kipindi nipo mdogo kuna jamaa mmoja alikuwa jirani na nyumbani... haipiti siku 3 au 4 nasikia kichapo kinatembea... ila alikuwa anapiga kelele yeye huku anasema JAMANII EEEHHH NAUA HUKU! lakini nikitafakari kwa kina, nahisi kabisa zile kelele za maumivu na kama anaua mbona mke wake apigi kelele? aaahhh! siku zika zuka tena hizo kelele... kwenda kuchungulia jamaa anakula mikanda yeye na machozi huku yakimtoka... hahahahahahahahah!!! nikakumbuka nyimbo ya bushoke nikasema daaah! nikweli mume bwege huyu!!!! na anaweza msindikiza hata mke wake guest na kumsubiria nje akisubiri nje akiamini kuwa mule guest kaingia kuongea mambo ya business hahahahahah!