Kwenu Wanaume mnaozaa na michepuko

Kwenu Wanaume mnaozaa na michepuko

Unabomu halafu unataka kuanzisha mabomu mengine. Watanzania bwana[emoji23][emoji23][emoji23]
Yeah muongezewe tu watoto mpasuke kabisa. Unanyanyasaje mtoto under 6?
 
Watoto ni kundi la watu wanaoathirika zaidi na matatizo ya kuachana kwa wazazi,kupotea kwa mzazi (kufariki) au kuzaa nje ya ndoa.Mimi ni Mtu mwenye experience ya kuishi na Mama wa kambo, ninafahamu maswahibu yanayowapata watu wa aina yangu.kiufupi ni Wanawake wachache mno wataomlea mtoto wa nje ya ndoa kwa upendo kama wa kwake, wengi wataishia Katika ukatili na unyanyasaji.Pamoja na yote, Mungu amekuwa upande wangu siku zote,na Miaka yote.ila nimejifunza kitu,kimojawapo ni hiki Cha kuzaa na michepuko.Atayeathirika ni mtoto asiye na hatia.
 
😂😂🤣 sasa hiyo ni roho mbaya Demi, vipi kama mama yake alishatangulia mbele za haki je? Maana kuna wanawake wengine huwakuta watoto baada ya mama yao kufariki.
Kama mama.yake amefariki ni sawa aje. Sio roho mbaya bali ni nature tu ipo hivyo. Atakayempenda mwanao kiukweli ni mama yake tu..sie wengine tunaweza kumpenda lakini sio kivile. Mara nyingi ni kwa kujilazimisha mtambue hilo.
 
Maisha ni magumu sana ila michepuko wanamakusudi sana...kwakweli wanaume tunapitia mengi sana.
 
Ndo hivyo. Huwa wanawaheshimu waliowapa hiyo mimba hatari. Hawasumbui hata kidogo. Halafu kuna wale wanaambiwaga, solution ya tatizo lako ni kuzaa..!! Huyo weka masherti yoooteeee, lazima ategeshe
 
KUna aina tatu za michepuko;
1. Mchepuko vumbi
2. Mchepuko molamu
3. Mchepuko lami.

Huyo uliyemtaja hapo juu ni mchepuko vumbi. Tafuta mchepuko wenye lami
......tatizo linaanza lami ikishakaa muda mrefu inaanza kudevelope tabia za molamu, vumbi mwishowe tope ......kimsingi limchepuko unaanza nalo vizuri mnawekeana terms and conditions na linasaini vizuri tu, likikuzoea tu linabadili gia angani, ukitaka kulikabili tu linakuonesha cheti cha mimba tayari .........na ukisema uguse tumbo utaonalitoto tumboni linachezesha mguu kwa sifa......
 
Kama mama.yake amefariki ni sawa aje. Sio roho mbaya bali ni nature tu ipo hivyo. Atakayempenda mwanao kiukweli ni mama yake tu..sie wengine tunaweza kumpenda lakini sio kivile. Mara nyingi ni kwa kujilazimisha mtambue hilo.
Hilo linatambulika lakin imekua too much mnawafanyia mpaka waliofiwa na mama zao, sio haki hata kama upendo hauwezi kulingana na mama mzazi kuna mambo sio vizuri kumfanyia mtoto wa mwanamke mwenzio.
 
Usisahau nimesema mke mwenza na si mchepuko..!!
Mimi sio muislam kwahiyo siutambui uke wenza.. atakae zaa na mume wangu ni malaya lama malaya wengine.

Binafsi siwezi ruhusu mtoto wangu alelewe na mama mwingine. Nitalea mwenyewe hadi hapo atakapojitambua.
 
Kama mama.yake amefariki ni sawa aje. Sio roho mbaya bali ni nature tu ipo hivyo. Atakayempenda mwanao kiukweli ni mama yake tu..sie wengine tunaweza kumpenda lakini sio kivile. Mara nyingi ni kwa kujilazimisha mtambue hilo.
Kwani hiyo nature haiwezi kuwa ndiyo roho mbaya?
 
Kwangu inanipa shida kuwa na watoto nje ya ndoa yangu, najiuliza hawa watoto wataishi vipi! Namuomba sana Mwenyezi Mungu aweke rehema zake watoto wangu wasijekujuta kuzaliwa.
.....kama ni dhati ya moyo wako Mungu yu pamoja na wewe na kizazi chako kitabarikiwa......
 
Back
Top Bottom