Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Kwenu wanaume wema: Bado mpo na Mungu, awape maisha marefu sana sana!!

Hapana sio qualities but Kila mtu anandotozake Zaid ni upendo na maelewano

Namuona mdada ana ndoa but kilasiku analala na wanaume wapya
Kuna mwingine mumew asipokiwepo anamuita msen*** maana yake hawana maelewano had wanapachikana majina ya matusi
Imagine how nisichague fungu jema litalonipa amani kwenye maisha
Mwanaume akiwa na huruma ananivutia mno sababu mm pia Niko hivo so Huwa tunabond
Sasa shida ndo Huwa hapo lazima dini zitofautiane
Karibu tuyajenge
 
Back
Top Bottom