Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Ndio risk za kuoa VITU USEDBwana wake na hawajafunga ndoa ?
Haya ni maajabu.
Vpi kama asinge rudi au angerudi ameoa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio risk za kuoa VITU USEDBwana wake na hawajafunga ndoa ?
Haya ni maajabu.
Vpi kama asinge rudi au angerudi ameoa?
Sura nzuri ukimaanisha awe kama zombi au vp?Wala kuwa Na sura nzurii
Sura ngumu ya kiumeSura nzuri ukimaanisha awe kama zombi au vp?
Karibu tuyajengeHapana sio qualities but Kila mtu anandotozake Zaid ni upendo na maelewano
Namuona mdada ana ndoa but kilasiku analala na wanaume wapya
Kuna mwingine mumew asipokiwepo anamuita msen*** maana yake hawana maelewano had wanapachikana majina ya matusi
Imagine how nisichague fungu jema litalonipa amani kwenye maisha
Mwanaume akiwa na huruma ananivutia mno sababu mm pia Niko hivo so Huwa tunabond
Sasa shida ndo Huwa hapo lazima dini zitofautiane
Mm nna ngumu Ngoja tumalizaneSura ngumu ya kiume
Chizi MaarifaMimi ndio mume wako, nilikua nakutest uvumilivu wako kabla ya kukuoa
Katika kizazi tulichopo ndoa ni concept ambayo ishapitwa na wakati. Tatizo binadamu ni wabishi sana.Ndoa si ya kila mtu ,wengine wakwee minazi na wengine wale "midege ya jeshi".