Tee wife material
JF-Expert Member
- Jan 15, 2019
- 323
- 350
Ur right,,,,wanaume wengine maono,,,,akili hawana, JAMANI ata kubembeleza [emoji50]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...........Shukuru hujaumbwa mwanaume,vijana wanateseka sana hasa karne hii ktk hii issue ya kutafuta mwanamke sahihi na kwa muda sahihi.
Hata mimi nafahamu hivyo, suala la ndoa liko mikononi mwa mwanaume kwa asilimia kubwaMwanaume hawezi Kosa Mtu wakuoa, hii Mindset Kwamba Wanawake ndiyo Wanaamua ndoa, Wanawake inafaa waifute Kama Wanataka Kuolewa otherwise Wataishia Kwa Waganga Kutafuta ndoano sio ndoa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajui tuu huu mtihani kosa moja goli tano...........Shukuru hujaumbwa mwanaume,vijana wanateseka sana hasa karne hii ktk hii issue ya kutafuta mwanamke sahihi na kwa muda sahihi.
Pana shida kubwa sana sekta hii.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Mkuu tafadhali,Kizur kinatafutwa dada,
Bila hivo unaamua kumkubali mwamba yeyote atae tupa voko,
Tena yawezekana wew ndio unajioiga pin wanaume wa ukweli wanashindwa kukupiga mistar,
Jifunze, wafaa kujitunza sana, nikupe plan za kujifunza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa kubwa sana la kiufundi hilo. Mi ninunie lakini ubichi ubichi niiiiipeeeeeee hapo sawa after all havijanuniana vya chini bhaaah!Walio wengi kweli hawana akili za kuishi na wanawake, eti mwanaume ananuna eti kamnunia mkewe huyo ana akili kweli? Wapo mpaka kugegeda wanasusa [emoji31] [emoji31] [emoji31]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera umeandika kweli hivyo ni kwa wale wanawake wema au prudent wife ndio wanaangalia hivyo vigezo.Ila wanawake wapumbavu wanaangalia 1.PESA.2.PESA.3.PESA.4.PESA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haujawahi kuupindisha ukweli...Hata mimi nafahamu hivyo, suala la ndoa liko mikononi mwa mwanaume kwa asilimia kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona mbali sana mkuu big up.Nlichoona hapo kwenye points zote ulizoandika ni pesa, ila tu umeipa majina tofauti, k.v kazi, maono, akili etc, na mwanamke anaependa kazi yangu kuliko anavonipenda bhas huyo mwanamke hanistahili..ama kweli Esther villar alikuwa sahihi Saint anne
[emoji23][emoji23][emoji23]We unaakili sana,yaani we ni mke wangu kabisa.hako kajamaa mnapoteza mda tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo hitimisho ni pesa hizo nyingine ni story za kufurahisha genge! 😁😁Nlichoona hapo kwenye points zote ulizoandika ni pesa, ila tu umeipa majina tofauti, k.v kazi, maono, akili etc, na mwanamke anaependa kazi yangu kuliko anavonipenda bhas huyo mwanamke hanistahili..ama kweli Esther villar alikuwa sahihi Saint anne
Ahaahaaa mkuu umeona,mbaliNlichoona hapo kwenye points zote ulizoandika ni pesa, ila tu umeipa majina tofauti, k.v kazi, maono, akili etc, na mwanamke anaependa kazi yangu kuliko anavonipenda bhas huyo mwanamke hanistahili..ama kweli Esther villar alikuwa sahihi Saint anne
Nyie hamjui mapungufu yenu, ndo maana unashangaa