Kwenu wanawake mnaojifanya ma-FBI

Ubarikiwe mpendwa maana unapambana na watu wanaotaka nyeusi iwe nyeupe.
 
ishanitokeaga hii, hawa watu wapuuzi sana aisee. Nilikuta ktukana watu kibao na kisha kawablock
 
una akili sana aisee. Natamani ningepata mke kama ww
 
we mkorofi sasa! yaani mm mwanamke wa kunipiga na stuli kesho yake unafungasha virago forever
 
Wewe mwanaume wa hovyo.. nanwi kwakwambia mwanamke awe hivyo!!! Wewe ndio mal**ya, umekujaa uchafu sana.. ni kama jinamwizi.. unafikirwi upo wewe tu duniani.. humwezi ndoa acha mke na nyie hamjaoa.. mwamuona mutenda dhambi huyu!!
aisee umerudi mkuu!! ulitamba sana wakati wa bashite. Ulikuwa na matusi balaaa. Bashite alipotumbuliwa nawe ukatumbuliwa nn?
 
Umemaliza, ujumbe mzuri Sana
 
Password kama flyover za New York [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaakili nyingi Sana
 
Wanawake wanao jitambua utawajua tu akili zao. Yaani unakuta mtu Hadi anasahau majukumu yake kwenye ndoa kisa kukimbizana na simu ya mtu ...yaani utafikiri ameoa/olewa kwa ajiri ya hiyo kazi
 
Yaani hiyo ishu haiwabakizi salama
 
Alie oa hapa naamini Moto wa kiama ameanza kuufaidi duniani. [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…