Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
- Thread starter
- #221
kmmk wallah wewe fala nn,ngoja nikuignore unanitafutia banAcha maneno mengi mpenzi mimi nataka nione kisimi chako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kmmk wallah wewe fala nn,ngoja nikuignore unanitafutia banAcha maneno mengi mpenzi mimi nataka nione kisimi chako
Hapa ndipo wengi wanapoharibu wakifika hatua hii wanaanza kuyakoroga hapa wanaanza kuwabebesha watu majukumu ya kingesengese sijui kusuka sijui ushubwada gani, kwani wewe kabla yangu hela ya kusukia ulikua unatoa wapi? Oh gesi imeisha luku imeisha wewe kabla yangu ulikua unatoa wapi hela?huyu mtu nimemkubali bila hata kumpa muda wa kumjua kama kaniona mgeni mtaani anitumie tu anibwage?
Mvumilie mamalamama labda kakuelewa kweli mwenzio mtunuku hata kidogo tu aupoze moyo wakekmmk wallah wewe fala nn,ngoja nikuignore unanitafutia ban
Mahaba ya kutongozea sio sawa na mahaba ya kwenye ndoa, ndio maana ukishaingia kwenye ndoa kuna kitu kinabadirika kwa hio hapo ndipo wengi wanaanza kujiharibia mfano wewe ishawahi kuhesabu mpaka sasa jamaa yako amekutomba mara ngapi au hua hauhesabu kabisa leo nimetombwa vizuri leo sijatombwa vizuri hauhesabu?mkioana sio kua kuishi kwa mahaba ndio basi tena, kuna mahaba na mawaa upo baba weee huwezi achia wenzio,
Nakupenda dear please jaribu kunifikiria walau tu spend usiku mmojakmmk wallah wewe fala nn,ngoja nikuignore unanitafutia ban
Asalale, na nyie wadada mnapiti mambo ya kujichukulia sheria mkononi 🤣Kwasasa hapana! Ila hii stage kila mtu ameipitia hasa kipindi cha balekhe
Na yako utuwekeeMama Mwana usituweke wapenda story 😜
Naandika kabisa ili iwe Bampa to Bampa 😝Na yako utuwekee
Wasomaji wenzio wanangojeaNaandika kabisa ili iwe Bampa to Bampa 😝
Sijaelewa kichwa changu cha panzimkioana sio kua kuishi kwa mahaba ndio basi tena, kuna mahaba na mawaa upo baba weee huwezi achia wenzio,
Sema na wewe unangojea 😛😅😅Wasomaji wenzio wanangojea
Paragraph zaidi ya moja kusoma ni changamotoSema na wewe unangojea 😛😅😅
pole cha kukusaidia sinaaSijaelewa kichwa changu cha panzi
Hiko kiemoji kinaonyesha unajua kulinyonya tangoNaandika kabisa ili iwe Bampa to Bampa 😝
Upumbavu tuNaona kuna mtiririko wa mada nyingi za kukataa ndoa, kwanza niseme mimi nimeolewa na mume ambaye sijutii, hakika sijutii kabisa kuolewa naye tulianzaje bas kisa hiki nina imani kitakua na namna flan ya kufundisha hata kutia moyo wale ambao mioyo ilishakufa zamani kuhusiana na ndoa au mahusiano thabiti
Fast forward hiki kisa kinanihusu mm japo kuna vitu sitaexpose sana na 95% kinanihusu mwenyewe.
Ilitokea siku moja nimekwenda mkoa fulani kwa ajili ya likizo, ni mwishoni mwa mwaka 2009, sjui nisemeje lakini sehemu niliokwenda nikakutana na huyu mwanaume ile kumuona tu kwa mara ya kwanza kuna kitu nikahisi hakiko sawa kwenye nafsi yangu na mwili wangu, nilikua natamani kumuona yan nimuone apite tu roho yangu iridhike, niko radhi khjitumisha dukan bila sababu ya msingi ili mradi tu nimuone na ilikua tukionana tu lazima atabasam bas mm mwenzie nakua hoi sijiwez.
Nikajikaza mtoto wakike nisonekane dhaifu tenambele ya stranger,lakini tukionana lazima tupeane eye contact halafu aniachie zawadi ya tabasam lake, bas nahisi hata yeye alikua amenielewa na hapo mwenyewe sio kua nilikua virgin siku mingi ilishakwenda hivi,nilishajua mapenzi n nn yanaumaje japo sio kiviiile lakini hizo exprience tayar nilishakua nazo so hakikua kitu geni then boom moyo unamuangukia mtu hata sjawah kujua ningekuja kukutana naye,bas mimi hapo kumbuka niko likizo ugenini,
Mungu sio athumani akanipa sound unaitwa nani nikamjibu, mimi sitaki kujua yeye anaitwa nani anafanya nn anaishi wapi eneo hilo mana tunaonana tu nyumba yetu ilikua barabarani so watu wengi hupita na movements n nyingi na maduka mengi hupatikana eneo hilo karibu na kwetu, hii siku sitaisahau mimi sina subiri nikufikirie sijui kuchelewesha wakat mtu ninayemwelewa ninaye mbele ya macho yangu.
Nikatabasamu akamwaga vyombo mimi nimetokea kukupenda sana nimeona leo nikuambie tu kilichopo moyoni, mimi meno yote niliyobarikiwa nje nikamkubalia nikaondokanzangu kurud nyumbani, sasa baada ya kurud nyumban ndio akili inarudi mahali pake nikaanza kujiuliza hivi mm n mzima au kitu gani, huyu mtu nimemkubali bila hata kumpa muda wa kumjua kama kaniona mgeni mtaani anitumie tu anibwage?
Sijui anaishi wapi sjui chochote kumhusu nimeanza lini kua mwehu wa kuhangaika na mapenzi? nimesahau kilichotokea nyuma? mimi ni mtu hua napenda kusema na nafsi yangu unaweza sema niko kimya kumbe nina kikao kizito cha kunihusu, bas najiuliza hayo huku majibu hutoka papo kwa papo, mpe muda utamjua, huwez jua watu hawafanani, lakini unakiri moyoni mwako unampenda s unajiona unavyobehave juu yake, kubali unampenda, mengine utayajua taratibuu!!
itaendelea.
Mbususu je?pole cha kukusaidia sinaa
Ile story yako umeendeleza chapter eight? Nitag nimesahau jinaMama mwana endelea ila nimependa hapo ulipofunguka unajifungia chumbani unajimaliza.