Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama utakutana na mtu sahihi lakiniKweli eeh
Umeona kaka angu wa faida eh?Wanaume kabla hamjazaa na michepuko yenu jipimeni na muwe na uhakika kama ki akili mko wazima kiasi cha kuweza kusimama na hawa watoto. Lakini pia punguzeni ubinafsi na kuwatoa hawa watoto kwa mama zao kwa kukwepa gharama za mara kwa mara atakazotaka mama mtoto.
Umesoka vizuri kabisa Miss Nakadori
Vipi nyie kuishi na mtoto wa mwanaume mwingineNi wanawake wachache sana wanaoweza kuishi na mtoto wa Mwanamke mwingine kwa upendo. Mtoto hana kosa eleweni hilo
Kama ndani hamna sarakasi inabidi utoke nje kwa afya ya akiliNimekuuliza hapo sema tu sijaweka alama ya kuuliza.
Niko njia panda kukubaliana na hoja yako eti unfwata ya maana nje
Hawa huwa hawana shida binafsi nililelewa na baba wa kambo nikiwa mdogo haikuwa tatizo sana. zaidi nipata vipigo heavy 😀😀 yani vile vya paka mwizi bila kujali kosa na umri. Hata la kusingiziwa. Sema ukiwa mkubwa malalamiko ya hanisaidii yanakuwa mengi.Vipi nyie kuishi na mtoto wa mwanaume mwingine
Yah I See My Adorable Sister.. I want to be among the world's real Father and Husband 😂 😂 😂Umeona kaka angu wa faida eh?
Kwetu halina shida kama upande wenuVipi nyie kuishi na mtoto wa mwanaume mwingine
Sasa bila sarakasi utaishije?😀😀😀😀
Na sarakasi ndo ishu za maana? Sasa sarakasi nje ushazipata?
Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuishi na mtoto wa Mwanamke mwingine kwa upendo. Mtoto hana kosa eleweni hilo
Matokeo lazima myakubali, na muweke mikakati ya matunzo na maleziKila la heri kwenye sarakasi ila akizaliwa u know what to do
Sasa unarekebisha kwa mkeo unaumiza damu yako? Au kwa vile mtoto ni minor hajui kujitetea?Kitendo cha kuzaa nje ya ndoa. Ni confirmation kwa mwenzio kuwa ww si wa kuaminika.
ikifika level hiyo kunahitajika immediate intervation kusuluisha or mpasuko mkubwa sana unafuatia
Ni kweli ila wanaume wengi hutumia nguvu kuiunganisha familia wakiamini wamesolve tatizo kumbe ndio wanazidisha tatizo. Mtoto kupokelewa na mke ni rahisi ila kuishi nae kwa upendo sawa na wanae wa kuwazaa ni changamoto.Kitendo cha kuzaa nje ya ndoa. Ni confirmation kwa mwenzio kuwa ww si wa kuaminika.
ikifika level hiyo kunahitajika immediate intervation kusuluisha or mpasuko mkubwa sana unafuatia
Mke si anampokea kwa sababu zake za wivu kwa mchepukoNi kweli ila wanaume wengi hutumia nguvu kuiunganisha familia wakiamini wamesolve tatizo kumbe ndio wanazidisha tatizo. Mtoto kupokelewa na mke ni rahisi ila kuishi nae kwa upendo sawa na wanae wa kuwazaa ni changamoto.