Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
- Thread starter
- #41
🤣🤣🤣🤣🤣Muhimu ni mipangilio tu, mtoto anatakiwa abaki kwa ***** huku baba akishirikiana na mama kumlea.
Baba kumtoa mtoto kwa ***** ni kosa kubwa sana; kuzaa tuendelee, kuzaa hakuna shida, muhimu ni kutoa matunzo kwa mtoto akiwa kwa mama yake.
Na wasibaguliwe utoe sawa na wa ndanii