Huyo ndo mzuri sasa,siyo mwanaume gubu 24hoursNiliolewa na mtu alinipita 5 years lakini akili zake anaijua mwenyewe. Mbona niliondoka mwenyewe . Nimepata ambaye kanipita miezi 4 tu na tuko powa tu. Utani kama wote, yaani ni marafiki.
Na hapa kasafiri yuko nje ya nchi, ila tunapiga story whatup na utani kibao.Huyo ndo mzuri sasa,siyo mwanaume gubu 24hours
That's is a true loveNa hapa kasafiri yuko nje ya nchi, ila tunapiga story whatup na utani kibao.
Tena wanawake wanasema wanapenda ku-date na wanaume wenye umri mkubwa nahis ni kwasababu wanafikiri umri mkubwa=hela Extrovert
Kuna binti kaolewa na mwanaume kamzidi 30 years okus kisa pesa.namuonea sana huruma maana mwanaume ni spina mkononi. Yaani ana stress kama zote. Sasa hivi anaanza kuona jamaa ni msumbufu.mwanamke anadai anataka aolewe na mwanaume aliemzidi miaka 15 sasa kinachotokea ni kwamba mwanaume atakapokuwa na miaka 60 na mwanamke nae atakuwa na miaka 45 je unadhani kipi kitatokea? Hayo nimeyaona sana mtaani wakina mama wanakamuliwa sana na vijana wadogo kwasababu waume zao washachoka
unanigeuka tena😂Ila maisha yana surprise nyingi sana. Unachikitamani unaweza usikipate au ukabadilisha misimamo kutokana na circumstances. Kwa hiyo tusiongee sana, kabla hujafa hujaumbika.
Daah nakuonea raha [emoji8][emoji8]Niliolewa na mtu alinipita 5 years lakini akili zake anaijua mwenyewe. Mbona niliondoka mwenyewe . Nimepata ambaye kanipita miezi 4 tu na tuko powa tu. Utani kama wote, yaani ni marafiki.
hawajui hawa hii dunia sio ya kuwekea viapoIla maisha yana surprise nyingi sana. Unachikitamani unaweza usikipate au ukabadilisha misimamo kutokana na circumstances. Kwa hiyo tusiongee sana, kabla hujafa hujaumbika.
Yaani kaliniwazishaaaa🙆🙆Unaweza kujiona km una mkosi kabisa😂😂
Si kugeuki wala. Naongelea wanaosema kwenye maisha siwezi fannya hiki kamwe.unanigeuka tena😂
Ni mshikaji wangu kwelikweli.Daah nakuonea raha [emoji8][emoji8]
Ukipata wa kufanana nae ni raha sana mnaishi zaidi washkaji
Yes...ni nature so am ready psychologically....ukiona mamaa umri Huo anahaha na sex huyo nae anajiendekezaUnajicontrol kwa jambo ambalo haujalifikia bado?
Ofcozz ndio jibu sahihi🤣🤣🤣update na mdogo kukuchekecha wewe bureeeUkiangalia kwa makini utagundua ishu ni hio hio 🤣
Sio kujiendekezaYes...ni nature so am ready psychologically....ukiona mamaa umri Huo anahaha na sex huyo nae anajiendekeza
Naked trueth my dearIla maisha yana surprise nyingi sana. Unachikitamani unaweza usikipate au ukabadilisha misimamo kutokana na circumstances. Kwa hiyo tusiongee sana, kabla hujafa hujaumbika.
Mimi sikatai nyinyi kupendana ,Upendo una Nguvu sana,kinachonikera Mimi Kwa Nini akuamkie shikamoo??kwani mngeambiana tu mambo baby angepungukiwa Nini?Una haki ya kuongea hivyo kwakuwa haumjui huyo mama na kwa namna gani tulijikuta tumedumbukia kwenye mahusiano nae laiti ningemtaja jina member wa mtwara mjini waliopo humu ambao harakati zao zipo pale soko kuu wangemjua na mimi pia wangenijua na wangekuambia kuwa yule mama ni mtu wa aina gani ila sio vizuri nifanye hivyo
🤣🤣🤣 labda ni heshima zake kwangu siku za kwanza nikiona aibu sana kuitikia ila baadae nikazoea tu mpaka leoMimi sikatai nyinyi kupendana ,Upendo una Nguvu sana,kinachonikera Mimi Kwa Nini akuamkie shikamoo??kwani mngeambiana tu mambo baby angepungukiwa Nini?
🤣🤣🤣🤣 Aaah Kwa hiyo Hadi Leo anakuamkia?yaani mtu akishachungulia nyeti zangu walah siwezi mwamkia🤣🤣🤣 labda ni heshima zake kwangu siku za kwanza nikiona aibu sana kuitikia ila baadae nikazoea tu mpaka leo
nimecheka sana😂mtu akishachungulia nyeti zangu walah siwezi mwamkia
Hapa kuna hilo ulilosema sahihiTena wanawake wanasema wanapenda ku-date na wanaume wenye umri mkubwa nahis ni kwasababu wanafikiri umri mkubwa=hela Extrovert