Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Nakuambia ni tafrani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiombe umpate wa hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuambia ni tafrani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiombe umpate wa hivyo
leo nakusemea kwa dada yangu 😊[emoji23][emoji23][emoji23]
elf kumi kumi tu za vocha au sio😂Tajir G-wagon ni mbali sana, hawa madem wanaume wanao wa-recommend na uhalisia ni tofauti ... Watamaliza maneno yote hapa bt wakiingia field matokeo ni tofauti
joannah sijaona maoni yako😂😂😂😂😂Usiombe umpate wa hivyo
[emoji2958][emoji2958]leo nakusemea kwa dada yangu [emoji4]
hujambo?[emoji2958][emoji2958]
Eeeh shosti hii analysis Yako kiboko!we unaangalia security ya kulinda himaya Kwa kuangalia body ya mtu kwani Kuna mfecane war siku hizi? Security ya Karne hii haipimwi Kwa maguvu ya mtu,kama ni hivyo wale mabaunsa wangekuwa deal, Security Ina indicator zake bwana wee., Kichwani lazima awe smart so ni rahisi kufanikiwa kusolve matatizo ya familia.Powerful hands ni mojawapo ya mwili wa kiume, kila mtu ana preferences zake ila akiwekwa mwanaume mwenye powerful hands na mwanaume soft,wanawake more likely watachagua mwanaume mwenye powerful hands...ni security tu hamna lingine
U tall tuna interpret unaweza kuintimidate wanaoingilia himaya yako, aggressive/dominant sio kama tunavyowachukulia watu wafupi kama weak, na sisi ni security tunahitaji na si kingine,
Pia tunaangaliaga genes tunapochagua wachumba 😁 ,tallness,u handsome ni dalili ya good genes...
Sijambo. Za wewe?hujambo?
swalama kabisa kukumisi tuSijambo. Za wewe?
Unamisika pia[emoji179] weka maneno rafiki yanguswalama kabisa kukumisi tu
😎😎😎Majibu ya jf kiboko😂😂😂😂
Aah we jamaa bana
Ntasema kesho leo nimeamka na mikono sio miguu
Kwaiyo niupulize tu Shem😆unanipaniaAcha kuchochea moto hebu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi napenda anizidi kishkaji tu,4-8,ila awe TIMAMU....... Hao wakuzidi sana umri siwataki unakaa na mtu utasema mjomba Yako bwana! yeye kila saa anakusimulia vita vya Kagera aaaaghhhr sitakijoannah sijaona maoni yako😂
dah, ngoja nitulize hasiraUnataka kulelewa tu, huna lolote.
nazungumzia wewe kumzidi yeyeMimi napenda anizidi kishkaji tu,4-8,ila awe TIMAMU....... Hao wakuzidi sana umri siwataki unakata na mtu utasema mjomba Yako bwana! yeye kila saa anakusimulia vita vya Kagera aaaaghhhr sitaki
Ajhaaaa nimekosa koloni.By the way sipendi wanaume wenye mamisuli,sijui six pack nawaogopa.
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka. Mwanaume akiwa mkubwa sana nayo hapana hata kujiachia unashindwa unahisi kama upo na baba yako.Mimi napenda anizidi kishkaji tu,4-8,ila awe TIMAMU....... Hao wakuzidi sana umri siwataki unakata na mtu utasema mjomba Yako bwana! yeye kila saa anakusimulia vita vya Kagera aaaaghhhr sitaki
HELL NO......sipendi kabisanazungumzia wewe kumzidi yeye
sina mengi hapa hayo yatosha labda kule kwingineUnamisika pia[emoji179] weka maneno rafiki yangu