Hapana mkuu Mimi mke wangu Alisha pigwaga na kitu kizito saizi hafanyi hayo[emoji1][emoji1][emoji1]Poleni sana...
Hayanaga muongozo...
Kuna member kaleta uzi wa kuchanganyikwa baada ya kusoma sms kutoka kwenye simu ya mume wake na kukuta ana mchepuko na penzi zito...
Wewe ndiyo mume wake au...
Anafanyaje yeye??π€Mwanaume hasaliti bana
okBe that as it may
Kila kitu kina soko mkuu,, endapo ukijua wapi pa kukiuza.... What you need is Knowledge + information
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Nilipokuwa 20 to 21 ndio niliona bora nisishike simu ya mzee ila mzee anashika simu yangu wewe eti sikuamini wah huyu naye ..
Sioni sababu ila nawapa elimu hii wanandoa sana sana wanaume .
1. Sio sifa kuwa na michepuko ni mbaya inaleta mikosi ndani ya familia .
2. Usiwe na dharau kwa mwanamke aliyejitoa kwako inamaanisha yule aliyekuona unamfaa katika maisha yake .
Ambaye anakuheshimu, kukujali nakukuvumilia madhaifu yako kukusitiri.
3. Usidhubutu kumwoneshea mkeo kuwa wewe unawanawake njee na yeye ndiye anajikomba wakati kaenda leba kwa ajili ya mbegu yako ili uitwe baba.
4. Heshimu ndoa , muheshimu yeye napenda san kuheshimu familia yako.
5. Daima kumbuka anayekupenda ni mmoja na wawili nanihawa mama na mkeo tu . Ndio wanawake wawili ulionao katika maisha haya jaribu kumuheshimu.
6. Isipite hata siku moja kumtukana mkeo kumtukana umuite maneno ya kipuuzi nahuku ndio analinda familia yako.
Anaihudumia je akikuulia watoto wako , mama yako na ndugu waliokuja kukusalimu kwa sumu utafanya nini??
7. Isipite siku hujawahi mwambia maneno mazuri .
8. Umalaya sio dili tulia tunza familia maisha yenyewe ndoo haya sina jingine usiku mwema
Siku nyingine ukitaka kulala izime simu afu uiwashe ndo ulale, hapo labda awe anajua na passwordUkiweka simu yako lock ya fingerprint usiku anakugusisha kwenye hicho kidole ukiwa umelala, lock inatoka[emoji16][emoji16][emoji16]
π π π ππΏπ§’nyingine ukitaka kulala izime simu afu uiwashe ndo ulale, hapo labda awe anajua na password
Eti mtu anaiogopa simu ya mume wake mwenyewe. EishUmesema kweli my dear, watu wanaongea tu hapa,
Mie nashika uzuri simu ya Mume na yeye anashika yangu na kushika simu ya mwenza sio sababu unamchunguza ila yapo mbali mbali ya kushikiana simu,
Kama ana cheat acheat kwa adabu sababu anajua kichaa changu, mwaka wa 8 huu sijaona ujinga so afanye kwa akili lakini simu nashika kama kawaida na hajawahi kulalamika.
Sio kulivumilia bali nitalikubali tu. Hata Mimi natuma hela nyingi kwa mama yangu kuliko kwa wakweπNje ya huo uzinifu unao waza kwenye simu yangu Kuna Mambo mengi Sana nafanya hivyo sitoweza kutaka kila mtu ajue kila kitu kuhusu mimi. Hivi ukijua mama yangu namtumia hela nyingi kushinda mama yako ukweni ukijua hili utavumilia kweli.....?
πππAisee. Watu mko deep na neno mpaka raha. Keep it up.
πππππMi simu ya mzee baba naiona kama kituo cha polisi...
Sitaki presha mimi...
Mi simu ya mzee baba naiona kama kituo cha polisi...
Sitaki presha mimi...
Such a lame excuseHuo upevukaji ni pamoja na kujua kuwa ili uweze kuishi na mwanamke vizuri Basi inatakiwa asikujue Sana Kijua mawili matatu kuhusu we inatosha.
Sasa wewe mwanamke wako ashakujua a to z unahishi utamuambia kitu gani kipya akakusiliza mzee.....?
Kwa mwandiko wako bado unasafari ndefu Sana kuweza kuhimili mikiki ya wanawake
Nimecheka sana, hasa hizi simu za finger print alafu uje umepiga masanga, anakugusisha password inatoka kiurahisi anaaza u so called FBIUnakuta Saa nane za usiku anakuangalia Kama unakoroma,anachukua simu anaenda kuikagua chooni,anachokutana nacho huko chooni sasa!!..mkiamka asubuhi sasa,unakuta mtu amefura Kama mtu aliyekunywa uji wa Moto ugenini akashindwa kuutema
Kweli mkuu, hata ukiweka ya sura lazima aifungue tu hasa kama umepiga na yale ambo yetuUkiweka simu yako lock ya fingerprint usiku anakugusisha kwenye hicho kidole ukiwa umelala, lock inatoka[emoji16][emoji16][emoji16]