Kwenu wanawake mlio kwenye ndoa, inakuaje inakuwa rahisi kwenu kutoka kimapenzi na vijana mliowazidi umri?

Anko moto 😅
 
Uhalisia mtupu
 
Vipi Priscallia unaendeleaje na maambukizi yako ya ugonjwa wa ukimwi na hujafanikiwa kumuambikiza hata kijana mmoja wa hovyo huo ukimwi?

Kama hujafanikiwa kumuambikiza hata mtu mmoja huo ugonjwa, maana yake hautendi haki kwa ukimwi wenyewe
 
Hivi sasa kumekuwa na wimbi kubwa la wamama (hasa walioko katika ndoa) kutoka kimapenzi na vijana wadogo wanaowazidi umri hata mara tatu (3) na unakuta ameridhika na haogopi kuwa jamii inayomzunguka itamchukuliaje.
kwani wakina mama warembo wana ubaya ganiiiiii......in gwaji boy voice
 
Huyo ni rafiki sasa sio mshauri tu!
 
Vipi Priscallia unaendeleaje na maambukizi yako ya ugonjwa wa ukimwi na hujafanikiwa kumuambikiza hata kijana mmoja wa hovyo huo ukimwi?

Kama hujafanikiwa kumuambikiza hata mtu mmoja huo ugonjwa, maana yake hautendi haki kwa ukimwi wenyewe
Ina maana ameshakuambukiza na wewe mzee baba?
 
Vijan wenzangu nitafutieni na mimi huyo Mmama nianze kuona viwango

Ila nilikuw napga mmama wa kipare lakn bado alikuw ananiomb ela kwa nguvu na bili hataki kuangik nazo.
NB usimjarbu mmama wa kipare
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hii comment ifanyiwe lamination
 
Naomba niwaulize wanawake wenzangu ambao mko kwenye ndoa inakuaje kuaje hadi kufikia hatua ya kutoka kimapenzi na vijana mliowazidi umri, kuna raha gani mnayoipata? Hata kama ni kufanya udanganyifu basi mjaribu kutoka na wanaume ambao mnalingana umri ama waliowazidi.

MTOA MADA AMEPENDA KUWAULIZA WANAWAKE WENZAKE TENA WALIOKO KWENYE NDOA SASA NAONA WANAUME TUNATIRIRIKA TUU
 
Hivi sasa kumekuwa na wimbi kubwa la wamama (hasa walioko katika ndoa) kutoka kimapenzi na vijana wadogo wanaowazidi umri hata mara tatu (3) na unakuta ameridhika na haogopi kuwa jamii inayomzunguka itamchukuliaje.
Mi nadhani wengi wao ukichunguza ni wanawake ambao kwenye ujana wao au kabla ya kuolewa walikuwa wametembea na wanaume wengi kwahiyo mapenzi ya kitandani anayajua,inapotokea kaolewa ile hisia inaendelea kubakia kichwani mwake na kama mume aliyempata sio mtundu au ana maradhi au yuko bize muda mwingi au ana vimada,kwake kupiga Uturn na kutafuta mtu mwenye nguvu wa kumridhisha ni kama kumsukuma mlevi...
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…