Kwenu Wanaume mnaopigwa na wake zenu. Hii ni fedheha mnajiabisha

Ndio maana huwa sidate na mifantom, wewe unakuta kijana mwembambaa ila anadem makalio hayoooo na mwili huo, hapo utachomoka vipi sasa maana akikulalia tu huna ujanja.
 
Sio mke tu ,demu mmoja nilikua nae yaani huitaji bouncer.
Iilipeleka mkono siku naona live vidume vi3 vinapigwa km ngoma.
Yaani ilikua akikufumania kipondo kinaanza kwa bartender,barmaid,meza,viti vinapata tabu.
Akigeuka akuvae mzee ushaanza na kijiji long time haupo..
Hapo unatafuta kambi ya ukimbizi popote kwenye nchi yako.
 
Mkuu kurudisha heshima ilipaswa achangiwe na wanaume hata wa5.
 
Ila mkuu Kuna wanawake wanapiga hujawahi one asee
Unapigwaje na mwanamke?Huna mbinu kabisa na akili za ziada?Mwanaume kupigwa na mwanamke ni zaidi ya kuwa mateka maishani.Kwa akili ya kawaida,unapaswa kumjua unayetaka kumuoa/kuwa na uhusiano naye pale tu unapomuona kwa mara ya kwanza. Umzidi hadi akili na kila kitu.
 
Ni sawa usemavyo lakini kwenye mkong'oto unapigwa tu
 
Anayepigwa na mke anajitakia mwenyewe shubamiti!
Wapo, ila hao siyo wanaume kabisa, wamulikwe, waorodheshwe tuwapeleke jando kabisa😡😡😡😡😡
 
Kwa visa nilivyosema nimeona Kwa macho yangu! Wengine wananzidi umri mfano wa yule shangazi. Lkn wengine Bado vijana na wanapigika Hadi nakuwa najiuliza kama wewe inawezekana vipi mwanamke anipige halafu mbele ya wanaume wezangu!?
Kwa umri huu yalishapita hayo.Hakuna mwanamke (awe mke au mpenzi)wa kuweza kunidunda.Atakula mfueni mpaka aimbe haleluya!Kuna mambo ya utani lakini siyo mwanamke kuthubutu kuniinulia mkono wake.
 
Anayepigwa na mke anajitakia mwenyewe shubamiti!
Wapo, ila hao siyo wanaume kabisa, wamulikwe, waorodheshwe tuwapeleke jando kabisa😡😡😡😡😡
Watengenezewe wodi kabisa kama sober houses.Ni kushindwa kujisimamia kimamlaka.Sasa wakishapigwa sijui wanasemaje?Nisamehe dada?Sirudii tena mke wangu?Au nihurumie mama Wakuru?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…