Kwenu wanafunzi wa form 4 na wazazi, Form 5 na 6 ilishapitwa na wakati.Ni vizuri kuanza chuo mapema baada ya form 4 na hupanua zaidi goli la ajira

kikubwa kujua ENGLISH, COMMUNICATION SKILLS NA NEGOTIATION SKILLS baaassiiiii
 
Una smartphone jaribu na wewe kuwa smart kidogo.

Ingia google sechi haya maneno >> high school diploma jobs in us

Utaziona kazi wanazohitajika wenye elimu husika

mifano: https://www.indeed.com/q-high-school-diploma-jobs.html?vjk=d61c27ec482e727c
M NATAKA KUJUA UKO KWNY HIGH SCHOOL DIPLOMA WANASOMA MASOMO GANI? KUHUSU KAZ N KWASABABU WAO WANACHANGANYA NA FANI NYINGNE MASOMO YAO KAMA HUU MTAALA MPYA WA ELMU NA PESA KWAO SIO TATZO, LAKN UJUE HAKUNA UNESI, UFAMASIA WALA SHERIA WANAFUNDISHWA UKO N YALEYALE WANAOSOMA ADVANCE UKU NAWAO WANASOMA PAMOJA NA FANI NA UFUND MBALMBAL
 
Form six ni ya muhimu sana,ukitoka form 4 kwenda chuo unaitwa una elimu ya kuunga unga na ukitaka kwenda chuo kikuu kuna baadhi ya vyuo vikubwa vinakukataa
Kuna chuo kikubwq kuliko UDSM? Kama UD unakubalika nani mwingine akupinge?

Halafu futa kauli ya kusema elimu ya kuunga unga. Ukitoka Diploma tayari unakuwa uanelewa nini unasomea. Nzuri zaidi unaingiza pesa huku unasoma.
 
Nilisha sema hapa kuwa form 5 na 6 ni saikolojiki effect ya kuvunja moyo wanafunzi wasisome kwa bidii form 4 ...mfumo wa kenya ni bora mara 100 wa watanzania elimu ya msingi iwe hadi form 2 hapo tunaongeza mwaka mmoja primary yaani miaka 8 ya primary mtoto atoke na elimu ya form 2 kisha secondary miaka 4 kisha chuo
 
Form 5 na 6 ya bongo ni ya kikoloni ya miaka haina taaluma yoyote ile, haina kazi yoyote.

Kenya walifuta hizo 5 na 6, ukimaliza form 4 tayari ni high school na wameelimika zaidi, mbali mno.
Ndio maana nasema kuna haja ya kureview mfumo mzima maana umezalisha kondoo wa kutosha sasa tuunde mfumo mpya tuzalishe binadamu wenye impact, ubunifu na uwezo wa kutawala na kuboresha mazingira yao! Sio wanaamini hamna maisha bila uchawa na usanii! Kila nyanja inataka watu wa kuiboresha na kuendeleza sio kutazama shortcuts km kufuta elimu fulani! Nimesema sana elimu ya kimagharibi haijasaidia Tanzania na kuona huhitaji pesa nyingi kufanya reseaech ni kutazama tu sample ya wasomi chawa na wanasayansi wetu wakubwa wanavyosubiri uteuzi na hawana impact kwnye global body of knowledge na jinsi wqnavyoishi kwa kusifia wanasiasa!

Tuna maprofesa chungu nzima wasio na filosofia unajiuliza kwa nn wamepoteza miaka yao shule then wanaamini mambo yao hayaendi bila uchawi! Yani hawaamini kwenye elimu waliyosomea na kufundisha miaka na miaka, unajiuliza sasa prof wa namna hii nimpe mtoto wangu atamfundisha nini, matokeo yake ni vijana waliojaa mtaani hata kuandika cv au application letter za kuomba kazi tu hawajui.

Wakati nchi zilizoendelea mtu anayesomea Masters anategemewa kuanzisha ajira, wa Tz anamaliza anakuja JF kuomba connection za kina mwashamba, unajiuliza thesis yake ilikuwa ya nini na anashindwaje kufanya projects kutokana na thesis yake, so kafanya research study kaiandika ili apate cheti kama form 4 then what?. Tunaishi kinyumenyume, wanaotakiwa kuanzisha ajira wao pia wanataka ajira! Maajabu haya yapo Tanzania tu. Hata nchi zingine za weusi hazipo hivi

By the way projects kubwa za social na sciences kwa walioendelea zilianzia vyuoni, na school dropouts waliofanya makubwa walitengeneza projects zao wangali wanasoma, hawakudrop ndio wakaanze kufanya mambo, ndoto zao zilianzia high schools na vyuoni.
 

Hata wakifuta form 5-6 bila kuboresha contents za tunachofundisha tutabaki hivihivi tutapunguza umri wa vijana kugraduate tu na hakutakuwa na impact yoyote!
 
Kuna chuo kikubwq kuliko UDSM? Kama UD unakubalika nani mwingine akupinge?

Halafu futa kauli ya kusema elimu ya kuunga unga. Ukitoka Diploma tayari unakuwa uanelewa nini unasomea. Nzuri zaidi unaingiza pesa huku unasoma.
Hao hao udsm wabaguzi kishenzi siku hz
 
Hata wakifuta form 5-6 bila kuboresha contents za tunachofundisha tutabaki hivihivi tutapunguza umri wa vijana kugraduate tu na hakutakuwa na impact yoyote!
Ndiyo maana nasema elimu ya msingi iboreshwe iwe miaka 8 mtoto atoke na elimu ya form 2 yaani ndani ya elimu ya msingi kuwe
Primary 6 years + 2yr secondary form 2=8yrs wanafunzi wa primary wakimaliza na elimu ya kidato cha pili wanaweza kuajilika au kwenda vyuo vya ujuzi mbalimbali ...yaani darasa la 7 liwe form one na darasa la 8 liwe form 2
 
Kwani ukiipiga diploma then ukaunga degree?
 
Kwamba ukiweza kuandika sentesi kwa kiingreza ndio msomi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…