Kwenu Wanaume mnaozaa na michepuko

Kwenu Wanaume mnaozaa na michepuko

SIj
Hivi wewe mbona uko obsessed sana na whatever I post here?
Hivi huwa unasomaga kweli kinachoandikwa ? Hii ni story ya kweli inayohusu family flani na sio story yangu kama unavyolazimiza.
Uko stressed sana tafuta dawa ya tatizo lako kabla haijawa too late. Kwanza mhaya gani huna maisha?
Manyanza huyu vipi ?? Hebu mpatie nasaha za namna ya ku behave kiume.
Hii ni mental case I can't handle.
Mimi Sija limit kwenye Account yangu anaweza akaangalia baadhi ya thread nilizozianzisha zitamsaidia kupata utulivu wa akili na atapona kabisa. Vipi uko poa My Adorable Sister?
 
Side chick hazalishwi
Unafikiri tunapenda?
Mnapoanza mahusiano na mchepuko ndom huwa zinatumika, lakini mbeleni huko baada ya kuzoweana ukiongeza na pombe na maneno matam ya mchepuko, unajikuta umeingia nyama nyama. Na mchepuko anakutegeshea siku zile anajoto.
Michepuko nayo inahitaji kuzaa. Mtoto Ni bima uzeeni.
 
Hata kama mwanaume alikosea kuzaa nje, hapaswi kuwa dhaifu kiasi hicho mbele ya mkewe halali mpaka mwanae anyanyapaliwe ndanj ya nyumba yake na yeye akiwa humo..au huyo mwanaume hakai hapo nyumbani na hamwoni huyo mtoto???

Huyo baba ndio mshenzi.Na huu ni wito kwa wanaume wote, mwanamke hapaswi kukupanda kichwani..watiisheni wake zenu by hooks n crocks.Haya mambo ya kuleta uzungu kujifanya unamsikiliza sana mkeo na kumuogopa kisa na ya yeye ana sehemu katika maendeleo yenu ni upumbavu uliopitiliza.

Ishi na mwana.ke kwa akili ..asivuke mstari wa kupora mamlaka yako ndani ya nyuma...haijalishi NI KWEL NIMEKOSEA KWA KUZAA NJE..SI TUYAMALIZE TU mwache dogo a enjoy baba ake nina uwezo!?
 
SIj

Mimi Sija limit kwenye Account yangu anaweza akaangalia baadhi ya thread nilizozianzisha zitamsaidia kupata utulivu wa akili na atapona kabisa. Vipi uko poa My Adorable Sister?
Nko poa
Ila nko home kwenu
 
Huyo mwanaume nae mjinga kama ana uwezo si angekua anamhudumia mwenye hata kama yupo busy kiasi gani hawezi shindwa kumnunulia nguo na kutafuta mtu wa kumpeleka saluni na hospital.

Na tatizo michepuko ina dharau mno matokeo yake wanaoumia ni watoto
 
Halafu libaba lake liko smart hatarii lilishindwa kupeleka mwanae salon hata kunyoa au ndo alimuogopa mkewe? Shule gan huyu dogo anasoma na hizi nywele??
Na Mungu alivyo fundi katoto kanafanana na babake kuliko wale wa ndoa.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom