Kwenu Wanaume mnaozaa na michepuko

Kwenu Wanaume mnaozaa na michepuko

SIWEZI
tupime tupime tu mengine yafwate.
Kupima hakuzuii mimba banaa..!! Na ukumbuke wakati unatakiwa kuchomoa, ndo muda ambao almost unakuwa kama zezeta, wengine wanashindwa kushikilia mate hadi yanakuwa udenda unaochuruzika, wengine wananena kwa lugha etc saa ngapi utakumbuka kuchomoa..!!??

Afu umejibu kwa CAPITAL LETTERS
 
Kupima hakuzuii mimba banaa..!! Na ukumbuke wakati unatakiwa kuchomoa, ndo muda ambao almost unakuwa kama zezeta, wengine wanashindwa kushikilia mate hadi yanakuwa udenda unaochuruzika, wengine wananena kwa lugha etc saa ngapi utakumbuka kuchomoa..!!??

Afu umejibu kwa CAPITAL LETTERS
Calender
 
Mtoto anaonekana kama chokoraa
Hiv hajui kwamba huyu mtoto akiwa ovyo hata yeye anaonekana ana roho nzito
Halafu akija ambiwa kuwa baba yake alikuwa ana uwezo wa kumtunza, ATAWACHUKIWA WOTE WA KWA BABA
 
Halafu akija ambiwa kuwa baba yake alikuwa ana uwezo wa kumtunza, ATAWACHUKIWA WOTE WA KWA BABA
Yanii
Dah
Huyu mtoto I wish nimuibe nkakalee
Halafu kazurii pamoja na kuchakaa uzuri haujajificha
Ni miss- type
Watoto wa kike wana mavazi sana
Saa ingine huwa natamani kununua nguo za baby girls tu zikae ndan
 
Wakati unatiririka na huu uzi, pitia na huu
 
Back
Top Bottom