Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kwa nini uache mbegu yako ichakae?Kama unayoongea unamaanisha basi una akili kiaina
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini uache mbegu yako ichakae?Kama unayoongea unamaanisha basi una akili kiaina
Na baada ya hapo ni kuanza kumkomesha.Mke si anampokea kwa sababu zake za wivu kwa mchepuko
Sio kuzaa tu bali waache kabisa kuwavulia chupi hao viumbeWanawake waache kuzaa na waume za watu
Kama siwezi kumvumilia mwanamke anayembagua housegirl nawezaje kumvumilia anayeibagua damu yangu. Mbona ntahama mimi na huyo mtoto na kwenda kusikojulikana.Hii ni point ya msingi sana
Wazae kama wana umwezo wa kuwasimamia watoto wao wenyewe iwe jua iwe mvua
Nakadori hili jibu limefunga mjadala wako... 🤐Wanawake waache kuzaa na waume za watu
....... true, direct and very clear comment, please class clap hands for her!!...ooh no kumbe hili sio darasa, sorry......Wanawake waache kuzaa na waume za watu
Usikute na yeye anaowalea si wakeHalafu libaba lake liko smart hatarii lilishindwa kupeleka mwanae salon hata kunyoa au ndo alimuogopa mkewe? Shule gan huyu dogo anasoma na hizi nywele??
Na Mungu alivyo fundi katoto kanafanana na babake kuliko wale wa ndoa.
Mbona nyeghe za ndani ya ndoa zimepelekwa nje?Itategemea vyanzo vya mapato ni vipi; si halali kutegemea mapato ya ndani ya ndoa, kuja kulisha huku nje; kinachotakiwa ni busara za pande mbili (me +ke) kuamua wafanyeje katika kuekeza kwa ajili ya huo uzao, bila kuathiri upande wa ndoa.
Kama nimemkuta naye sawa...!! Uniletee mtoto mdogo kuliko wanangu..!!! Hiyo hatariVipi nyie kuishi na mtoto wa mwanaume mwingine
Ili kupunguza mawasiliano..!!Mke si anampokea kwa sababu zake za wivu kwa mchepuko
We kuweza?Kosa liko pande zote
Msikojolee ndaniii