Kwenu Wanaume mnaozaa na michepuko

Kwenu Wanaume mnaozaa na michepuko

Yeah muongezewe tu watoto mpasuke kabisa. Unanyanyasaje mtoto under 6?
Sijasema tuwayanyase watoto madam, kamwe sitalikubali. Ila jua mtu aliyekuwa tayari kutoka nje ya ndoa yake, hajali chochote kile nikama msukule. Sasa wewe ambaye unakuwa upo na mawazo yenye akili bado unamfuata msukule ilihali ukiolewa hutaki mume wako afanye hayo. Huoni kuwa unajivisha uwendawazimu kwakujitakia maana mwenzako kashajiita mwendawazimu. Sasa ukiumia utamlaumu mwendawazimu😂😂😂
 
Hilo linatambulika lakin imekua too much mnawafanyia mpaka waliofiwa na mama zao, sio haki hata kama upendo hauwezi kulingana na mama mzazi kuna mambo sio vizuri kumfanyia mtoto wa mwanamke mwenzio.
Wenye roho mbaya wapo. Aliyefiwa na mama aje, ila kama mama yake yupo hai akija tusilaumiane kwa kweli.
Sitamtesa lakini nature itaamua. ..naweza nika.mpenda au nisimpenda itategemea na mambo mengi.
 
Wenye roho mbaya wapo. Aliyefiwa na mama aje, ila kama mama yake yupo hai akija tusilaumiane kwa kweli.
Sitamtesa lakini nature itaamua. ..naweza nika.mpenda au nisimpenda itategemea na mambo mengi.
Sawa Demi acha nature iamue
 
Sijasema tuwayanyase watoto madam, kamwe sitalikubali. Ila jua mtu aliyekuwa tayari kutoka nje ya ndoa yake, hajali chochote kile nikama msukule. Sasa wewe ambaye unakuwa upo na mawazo yenye akili bado unamfuata msukule ilihali ukiolewa hutaki mume wako afanye hayo. Huoni kuwa unajivisha uwendawazimu kwakujitakia maana mwenzako kashajiita mwendawazimu. Sasa ukiumia utamlaumu mwendawazimu😂😂😂
Hapo ni wendawazimu wawili wanatembea
 
Nionapo Uzi wowote wa manyanyaso kwa mtoto ambae hajui chochote kuhusu wazazi wake huwa nasononeka sana nafsini mwangu. Eeeh Mungu hebu simama na viumbe hao ambao wanateswa mateso wasiyostahili.
 
Hapo ni wendawazimu wawili wanatembea
😂😂😂 mmoja tu ndio full mwendawazimu mwingine majanga yakishamtokea uwendawazimu huisha ila huyu mwingine still hajali na ataenda kusababisha janga lingine nje maana yeye ni msaka starehe.
 
Nionapo Uzi wowote wa manyanyaso kwa mtoto ambae hajui chochote kuhusu wazazi wake huwa nasononeka sana nafsini mwangu. Eeeh Mungu hebu simama na viumbe hao ambao wanateswa mateso wasiyostahili.
Amen 😭
 
Unabomu halafu unataka kuanzisha mabomu mengine. Watanzania bwana[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo mtoto akibaki peke yake bila mtetezi atalipuka yeye.
 
Hii ndiyo point ya msingi
Unajua wanawake wa ktz wanapenda sana kuzaa sana Yaan yeye ni kuzaa tu ilimradi Kazaa watoto riziki itakuja mbele kwa mbele watoto wanaishia kuteseka
 
Back
Top Bottom