwenu na vijisenti vyake ila kumbuka mmetumwa na wanachama ambao wamewapa dhamana kubwa ya kiuongozi maana sio kweli kila mwanachama atakua kiongozi ndani ya Chadema.

Sasa kama sie ndo tuliowachagua , ole wenu msilete hitaji la Umma na mbadala wake bakini huko , iwe ni Dodoma au Dar ,ni lazima sikiliza sie wenye chama nini tunataka maana sie ndo maboss wenu kama wananchi na wanachama wenzenu.

Kama mjumbe ukiona ipo pesa inajichanganya tafuna iyo maana ni kodi yako ila jua cha kufanya kwenye sanduku la kura ,hushikiwi mtutu wa bunduki kwa hilo wakuu.

Ni matumaini yangu kama mlichaguliwa na watu makini basi pia nanyi ni watu makini.

Hii chama ipo na gharama nyingi za watu msilete mchezo ,mkileta mchezo mtatafunwa na laana hii vizazi na vizazi vyenu .

Hichi chama kwa sasa ni cha umma, sio cha Mbowe ,lissu, Mnyika, MMM, Boni yai, Yeriko ,Nyerere n.k ,bali ni cha umma ,so anae dhani bado yupo na fikra potofu juu ya chama hichi nani mmiliki ,akae pembeni , tutabanana humu humu.

Mungu awatangulie wajumbe ,na ilishakua
Hili ni dua la kuku!!
 
Hili ni dua la kuku!!
Hili ni dua la kuku!!
Hujui dunia , waijua chadema kisa kimbelembele , mzee Mtei ndo yahijua hii chama wala sio Mbowe ,akipigwa kelele hatutaki , na atapogwa kweli ,na ijulikane mie sio mjumbe ,ole Wao wakalete ujinga ,wabaki huko, watakaa na waume zao au wake zao tutawafurahisha ,wasiache Pesa ,watakua wapumbabu ,wale maana ni kodi zao ,ccm si mmeshusha mabasi yenu mtajua hamjui ,pumbavu
 
Wakuu JF amani ya Bwana ikawe juu yenu kila mmoja kwa imani yenu ,popote mlipo ,niwatakie kheli ya mwaka mpya popote mlipo.

Husika na mada tajwa hapo juu.

Kuleni pesa ikitokea mtu kajipendekeza kwenu na vijisenti vyake ila kumbuka mmetumwa na wanachama ambao wamewapa dhamana kubwa ya kiuongozi maana sio kweli kila mwanachama atakua kiongozi ndani ya Chadema.

Sasa kama sie ndo tuliowachagua , ole wenu msilete hitaji la Umma na mbadala wake bakini huko , iwe ni Dodoma au Dar ,ni lazima sikiliza sie wenye chama nini tunataka maana sie ndo maboss wenu kama wananchi na wanachama wenzenu.

Kama mjumbe ukiona ipo pesa inajichanganya tafuna iyo maana ni kodi yako ila jua cha kufanya kwenye sanduku la kura ,hushikiwi mtutu wa bunduki kwa hilo wakuu.

Ni matumaini yangu kama mlichaguliwa na watu makini basi pia nanyi ni watu makini.

Hii chama ipo na gharama nyingi za watu msilete mchezo ,mkileta mchezo mtatafunwa na laana hii vizazi na vizazi vyenu .

Hichi chama kwa sasa ni cha umma, sio cha Mbowe ,lissu, Mnyika, MMM, Boni yai, Yeriko ,Nyerere n.k ,bali ni cha umma ,so anae dhani bado yupo na fikra potofu juu ya chama hichi nani mmiliki ,akae pembeni , tutabanana humu humu.

Mungu awatangulie wajumbe ,na ilishakua
✍️Mbowe✔️
 
✍️Mbowe✔️
Vyovyote vile , Mbowe chama kinamuhitaji na vilevile lissu , kama team lissu ,tuletee lisu kama tulivyo watuma ,

Na awe makini kama wapo wajinga wanamtumia ,mapema kabisa tutamkataa , chadema sio mali ya lissu au Mbowe hatukimbii ila tutabanana hum hum
 
Vyovyote vile , Mbowe chama kinamuhitaji na vilevile lissu , kama team lissu ,tuletee lisu kama tulivyo watuma ,

Na awe makini kama wapo wajinga wanamtumia ,mapema kabisa tutamkataa , chadema sio mali ya lissu au Mbowe hatukimbii ila tutabanana hum hum
TAL❌
 
Atapigwa mbowe mpaka aseme Askofu yule alie mpa V8 aseme yesu ni Bwana Mungu mwema sana
 
Kuna mtaalam mmoja kwenue tv alisema Lissu kazichanga karata kisomi na kwa fahadhari, alituhafhaa uma kwamba anagombea umakamu, watu wakajisahau, mwishoni anajitoa na kwenda juu, yaani kavuruga kabisa mipango. Sasa ndio hivyo wajumbe wanatishwa ole wasirudi na matokeo wayatakayo wanachama. Hatari sana.
 
Katika muktadha wa uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema Taifa, wajumbe wa mkutano mkuu wanakabiliwa na maamuzi muhimu yanayoweza kuathiri mustakabali wa chama hiki. Hivi karibuni, kumekuwa na mjadala mzito kuhusu aina ya kiongozi anayefaa kuongoza chama katika kipindi hiki cha changamoto. Wajumbe wanahitaji mgombea ambaye ni mwasiasa, si mwanaharakati, ili kuweza kuimarisha siasa za chama na kukabiliana na matatizo ya kisiasa yanayolikabili taifa.

