Kwenu Wanaume mnaopigwa na wake zenu. Hii ni fedheha mnajiabisha

Usikalili utakuja kukalishwa.
Hao wapuuzi inatakiwa hata wakienda kushtaki kwa mtendaji,mwenyekiti au dawati wapigwe viboko vingi sana vya shingoni.Wameshindwa kutafuta wa saizi yao wanaowamudu?Basi ni akili mdebwedo.
 

Attachments

  • Screenshot_20240721-061818.jpg
    376.6 KB · Views: 2
Your browser is not able to display this video.

Hakika mtawapata wa kufanana nao🤣🤣
 
Inaniuma sana mkuu....
 

Attachments

  • JamiiForums-1075771540.jpg
    66.2 KB · Views: 2
nakumbuka tukiwa wadogo, kila kitu ukionesha uzembe unaambiwa unashindwa hadi na msichana ....

Hivyo basi ikawa ni kesi ya jinai kwa mwanaume yoyote kupigwa na msichana maana ingeashiria udhaifu wa hali ya juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…