goldcall
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 416
- 567
Tatizo utamu kolea
Usicheze na kitumbua mzee, muulizeni samson na Adam wa Eden
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo utamu kolea
Lift zinawaponzaWanawake waache kuzaa na waume za watu
Kuna wanawake hawapendi watoto wa kambo na ni waoga wakibaki kwa mama zao sababu wanahisi ni tiketi ya mawasiliano na mume. Kinachobaki ni kuchukua tiketi na kuhakikisha anaichana chana.Lakini kwani wanaume mkiwaacha hawa watoto kwa mama zao na mkawajibika mbona mtapata thawabu?
Si kila aliyezaliwa kulikuwa na mpango wa kumzaa..!! Iwe ndani au nje ya ndoa..!!Hivi mwanaume ushaoa, nje unaenda kuzaa ili iweje?
100%..!! Afu wakati mwingine, anakuwa na safari ya uelekea wa kushoto, wewe ukimwambia muende kulia, kisha utamrudisha kushoto, anakwenda. Au wengine, utakuta anaendesha Vogue lakini kwa lift ya kastaleti kako unangóa gomaLift zinawaponza
Kwa kweli wanawake wameumbwa kwa roho tofauti na wanaume na hilo lipo wazi kabisa tena ukitaka kujua roho ya mwanamke awe kashajifungua au ana watoto anabadilika kama roho mbaya ni kweupe anafanya...Ili kupunguza mawasiliano..!!
Sema kuna kitu sikielewei kwa wanawake.
1. Kwanini mama wa kambo wengi hutesa watoto?
2. Kwanini MARA NYINGI ugomvi unakuwa kati ya mama mkwe na mke wa mtoto, NA SI KWA BABA MKWE NA MUME WA MTOTO?
Naomba maelezo ya kina toka kwa Nakadori, Lenie, Bantu Lady, Detective J, Accumen Mo, Manyanza, Equation x etc
Hahaa hapo kweli atakua kazingua, Bora awe naye mapemaKama nimemkuta naye sawa...!! Uniletee mtoto mdogo kuliko wanangu..!!! Hiyo hatari
Mkuu sina cha kujibu maana akili yangu leo imechoka sana laini kuna thread nimeainzisha humu humu inaitwaIli kupunguza mawasiliano..!!
Sema kuna kitu sikielewei kwa wanawake.
1. Kwanini mama wa kambo wengi hutesa watoto?
2. Kwanini MARA NYINGI ugomvi unakuwa kati ya mama mkwe na mke wa mtoto, NA SI KWA BABA MKWE NA MUME WA MTOTO?
Naomba maelezo ya kina toka kwa Nakadori, Lenie, Bantu Lady, Detective J, Accumen Mo, Manyanza, Equation x etc
Na vigauni vyao vilivyo vifupi sasa paja lote nje mzee una m zoom tu kweli haifai100%..!! Afu wakati mwingine, anakuwa na safari ya uelekea wa kushoto, wewe ukimwambia muende kulia, kisha utamrudisha kushoto, anakwenda. Au wengine, utakuta anaendesha Vogue lakini kwa lift ya kastaleti kako unangóa goma
Kuna kubadilisha mbegu. Unao mtoto mkali, anazaa watoto wote ni vilaza tu. Hapo unaona unazika vipaji vyako, unaenda nje utafute wa kunusuru uzao wakoHivi mwanaume ushaoa, nje unaenda kuzaa ili iweje?
Mtoto hana kosa lakini akakae na mama yake, baba amuone akitaka. Akiletwa kwa mama wa kambo tunamfinya hadi atie akili.Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuishi na mtoto wa Mwanamke mwingine kwa upendo. Mtoto hana kosa eleweni hilo