Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Numbi ni wewe [emoji23]Kama ana hela hakuna tatizo [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Numbi ni wewe [emoji23]Kama ana hela hakuna tatizo [emoji23][emoji23]
Numbi ni wewe [emoji23]
Mtu mwenye mahudhurio mazuri na ya mara kwa mara kwenye vituo vya afya kwa minajili ya matibabu.Spana mkononi ndo nini?
[emoji23]Bora wewe, mimi ananifahamu na kiongozi kanisani. Nikasema nimezini wee aliweka rozali pembeni akaniuliza, umezini mara ngapi?
Niliona aibu ikabidi nipunguze idadi
Nikamwambia mara 2, akanikatilia we muongo unaongeza dhambi nyingine kusema uongo
Nikamwambia mara 4 napo akagoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ss hivi namkwepa kwenye kuungama, namtafuta asiyenifahamu
[emoji23] Tuzingatie maokotoSio mimi ni nguvu ya hela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
DuMtu mwenye mahudhurio mazuri na ya mara kwa mara kwenye vituo vya afya kwa minajili ya matibabu.
Aririiiiii harusi tunayo wizo [emoji847]Basi sawa wizoh nimekuelewa [emoji4][emoji847]
Wacha weee 💃💃💃Aririiiiii harusi tunayo wizo [emoji847]
Auntie kweli nililia. Kalinitafakarisha sana aisee![emoji23] Auntie ulilia kweli kabisa
Mimi kwa upande wangu BIG NO kudate na mtu niliyemzidi,mara nyingi huwa wanagubu,hata ukimkanyaga hata kwa bahati mbaya anajua sababu wewe ni mkubwa [emoji28] NB:Napenda mwanaume anizidi kila kitu.Maisha yangu yote, toka naanza kujitambua mpaka sasa, nimekua nikivutiwa sana na wanawake walionizidi umri. Sijui ni kwanini au ni kivipi nimekua na hii tabia.
Nilichokua nakifanya ni kupuuzia na kukandamiza hisia zangu, ikitokea nimempenda binti aliyenizidi umri, basi nafanya kumpotezea ama kumkwepa kadri niwezavyo.
Niliwahi kumpata binti mmoja kwa kumdanganya umri, ila ilinitokea puani vibaya mno.
Lakini hivi karibuni nimeanza kuona kama najitesa sana kwa kuzuia hisia zangu. Nataka sasa nijaribu bahati yangu.
Swali kwenu wadada, je unaweza kua na mwanaume uliyemzidi umri, tuseme kuanzia mwaka 1 hadi miaka 10?
Unalichukuliaje swala hili? haiwezekani kabisa au ni ushamba wangu tu?
Nahitaji mawazo yenu dada zangu na shangazi zangu.
NB: wanaume pia mnaruhusiwa kuchangia kama una cha muhimu au ushauri.
To yeye
Leejay49
Demi
Aaliyyah
Kelsea
Lenie
Depal
Lovie Lady
Darlin
Ms eyes
Dahan
cocastic
Cute Wife
Bushmamy
Joanah
Joannah
Dejane
Palina
Kapeace
Cienna
Tinsley
Bantu Lady
usikate tamaa sio wote wako hivyoMimi kwa upande wangu BIG NO kudate na mtu niliyemzidi,mara nyingi huwa wanagubu,hata ukimkanyaga hata kwa bahati mbaya anajua sababu wewe ni mkubwa [emoji28]
kuna wadada wawili nilikuwa nafanya nao kazi, mmoja 34, mwingine 30, walikuwa wanaongea kauli hizi hizi ila baada ya muda wote nimetikisa nyavu.Yaani mimi niwe na kavulana ka 30s Yr? Ohh nope. Labda nikaajiri kachekeshaji kangu
Mwanaume akuzidi kila kitu, si ndio? na asikusaliti bcoz you're an angel.Mimi kwa upande wangu BIG NO kudate na mtu niliyemzidi,mara nyingi huwa wanagubu,hata ukimkanyaga hata kwa bahati mbaya anajua sababu wewe ni mkubwa [emoji28] NB:Napenda mwanaume anizidi kila kitu.
Kwa hiyo na mimi nikimzidi kila kitu ruksa kumsaliti??Mwanaume akuzidi kila kitu, si ndio? na asikusaliti bcoz you're an angel.