Wakati wa uchaguzi huu, ni muhimu kuelewa tofauti kati ya mwanasiasa na mwanaharakati. Mwanasiasa anajitahidi kutafuta mbinu na mikakati ya kisiasa inayoweza kuleta mabadiliko chanya katika jamii, huku akitafuta njia za kushirikiana na wadau mbalimbali katika uwanja wa siasa. Kwa upande mwingine, mwanaharakati anajikita zaidi katika harakati za ukombozi, akilenga kuleta mabadiliko kupitia mapambano ya moja kwa moja dhidi ya mfumo uliopo. Hii ni tofauti kubwa ambayo wajumbe wa mkutano wanapaswa kuzingatia katika uchaguzi wao.

Tukichunguza majina mawili yanayojitokeza katika uchaguzi huu, Tundu Lissu na Freeman Mbowe, ni wazi kwamba kila mmoja anawakilisha aina tofauti ya uongozi. Lissu amejijengea sifa ya kuwa mwanaharakati mwenye msimamo thabiti katika masuala ya haki za binadamu na demokrasia. Hata hivyo, siasa za mwanaharakati mara nyingi zinaweza kuonekana kama za kukabiliana na mfumo, badala ya kujaribu kuujenga na kuuboresha. Wakati huu, wanachama wa Chadema wanahitaji mtu ambaye anaweza kuhamasisha umoja na ushirikiano, si mtu anayepigana vita vya kisiasa pekee.

Katika upande wa Mbowe, yeye anajulikana kama mwanasiasa mwenye uzoefu wa muda mrefu katika siasa za Tanzania. Mbowe anajua jinsi ya kuendesha siasa na kuujenga chama katika mazingira magumu. Kuweka kando tofauti za kisiasa, Mbowe anaweza kuwa kiongozi ambaye anaweza kuleta umoja na kuelekeza chama katika njia sahihi ya kisiasa. Katika wakati wa mgawanyiko na changamoto za kisiasa, ni muhimu kuwa na kiongozi ambaye anaweza kuleta ushirikiano na kuelekeza juhudi za chama katika kujenga mustakabali bora.

Wajumbe wa mkutano mkuu wanapaswa kuelewa kwamba wakati huu wa uchaguzi, siasa zinazohitajika ni zile zinazoweza kuleta maendeleo kwa chama na kwa jamii nzima. Wanachama wanahitaji siasa zinazoweza kuleta mafanikio na siasa ambazo zinaweza kuimarisha ushawishi wa chama katika jamii. Kiongozi anayejikita katika siasa atakuwa na uwezo wa kujenga na kudumisha uhusiano mzuri na wadau mbalimbali, ikiwa ni pamoja na serikali, mashirika yasiyo ya kiserikali, na jamii kwa ujumla.

Aidha, ni muhimu kufahamu kwamba siasa si tu kuhusu kushinda uchaguzi, bali pia ni kuhusu kujenga mazingira bora ya kuishi na kufanya kazi. Wanachama wanahitaji kiongozi ambaye ataweza kuangalia maslahi ya chama kwa ujumla, badala ya kujikita katika masuala binafsi au ya kikundi fulani. Mbowe, akiwa na uzoefu wa kisiasa, anaweza kuwa na uwezo wa kujenga mazingira hayo na kuimarisha nafasi ya chama katika siasa za nchi.

Katika hali hii, wajumbe wa mkutano wanapaswa kuzingatia umuhimu wa kuwa na kiongozi ambaye ataweza kuhimiza siasa za maendeleo, badala ya siasa za ukombozi pekee. Wanachama wanahitaji mtu ambaye ataweza kubuni mikakati ya kisiasa itakayowezesha chama kuendelea kuwa na mvuto katika jamii na kuongeza ushawishi wake katika masuala ya kitaifa. Hii itasaidia Chadema kuwa na nafasi imara katika siasa za Tanzania na kuweza kushiriki katika maamuzi yanayohusu mustakabali wa nchi.

Kwa kumalizia, wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema wanahitaji kufikiria kwa makini kuhusu uchaguzi wa mwenyekiti. Wanahitaji kiongozi ambaye ni mwasiasa, sio mwanaharakati, ili kuweza kuimarisha siasa za chama na kukabiliana na changamoto za kisiasa.

Wakati huu, Mbowe anaonekana kuwa na uwezo wa kuleta mabadiliko chanya na kujenga umoja katika chama, wakati Lissu anahitaji kuzingatia zaidi harakati za ukombozi. Chaguo sahihi litasaidia Chadema kuendelea kuimarika na kuwa na sauti yenye nguvu katika siasa za Tanzania.
 
Hujui dunia , waijua chadema kisa kimbelembele , mzee Mtei ndo yahijua hii chama wala sio Mbowe ,akipigwa kelele hatutaki , na atapogwa kweli ,na ijulikane mie sio mjumbe ,ole Wao wakalete ujinga ,wabaki huko, watakaa na waume zao au wake zao tutawafurahisha ,wasiache Pesa ,watakua wapumbabu ,wale maana ni kodi zao ,ccm si mmeshusha mabasi yenu mtajua hamjui ,pumbavu
Ahahahahaha! Unaendeleza dua la kuku! Utwotumkwara mbuzi labda kama unampiga babaako! Ahahahahaha!!
 
Back
Top Bottom