Vijana tunapenda wamama kwa sababu nyingi sana na sio pesa tu!
Moja! Wamama wengi hawana vizinga vya kijinga jinga,baby naomba pesa ya kwenda saloon,baby umeniletea zawadi gani,hawana maswali yakijinga,uko wapi,unafanya nini,umekula nini,unaenda kula nini,leo umevaaje,vipi baby sijaona muamala wako mda mrefu,wakati huo anajua kabisa financial status yako ikoje!
Mbili! Wamama hata mkiwa field,hua wanagharamia bills nyingi tu,mfano mnapanga kwenda field,analipia kabisa hotel,vinjwaji na still anakupa na pesa kawape watoto wako zawadi! Hawana wivu wakitoto,hata usipopokea simu yake,hana maswali mbona hupokei simu yangu,wanajiheshimu,ukiwa home na Mke wako hawezi andika baby leo umenifanya hadi natamani tena uje,sms zao ni hujambo mwanangu basi,hata kama simu anayo wife haita leta shida!
Tatu! Shida inakuja pale kijana huna familia,huna mke wala watoto na una date na Mama mtu mzima,hapo kwa kweli hua sina,namna zaidi yakusema tu,tuache kitonga!
Mimi wamama hua nawapa dushe kwa kwenda mbele tu,na wao wanahitaji sana huduma zangu,na wala hua sihitaji kua na pesa nyingi sana kua nao,mmoja nimesoma nae yupo ofisi flani hivi yenye pesa,nakula hadi kesho na ana watoto wake wakike watatu wawili wamemaliza Chuo Kikuu na mmoja yupo secondary! Maisha nikusaidiana aiseeew