Kwenu Wanaume mnaopigwa na wake zenu. Hii ni fedheha mnajiabisha

Kwenu Wanaume mnaopigwa na wake zenu. Hii ni fedheha mnajiabisha

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Japo sio rahisi kusema lkn wapo wanaume wengi sana wanopokea kipigo kutoka Kwa wake zao.

Kwa macho yangu shangazi yangu alikuwa anakung'uta vilivyo mmewe.

Siku akiliazisha Hadi alikuwa anakimbia na kwenda kujificha kabisa.

Kuna mama mwingine alikuwa muuza gongo (pombe) akasikia fununu Kwa walevi kuwa mmewe ana Mla kimasiahara msimbe mmoja (single mother/mwanamke aliyeachika Kwa mmewe).

Basi muda sio mrefu jamaa akawa amefika hapo kijiweni alipokea kipondo hadharani na akadharaulika sana hapo kijijini.

Shangazi yeye alijua ufalme ni wake siku zote kumbe kadiri anavyozeeka na nguvu Zina muisha.

Siku Tena alilianzisha akijua ndo zilezile zama zake kumbe zama zimebadirika kitambo.

Jamaa alimpiga kama Ngoma huku akiji mwambafai kuwa nilikuwa nimekuangalia tu Kwa kipindi kirefu sana😂😂

Hadi naleta kisa hiki kwenye Saba Saba tu hii Tena jamaa kapokea
Mkong'oto wa maana mbele yetu.

Huku akituomba msaada kuwa tumsaidie maana Hali ni mbaya kama amepigwa Hivi kitaa vipi akifika kwakwe yamkini atapigwa kama dufu.

Japo inachekesha ama kufurahisha lkn ni aibu na fedheha kubwa Kwa mwanaume kupigwa na mke wako!

Kwakweli thamani Yako inakosekana kabisa asee.

Umewahi ona mwanaume anapigwa na mke wake?
 
451267066_1055332356363045_7693323595018980413_n.jpg
 
Japo sio rahisi kusema lkn wapo wanaume wengi sana wanopokea kipigo kutoka Kwa wake zao.

Kwa macho yangu shangazi yangu alikuwa anakung'uta vilivyo mmewe.

Siku akiliazisha Hadi alikuwa anakimbia na kwenda kujificha kabisa.

Kuna mama mwingine alikuwa muuza gongo (pombe) akasikia fununu Kwa walevi kuwa mmewe ana Mla kimasiahara msimbe mmoja (single mother/mwanamke aliyeachika Kwa mmewe).

Basi muda sio mrefu jamaa akawa amefika hapo kijiweni alipokea kipondo hadharani na akadharaulika sana hapo kijijini.

Shangazi yeye alijua ufalme ni wake siku zote kumbe kadiri anavyozeeka na nguvu Zina muisha.

Siku Tena alilianzisha akijua ndo zilezile zama zake kumbe zama zimebadirika kitambo.

Jamaa alimpiga kama Ngoma huku akiji mwambafai kuwa nilikuwa nimekuangalia tu Kwa kipindi kirefu sana😂😂

Hadi naleta kisa hiki kwenye Saba Saba tu hii Tena jamaa kapokea
Mkong'oto wa maana mbele yetu.

Huku akituomba msaada kuwa tumsaidie maana Hali ni mbaya kama amepigwa Hivi kitaa vipi akifika kwakwe yamkini atapigwa kama dufu.

Japo inachekesha ama kufurahisha lkn ni aibu na fedheha kubwa Kwa mwanaume kupigwa na mke wako!

Kwakweli thamani Yako inakosekana kabisa asee.

Umewahi ona mwanaume anapigwa na mke wake?
wewe kuweza??

Yaan upigwe afu utangazeeeee, NO
 
Back
Top Bottom